TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kitendo cha " kunywa bia" kwa furaha kwa sababu familia ya fulani imepata msiba si kizuri. Tuanzie kwenye mahusiano katika jamii kabla ya kuinyooshea CCM kidole.CCM inaharibu reputation ya nchi.
CCM na siasa zenu za kishenzi,siasa za chuki na uhasama, mmeleta mpasuko mkubwa nchi hii.Kitendo cha " kunywa bia" kwa furaha kwa sababu familia ya fulani imepata msiba si kizuri. Tuanzie kwenye mahusiano katika jamii kabla ya kuinyooshea CCM kidole.
Lini CCM "imekunywa bia kwa furaha" kuonyesha siasa za kishenzi na chuki na uhasama na mpasuko kwenye nchi? Mwalikoroga halafu mnazira kulinywa... kunyweni zege lenu kama mnaona lina virutubisho vya mwili!CCM na siasa zenu za kishenzi,siasa za chuki na uhasama, mmeleta mpasuko mkubwa nchi hii.
Nyie mwajiona ni raia daraja la kwanza,
Unfortunately, "international relations" (as in diplomacy) doesn't work that way. Vinginevyo nchi kama Saudi Arabia au Misri zingesuswa na mataifa ya Magharibi. Mahusiano ya kimataifa huangalia zaidi maslahi kuliko siasa za ndani. Angalia wawekezaji wanavyomiminika Rwanda licha ya rekodi isiyopendeza ya haki za binadamu nchini humo. Angalia Nigeria, je imesuswa kwa sababu ya Boko Haram? Tena hao Wamarekani na Waingereza ukitaka uswahiba nao, waambie unapambana na ugaidi, watamwaga misaada kama hawana akili nzuri.Nchi nyingi zenye viashiria vya Ugaidi zimekuwa zikiyumba kiuchumi. Lakini pia raia wake upata shida Sana wawapo nje ya mataia yao kwa usumbufu wa upekuzi na ufauatilia unaomiza.
Kutangaza nchi kwamba ina viongozi Magaidi Ni kosa kubwa kiuchumi na kisiasa pia. Kwa Mataifa ambayo yanaelewa madhara ya Ugaidi mfano Kenya wananchi wake wanaposikia mtu akiitwa Gaidi umbagua na kumteketeza wanapopata nafasi kwa sababu gaidi anaua.
Kiimani pia tunaaminishwa kwamba unapoomba Jambo flani Mwenye zi Mungu anaweza kukupatia liwe baya au zuri ili ujifunze. Tunapaswa kuwa na viongozi wa kiroho wakuliombea Taifa, tunapowakumbuka mashakhe wa uahamsho tunajipaswa kutubu tusiwe Taifa lenye magaidi. Lakini pia nahofia Sana pale tunapoitangazia Dunia kwa sababu tunafungua milango kwa hao wanaoitwa magaid kujenga himaya hapa.
Tusifungwe Sana na Matakwa ya mishahra yetu na bunduki na walinzi tukaamini ugaidi utawamaliza maskini, upo uwezekano ukaanzia popote endapo tu tutaendelea kumtaka Mungu aulete Tanzania
Ni kweli mkuu. Hawajui madhara kijamii na kiuchumi kwa kutamka kuwa nchi ina wanasiasa magaidi. Watawala wetu wamevurugwa na matakwa ya katiba mpya. Sasa hivi wanapayuka ovyo pamoja na kutumia vibaya vyombo vya dola.Nchi nyingi zenye viashiria vya Ugaidi zimekuwa zikiyumba kiuchumi. Lakini pia raia wake upata shida Sana wawapo nje ya mataia yao kwa usumbufu wa upekuzi na ufauatilia unaomiza.
Kutangaza nchi kwamba ina viongozi Magaidi Ni kosa kubwa kiuchumi na kisiasa pia. Kwa Mataifa ambayo yanaelewa madhara ya Ugaidi mfano Kenya wananchi wake wanaposikia mtu akiitwa Gaidi umbagua na kumteketeza wanapopata nafasi kwa sababu gaidi anaua.
Kiimani pia tunaaminishwa kwamba unapoomba Jambo flani Mwenye zi Mungu anaweza kukupatia liwe baya au zuri ili ujifunze. Tunapaswa kuwa na viongozi wa kiroho wakuliombea Taifa, tunapowakumbuka mashakhe wa uahamsho tunajipaswa kutubu tusiwe Taifa lenye magaidi. Lakini pia nahofia Sana pale tunapoitangazia Dunia kwa sababu tunafungua milango kwa hao wanaoitwa magaid kujenga himaya hapa.
Tusifungwe Sana na Matakwa ya mishahra yetu na bunduki na walinzi tukaamini ugaidi utawamaliza maskini, upo uwezekano ukaanzia popote endapo tu tutaendelea kumtaka Mungu aulete Tanzania
Nani atawekeza Somaliland????Nchi nyingi zenye viashiria vya Ugaidi zimekuwa zikiyumba kiuchumi. Lakini pia raia wake upata shida Sana wawapo nje ya mataia yao kwa usumbufu wa upekuzi na ufauatilia unaomiza.
