Kwahiyo zile bilioni 44 ktk kaya za nchi masikini za mwisho duniani zinakuja lini tukamalize kununua ndegePiga spana kwa msaliti wa nchi, lissu atapigiwa kura robert[emoji28][emoji28]
Unaambiwa Robert anawachamba kama mzaramo[emoji28][emoji28] ukiingia twitter anaoga matusi ya kufa kutoka kwa Watanzania.
Kwahiyo na wewe unaamini Lisu atakuwa rais sababu alipanda mwendokasi akaenda kariakoo?Mambo gani unaongea haya?!Watu wanaongea juu ya mambo makubwa ya Tanzania ya kesho, juu ya Tanzania mpya,juu ya mabadiliko ya watanzania,juu ya uhuru wao na juu ya ustawi wetu mpya ila wewe unaongea juu ya matusi na vichambo!
Unaelewa kuwa ni rahisi sana kupima kiwango cha akili ya mtu kwa kuchunguza tu kile mtu anachoongea na kuandika? Yaani katika uchaguzi huu wewe umeona kubwa la kuzungumzia ni matusi na vichambo? Nafikiri mpaka hapa umeshajua kuwa una akili kiasi gani.
Hawa jamaa ni mazwazwa mkuu!unalazimisha mambo ya kiroho na siasa ili iweje?? itoshe tu kusema lisu hawezi kuwa raisi , ukweli unauma ila ni kweli hawezi
Kwa nini vijana wa CCM mnaandamwa na tatizo la utindio wa ubongo?Wapi nimesema kuwa Lissu atakuwa Rais kwa sababu alipanda mwendo kasi?!Nikikuita mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?Kwahiyo na wewe unaamini Lisu atakuwa rais sababu alipanda mwendokasi akaenda kariakoo?
Nyinyi ndiyo wale mlikwenda pale airport eti mnataka kusafiri bila passport eti mnasema mnauwezo wa Baba Mtakatifu!!Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Tanzania tulipata Uhuru toka Mwaka 1961, Sasa sijui Freedom gani unamaanisha hapa ili tukuelewe vizuri zaidi!?Freedom is coming tomorrow. I just wait to see this BIG MEMORABLE DAY!
Mtazamo wako,Kitendo cha Tundu kuonyesha umma wa watanzania tuu kwamba Amstadam ndio kila kitu kwake kilitosha kabisa kummaliza kwenye sanduku la kura
Matokeo ya 28 ndio yatamuonyesha wazi kwamba yeye hana tofauti na mfanyabiashara wa nyamachoma alieamua kwenda kuuza kitimoto msikitini
Wakuacha ukandamizaji wa haki na usawa.Tanzania tulipata Uhuru toka Mwaka 1961, Sasa sijui Freedom gani unamaanisha hapa ili tukuelewe vizuri zaidi!?
Hauna akili so burePiga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu [emoji2][emoji2]
Na lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Mimi nilishaona katika ndoto....japo sijaielewa kwa kweliWakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Angalau.hayo yalishazoeleka hilo beberu lake linaonekana katiri na baguzi so hatulitakiile barick na twiga c ni makampuni ya mabeberu nayo
Na Robert atazidi kua Mwekundu Kama kiti Moto baada ya kukosa deal la Madini!! Hakuna fani iliyojaa Wapigaji Kama fani ya Sheria! Wapo kuanzia ngazi za Chini, ukiwaona kwa harakaharaka utazani ni watetezi kweli,kumbe nyuma ya pazia na masinichi Wakubwa!!Tobo hatoboi nae analijua. 29/10 atatoka nduki kwenda kumuomba radhi Robert maana alimwahidi madini
Mungu huyuhuyu mliemkataa kipindi cha corona?Mwenyezi Mungu na akafanye wepesi wa mabadiliko hayo adhimu! Washindwe na walegee kabisa wanaotaka kukwamisha ukombozi huu!
Lisu kafanya usariti upi? Kuna usariti kama kuiba pesa kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Kununua Ndege kienyeji kwa cash kula 10%? Kutafuna trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara?Piga spana kwa msaliti wa nchi, lissu atapigiwa kura robert[emoji28][emoji28]
Unaambiwa Robert anawachamba kama mzaramo[emoji28][emoji28] ukiingia twitter anaoga matusi ya kufa kutoka kwa Watanzania.
Ila wenye IQ kubwa tumemuelewa vizuri sana ujumbe wake!! Siyo kila mtu humu akariri Kama tulivyo karirishwa shule be free sometimes!!Mambo gani unaongea haya?!Watu wanaongea juu ya mambo makubwa ya Tanzania ya kesho, juu ya Tanzania mpya,juu ya mabadiliko ya watanzania,juu ya uhuru wao na juu ya ustawi wetu mpya ila wewe unaongea juu ya matusi na vichambo!
Unaelewa kuwa ni rahisi sana kupima kiwango cha akili ya mtu kwa kuchunguza tu kile mtu anachoongea na kuandika? Yaani katika uchaguzi huu wewe umeona kubwa la kuzungumzia ni matusi na vichambo? Nafikiri mpaka hapa umeshajua kuwa una akili kiasi gani.