Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Uchaguzi 2020 Nchi yetu inakwenda kumpata Rais mpya kabisa kutoka kwenye chama kipya kabisa

Siku hizi kila mtu ni Nabii! kila mtu ana maono,Kila mtu ni mpiga ramli! Yaani ukishakua na Smart phone na bando tu,wewe tayari ni nabii na unaweza kutabiri chochote kijacho,tena kwa kutumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu ili wakuamini na utabiri wako!
Dunia inaenda kasi sana aisee!
Hata ukiwa na smart phone waweza kupinga utabiri na kuishi kwa kukariri kutukuza zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu na polepole pia, kuaminisha watu hakuna mipaka waweza kuwaaminisha kuwa pesa za miradi yote ikiwemo flyover ni pesa binafsi za mtukufu mwenyekiti wa CCM siyo pesa za walipa kodi na maendeleo ni Hisani za CCM siyo kitu cha haki na lazima.
 
Ila wenye IQ kubwa tumemuelewa vizuri sana ujumbe wake!! Siyo kila mtu humu akariri Kama tulivyo karirishwa shule be free sometimes!!
Watetezi wa CCM na wale wanufaika wa mfumo kandamizi wanufaika wa uonevu unyanyasaji uovu wa CCM siku zote hawataki kusikia utabiri aina yeyote ambao wataona una dalili za kung’oa mizizi ya ulaji wao.
 
Mwenyezi Mungu na akafanye wepesi wa mabadiliko hayo adhimu! Washindwe na walegee kabisa wanaotaka kukwamisha ukombozi huu!
Wwe Kombowa Mfuko wako,Nchi ilisha Kombolewa na Baba wa Taifa tangu Mwaka 1961!!
 
Sasa kitakachofanya Lisu awe rais ni kitu gani maana zaidi ya kumtegemea Amsterdam hamna kingine?
 
Na Robert atazidi kua Mwekundu Kama kiti Moto baada ya kukosa deal la Madini!! Hakuna fani iliyojaa Wapigaji Kama fani ya Sheria! Wapo kuanzia ngazi za Chini, ukiwaona kwa harakaharaka utazani ni watetezi kweli,kumbe nyuma ya pazia na masinichi Wakubwa!!
We unamuona tobo lilivyogeuka kuwa tobo la wapigaji na hasa acacia .hawa ninmajangili kama majangili wengine
 
Wwe Kombowa Mfuko wako,Nchi ilisha Kombolewa na Baba wa Taifa tangu Mwaka 1961!!
Tanzania ilipata Mkoloni mweusi kaburu mweusi toka tokea chato, alirejesha ukoloni Hatari zaidi ya ule wa Mzungu, sasa ni mda wa kudai uhuru upya
 
Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.

Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.

Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.

Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.

Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.

Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.

Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Vikwazo ni vingi sana lakini havinabudi kutokea ili lile neno liweze kutimia
 
Hawa jamaa ni mazwazwa mkuu!

Maana hayo mambo ya kiroho waliyakataa kipindi kile Magu kasema tufunge na kuomba kwa ajili ya janga la korona. Ila sasa hivi wanajifanya kumjua sana Mungu.

Mungu siyo Amsterdam aisee
Hivi huyu Amsterdam hajakutana na Wazaramo wenye Nchi yao waamchambe hadi azimie, akiamka hapo nduki hadi Ulaya!!
 
We unamuona tobo lilivyogeuka kuwa tobo la wapigaji na hasa acacia .hawa ninmajangili kama majangili wengine
Kampuni zote zililetwa na CCM magufuli alikuwa Bungeni na pia alikuwa kwenye baraza la mawaziri hakuwahi kupinga au hata kutoa maoni kipindi hicho
 
Kwa nini vijana wa CCM mnaandamwa na tatizo la utindio wa ubongo?Wapi nimesema kuwa Lissu atakuwa Rais kwa sababu alipanda mwendo kasi?!Nikikuita mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?
Kumbe hata wwe huna uhakika Kama Lissu atakua Raisi wako!? Ila najua unauhakika kabisa Magufuli ndiyo Raisi,sema mkumbo tu ndiyo unakupoteza njia!!
 
Hivi huyu Amsterdam hajakutana na Wazaramo wenye Nchi yao waamchambe hadi azimie, akiamka hapo nduki hadi Ulaya!!
Nchi ipi yao? Hakuna mzaramo anataka pesa zake kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, hakuna mzaramo anataka pesa zao trilion 1.5 ipigwe kisha CAG atolewe kafara
 
Back
Top Bottom