Kutangaza nchi kwamba ina viongozi Magaidi Ni kosa kubwa kiuchumi na kisiasa pia. Kwa Mataifa ambayo yanaelewa madhara ya Ugaidi mfano Kenya wananchi wake wanaposikia mtu akiitwa Gaidi umbagua na kumteketeza wanapopata nafasi kwa sababu gaidi anaua.
Kiimani pia tunaaminishwa kwamba unapoomba Jambo flani Mwenye zi Mungu anaweza kukupatia liwe baya au zuri ili ujifunze. Tunapaswa kuwa na viongozi wa kiroho wakuliombea Taifa, tunapowakumbuka mashakhe wa uahamsho tunajipaswa kutubu tusiwe Taifa lenye magaidi. Lakini pia nahofia Sana pale tunapoitangazia Dunia kwa sababu tunafungua milango kwa hao wanaoitwa magaid kujenga himaya hapa.
Tusifungwe Sana na Matakwa ya mishahra yetu na bunduki na walinzi tukaamini ugaidi utawamaliza maskini, upo uwezekano ukaanzia popote endapo tu tutaendelea kumtaka Mungu aulete Tanzania
Mmemchinja Mawazo mchana kweupe WATU wakishuhudia na hamna aliyekamatwa, huo ni upendo wa aina gani?Lini CCM "imekunywa bia kwa furaha" kuonyesha siasa za kishenzi na chuki na uhasama na mpasuko kwenye nchi? Mwalikoroga halafu mnazira kulinywa... kunyweni zege lenu kama mnaona lina virutubisho vya mwili!
Unfortunately, "international relations" (as in diplomacy) doesn't work that way. Vinginevyo nchi kama Saudi Arabia au Misri zingesuswa na mataifa ya Magharibi. Mahusiano ya kimataifa huangalia zaidi maslahi kuliko siasa za ndani. Angalia wawekezaji wanavyomiminika Rwanda licha ya rekodi isiyopendeza ya haki za binadamu nchini humo. Angalia Nigeria, je imesuswa kwa sababu ya Boko Haram? Tena hao Wamarekani na Waingereza ukitaka uswahiba nao, waambie unapambana na ugaidi, watamwaga misaada kama hawana akili nzuri.
Uko sahihi kabisa.Nchi nyingi zenye viashiria vya Ugaidi zimekuwa zikiyumba kiuchumi. Lakini pia raia wake upata shida Sana wawapo nje ya mataia yao kwa usumbufu wa upekuzi na ufauatilia unaomiza.
Kutangaza nchi kwamba ina viongozi Magaidi Ni kosa kubwa kiuchumi na kisiasa pia. Kwa Mataifa ambayo yanaelewa madhara ya Ugaidi mfano Kenya wananchi wake wanaposikia mtu akiitwa Gaidi umbagua na kumteketeza wanapopata nafasi kwa sababu gaidi anaua.
Kiimani pia tunaaminishwa kwamba unapoomba Jambo flani Mwenye zi Mungu anaweza kukupatia liwe baya au zuri ili ujifunze. Tunapaswa kuwa na viongozi wa kiroho wakuliombea Taifa, tunapowakumbuka mashakhe wa uahamsho tunajipaswa kutubu tusiwe Taifa lenye magaidi. Lakini pia nahofia Sana pale tunapoitangazia Dunia kwa sababu tunafungua milango kwa hao wanaoitwa magaid kujenga himaya hapa.
Tusifungwe Sana na Matakwa ya mishahra yetu na bunduki na walinzi tukaamini ugaidi utawamaliza maskini, upo uwezekano ukaanzia popote endapo tu tutaendelea kumtaka Mungu aulete Tanzania
wanaiharibu image ya Nchi yetu,huenda Wana hamu na hao magaidi,maana kila Jambo wao ugaidi,hawajui Kama wanaharibu taswila ya Nchi kimataifa na kiuwekezajiUsiombee hili mzee, hao hao wanaosema kuhusu magaidi idara yao ya kuzima moto haiwezi kuzima moto wa kiberiti, moto wa ugaidi watauweza?
Tumuombe Mungu aingilie kati tu atunyooshee baadhi ya watu. Ameruhusu wakapewa dhamana na wananchi, milo minono wanayokula wamevimbiwa na imewalewesha.
Unfortunately, "international relations" (as in diplomacy) doesn't work that way. Vinginevyo nchi kama Saudi Arabia au Misri zingesuswa na mataifa ya Magharibi. Mahusiano ya kimataifa huangalia zaidi maslahi kuliko siasa za ndani. Angalia wawekezaji wanavyomiminika Rwanda licha ya rekodi isiyopendeza ya haki za binadamu nchini humo. Angalia Nigeria, je imesuswa kwa sababu ya Boko Haram? Tena hao Wamarekani na Waingereza ukitaka uswahiba nao, waambie unapambana na ugaidi, watamwaga misaada kama hawana akili nzuri.
CCM inaharibu reputation ya nchi.
Na ushahidi ukipatikana je? Ninyi mnamuona mungu wenu mbowe hakosei?definitely na kuna watu wanapiga vigelegele wanashangilia kwa sababu ya ufahamu wao mdogo
Mwanadamu anakuwaje mungu? una akili timamu kweli wewe?Na ushahidi ukipatikana je? Ninyi mnamuona mungu wenu mbowe hakosei?