Neno Limekuchoma kumbe, ngoja nami nilichukuwe niteembee nalo kwa Ma group ya WhatsApp likawachome na wengine huko!![emoji2][emoji3]Na ww umeng'ang'ana na neno piga spana ili uonekane unaenda na maneno ya fashion ya mjini, kumbe ni jizee fulani lililopoteza ramani. Wala huna mvuto wa kutumia hilo neno maana linawafaa zaidi vijana.
Sasa mnapiga magoti ya nini.
Mungu huyu huyu anaeruhusu wapinzani wauwaweMungu huyuhuyu mliemkataa kipindi cha corona?
Utachekwa na watuCcm ni unyenyekevu, upendo na amani sio km yule jamaa enu msaliti wa Nchi
Magufuli alikuwepo wakati mwaka 1998 Lisu alipoanza kupiga kelele juu ya mikataba mibovu ya madini je? huyo magufuli alifanya nini mwaka 1998 zaidi ya kupitisha mikataba mibovu?
Neno Limekuchoma kumbe, ngoja nami nilichukuwe niteembee nalo kwa Ma group ya WhatsApp likawachome na wengine huko!![emoji2][emoji3]
Utachekwa na watu
Nchi inasalitiwa vipi, tofautisha ugomvi binafsi na umma.jiwe alipanda miba iweje avune mahindiBora nichekwe kwa uzalendo kuliko kusaliti Nchi kama jamaa wa ubeligiji
Hiyo mbinu ya wakuu wa wilaya kuendelea kuwapa vitambulisho vya kura kwa mlango wa nyuma wenye kadi A ccmhaitawabeba. Safari hii hamtaamini macho yenu, na mkichezea tu box la kura lazima kilichotokea Kenya kitokee na hapa.
Wewe ndiyo utatambika kukwepa aibu kwani hutaamini kuwa Tumeccm inaenda kuumbuka uchakachuaji utafeli kwa nguvu za mungu
Kazi kutaka tu wenzio wafe... Kama unaona kufa kuzuri kufa ww kwanza....Wakati Fulani daudi alikumbana na wakati mgumu sana mbele ya mfalme Sauli pale Sauli alipogundua Daudi ndiye anaependwa sana na Mungu na amepakwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli badala yake. Alipanga kumuua kabla ya kutimiza ndoto zake lakini haikuwezekana.
Na mwisho wa siku yeye mwenyewe sauli alikufa kabla hajamuua Daudi.
Na mwisho wa siku Daudi akawa mfalme mahali pake katika Israeli na kuliongoza taifa la Israeli katika mafanikio makubwa kiuchumi kwa sababu tu daudi alimsikiliza Mungu katika namna ya kuongoza watu katika mafanikio yao na haki siku zote aliitanguliza mbele na ndio maana alipendwa sana na wananchi wake.
Kwenye nchi yetu kuna jambo linaenda kutokea na wale wasioamini mpaka washuhudie kwa macho wataona kama alivyoona Tomaso.
Kila Mtu aliye wake na asiye wake anakwenda kumpigia kura na hii ni kutokana na maono aliyopewa katika taifa hili.
Amini Usiamini lakini ndicho kitakachoenda kutokea.
Watu wanaoamini katika ulimwengu wa roho ule usioonekana kwa macho ya kawaida wala kusikika kwa masikio ya kawaida wananielewa nilichosema.
Nchi inasalitiwa vipi, tofautisha ugomvi binafsi na umma.jiwe alipanda miba iweje avune mahindi
Watz watamchagua mzalendo halisiRais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji
Watz watamchagua mzalendo halisi
Wanataka fredom ya faragha mkuu aliyosema mgombea waoTanzania tulipata Uhuru toka Mwaka 1961, Sasa sijui Freedom gani unamaanisha hapa ili tukuelewe vizuri zaidi!?
Ila kuna Majina mengine yanaendana na uhalisia! Mtu anaitwa Tobo,Basi anataka Matobo yatumike pia!? Ebu atuache kwanza tuna Ugeni Kutoka Malawi,yeye aendelee kupiga Misele Kariakoo!!Wanataka fredom ya faragha mkuu aliyosema mgombea wao
utakuwa una minyooo kichwani , nakushauri achana na ndoto.za kijinga, nakwambia ukweli lissu hawezi kuwa raisi ,Jiandae tu!! Utake usitake, Lissu ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025