Nchi yenye wanasiasa Magaidi si sehemu salama kwa uwekezaji

Nchi yenye wanasiasa Magaidi si sehemu salama kwa uwekezaji

Mwanadamu anakuwaje mungu? una akili timamu kweli wewe?
S mungu wa nyumbu. Coz huwaambii kitu . Huwez wambia anafanyaga makosa wakakuelewa, ukiwaambia alikunywa konyagi akalewa akadondoka akaitangazia dunia kuwa kavamiwa watakupinga as if yeye n mungu hakosei
 
Kusema mtu ni gidi kunataka ujiridhishe aisee. Unajua magaidi mara nyingi si sehemu ya wannchi.
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli

Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
Nilikuwa chuo mwaka wa pili.
Naam wakati huo CUF Imetamalaki siku moja kabla ya uchaguzi bwana mahitaalitoka mbele ya waandishi. Nikumoja kabla ya uchaguzi naam bwana nahitaji alikuwa na Mavsu na majambia akikitumu chama cha CUF kwamba kimeingiza shehena ya majambia ilikianzishe vita mpaka leo hajaota kutwa popote kuthibitisha uongobule.
Bwana rwakatare alituhumiwa kwa ugaidi na hata bwana mwigulu kujiapiza bungeni kwamba mtu yule ni gaidi na yupo tayar kuapa hata mbele ya mungu naam hakuna aliyemuuliza wala kuweza thibitisha mpaka leo .leo rwakatare yupo uraiani.
Ndugu Tundu lisu alimshambuliwa mchana weupe na majangili yanayojulikana na magufuli mchana kweupe kule dodoma mpaka leo hajakamatwa hata ccmizi mwamtaka dereva wake.
Watu waliuwawa kama manyama huko aMKIRU kisingizio ni nakutafuta magaidi. Bwana kasimu kijuju amepotea mpaka leo na hakuna gaidi aliyekamawtwa.
Mashekhe wa uamsho mliwaeeka ndani kwa miaka 8 kisingizio anatafuta magaidi leo mmewaachia bila kuthibitisha popote ugaidi wao kisa ni kudai nchi yao mnayoitawala.
Leo mwamtuhumu mbowe kwa ugaidi huku mkigeuza mashitaka ya sabaya na kumuona shujaa.
Yupo wapi ben Sanane , na wenzake ????
Mnahangaika na haamuwezi kuuwa upinzani
 
S mungu wa nyumbu. Coz huwaambii kitu . Huwez wambia anafanyaga makosa wakakuelewa, ukiwaambia alikunywa konyagi akalewa akadondoka akaitangazia dunia kuwa kavamiwa watakupinga as if yeye n mungu hakosei
Siasa ni perception. perception yako kwa chama au mwanasiasa fulani huwezi ukailazimisha kwa mwingine. hata wewe unayemshabikia samia au magu na ccm yenu kuna watu hata uwahonge pesa hawakubali kwa sababu wana perception tofauti kuhusu ccm na viongozi kinaotoa.

Na hata humo ndani ya ccm, bado wamo wengi sana ambao ni wanachama waandamizi hawakuridhishwa na mfumo wa uongozi wa awamu ya tano na sasa ya sisa.....it is their perception. Ni uhuru wa kiutu na kikatiba

Only highly minded understand this.....mtukanaji hawezi kuelewa
 
Siasa ni perception. perception yako kwa chama au mwanasiasa fulani huwezi ukailazimisha kwa mwingine. hata wewe unayemshabikia samia au magu na ccm yenu kuna watu hata uwahonge pesa hawakubali kwa sababu wana perception tofauti kuhusu ccm na viongozi kinaotoa.

Na hata humo ndani ya ccm, bado wamo wengi sana ambao ni wanachama waandamizi hawakuridhishwa na mfumo wa uongozi wa awamu ya tano na sasa ya sisa.....it is their perception. Ni uhuru wa kiutu na kikatiba

Only highly minded understand this.....mtukanaji hawezi kuelewa
Actualy kila mtu na preception yake. But people who judges first syo wa emotions( nyege) ndo huwa na right perception
 
Wameshachafua taswira nchi kwenye uwekezaji.......wakitakavwaje sisi razima turishikishe adabu ri mbowe na chadema wote hatutaki katiba mpya itareta fita .....alisikika RPC moja anaesubiri kodi ndio alipwe.....kodi inatoka wapi....wawekezaji...kweli akili nywele
 
Back
Top Bottom