Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Kitendo cha Tundu kuonyesha umma wa watanzania tuu kwamba Amstadam ndio kila kitu kwake kilitosha kabisa kummaliza kwenye sanduku la kura

Matokeo ya 28 ndio yatamuonyesha wazi kwamba yeye hana tofauti na mfanyabiashara wa nyamachoma alieamua kwenda kuuza kitimoto msikitini
 
Piga spana kwa msaliti wa nchi, lissu atapigiwa kura robert[emoji28][emoji28]

Unaambiwa Robert anawachamba kama mzaramo[emoji28][emoji28] ukiingia twitter anaoga matusi ya kufa kutoka kwa Watanzania.
Kwahiyo zile bilioni 44 ktk kaya za nchi masikini za mwisho duniani zinakuja lini tukamalize kununua ndege

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mambo gani unaongea haya?!Watu wanaongea juu ya mambo makubwa ya Tanzania ya kesho, juu ya Tanzania mpya,juu ya mabadiliko ya watanzania,juu ya uhuru wao na juu ya ustawi wetu mpya ila wewe unaongea juu ya matusi na vichambo!

Unaelewa kuwa ni rahisi sana kupima kiwango cha akili ya mtu kwa kuchunguza tu kile mtu anachoongea na kuandika? Yaani katika uchaguzi huu wewe umeona kubwa la kuzungumzia ni matusi na vichambo? Nafikiri mpaka hapa umeshajua kuwa una akili kiasi gani.
Kwahiyo na wewe unaamini Lisu atakuwa rais sababu alipanda mwendokasi akaenda kariakoo?
 
unalazimisha mambo ya kiroho na siasa ili iweje?? itoshe tu kusema lisu hawezi kuwa raisi , ukweli unauma ila ni kweli hawezi
Hawa jamaa ni mazwazwa mkuu!

Maana hayo mambo ya kiroho waliyakataa kipindi kile Magu kasema tufunge na kuomba kwa ajili ya janga la korona. Ila sasa hivi wanajifanya kumjua sana Mungu.

Mungu siyo Amsterdam aisee
 
Kwahiyo na wewe unaamini Lisu atakuwa rais sababu alipanda mwendokasi akaenda kariakoo?
Kwa nini vijana wa CCM mnaandamwa na tatizo la utindio wa ubongo?Wapi nimesema kuwa Lissu atakuwa Rais kwa sababu alipanda mwendo kasi?!Nikikuita mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?
 
Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Nyinyi ndiyo wale mlikwenda pale airport eti mnataka kusafiri bila passport eti mnasema mnauwezo wa Baba Mtakatifu!!
 
Freedom is coming tomorrow. I just wait to see this BIG MEMORABLE DAY!
Tanzania tulipata Uhuru toka Mwaka 1961, Sasa sijui Freedom gani unamaanisha hapa ili tukuelewe vizuri zaidi!?
 
Kitendo cha Tundu kuonyesha umma wa watanzania tuu kwamba Amstadam ndio kila kitu kwake kilitosha kabisa kummaliza kwenye sanduku la kura

Matokeo ya 28 ndio yatamuonyesha wazi kwamba yeye hana tofauti na mfanyabiashara wa nyamachoma alieamua kwenda kuuza kitimoto msikitini
Mtazamo wako,
Tanzania tulipata Uhuru toka Mwaka 1961, Sasa sijui Freedom gani unamaanisha hapa ili tukuelewe vizuri zaidi!?
Wakuacha ukandamizaji wa haki na usawa.
 
Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Mimi nilishaona katika ndoto....japo sijaielewa kwa kweli
 
Tobo hatoboi nae analijua. 29/10 atatoka nduki kwenda kumuomba radhi Robert maana alimwahidi madini
Na Robert atazidi kua Mwekundu Kama kiti Moto baada ya kukosa deal la Madini!! Hakuna fani iliyojaa Wapigaji Kama fani ya Sheria! Wapo kuanzia ngazi za Chini, ukiwaona kwa harakaharaka utazani ni watetezi kweli,kumbe nyuma ya pazia na masinichi Wakubwa!!
 
Siku hizi kila mtu ni Nabii! kila mtu ana maono,Kila mtu ni mpiga ramli! Yaani ukishakua na Smart phone na bando tu,wewe tayari ni nabii na unaweza kutabiri chochote kijacho,tena kwa kutumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu ili wakuamini na utabiri wako!
Dunia inaenda kasi sana aisee!
 
Piga spana kwa msaliti wa nchi, lissu atapigiwa kura robert[emoji28][emoji28]

Unaambiwa Robert anawachamba kama mzaramo[emoji28][emoji28] ukiingia twitter anaoga matusi ya kufa kutoka kwa Watanzania.
Lisu kafanya usariti upi? Kuna usariti kama kuiba pesa kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Kununua Ndege kienyeji kwa cash kula 10%? Kutafuna trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara?
 
Mambo gani unaongea haya?!Watu wanaongea juu ya mambo makubwa ya Tanzania ya kesho, juu ya Tanzania mpya,juu ya mabadiliko ya watanzania,juu ya uhuru wao na juu ya ustawi wetu mpya ila wewe unaongea juu ya matusi na vichambo!

Unaelewa kuwa ni rahisi sana kupima kiwango cha akili ya mtu kwa kuchunguza tu kile mtu anachoongea na kuandika? Yaani katika uchaguzi huu wewe umeona kubwa la kuzungumzia ni matusi na vichambo? Nafikiri mpaka hapa umeshajua kuwa una akili kiasi gani.
Ila wenye IQ kubwa tumemuelewa vizuri sana ujumbe wake!! Siyo kila mtu humu akariri Kama tulivyo karirishwa shule be free sometimes!!
 
Back
Top Bottom