minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hata ukiwa na smart phone waweza kupinga utabiri na kuishi kwa kukariri kutukuza zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu na polepole pia, kuaminisha watu hakuna mipaka waweza kuwaaminisha kuwa pesa za miradi yote ikiwemo flyover ni pesa binafsi za mtukufu mwenyekiti wa CCM siyo pesa za walipa kodi na maendeleo ni Hisani za CCM siyo kitu cha haki na lazima.Siku hizi kila mtu ni Nabii! kila mtu ana maono,Kila mtu ni mpiga ramli! Yaani ukishakua na Smart phone na bando tu,wewe tayari ni nabii na unaweza kutabiri chochote kijacho,tena kwa kutumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu ili wakuamini na utabiri wako!
Dunia inaenda kasi sana aisee!