Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Polisi ni mazuzumagic
Washauri wa kiusalama ni wapumbavu Sana kwa nini nchi yetu ya amani waiombee iwe na magaidi ,,Washindwe na walegee Naitangazia Dunia kuwa Tanzania hakuna magaidi ,. polisi tafadhali futeni hiyo kauli mara majo,,,