Nchi za Afrika za Francophonie na Common wealth zinalipa Trillion 3000 kila mwaka kwa Ufaransa na Uingereza kama fidia ya faida za ukoloni


View: https://youtu.be/aT6Xhkdrq8M?si=fQvWWbzYppLJHBju
 
Naupata huo mgodi mkuu.
 
Kuna watu watakuwa kuni za kucomea jehanum.
 
Hivi ni utani ama kweli. Mbona naona ni kama jambo lisilowezekana. Sasa huko kwenye umoja wa Africa viongozi Huwa wanakutana kujadili nini kama unyonyaji ni mkubwa hivyo
Mfaransa kazidi! Kuna kipindi waliingia mgogoro na Italia, waziri mkuu wa Italia akawaambia France hamna haki ya kutufunzs maadili nchi inayoendeleza ukoloni barani Afrika mpaka sasa.

Hata waziri mkuu wa sasa aliingia mgogoro na Macron naye akampiga dongo hilo hilo kuwa France ni nchi inayoendeleza ukoloni Afrika, na akaongelea baadhi ya mambo wanayoyafanya kwenye makoloni yake.

Kuna ripoti nyengine zinasema uchumi wa France bila makoloni ya Afrika utaporomoka sana yaani hamna kitu.

Mfano mwepesi ukitaka kuliona hili pindi Russia ilipomtoa kwenye makoloni yake yalimotokea mapinduzi ya kijeshi, France kwenye umoja wa EU na kwenye Nato akawa ana push kwa hasira agenda ya Ukraine iruhusiwe kutumia silaha za Nato kupiga moja kwa moja nchini Russia.
 
Sasa kuna Mtu atakuuliza transaction zinafanyikaje, kiufupi hii kitu ni illegal Issue ni kama unavyosikia Mtu kala Rushwa hivyo inatumika akili nyingi sana kulifanikisha hili
 
Hao wafaransa washenzi sana na pia waafrika ambao wapo kwenye huo uonevu nao ni wapumbavu sana.
Blaise Kompaore wa Burkinafaso aliahidiwa Urais wa milele na Ufaransa endapo atamuua Thomas Sankara.., lilivyojinga na binafsi likamuua na kuanza kulipa hizo pesa. Allasaine Outarra wa Ivory Coast aliahidiwa Urais wa milele na Ufaransa, likamuibia kura Laurent Bagbo kwa msaada wa Ufaransa na likaanza kulipa pesa Ufaransa, hapa kuna ubinfsi, lakini pia kuna vitisho vya kuwawa ndio vinasababisha walioe pesa!
 
Kwa hiyo na sisi serikali yetu ya nchi ya Tanganyika inamlipa Mwingereza aliyetutwala kwa dhamana baada ya vita kuu ya 2?
Hii historia ya wapi hii? Kwamba mwingereza ameanza kuitawala Tanganyika baada ya vita vya pili vya dunia? Hii sijawahi kuisikia!
 
Mkuu usikaze fuvu kubisha

Tumia akili kufikiria sio mihemko

Hili linalosemwa hapo halijatoka kwa baba yako nachingwea wameongea viongozi tena kiongozi mkubwa wa bukinafaso wewe Nani ambaye hata huo mktaba hujui walitumia peni au penseli kusainia

Inshort ukifunzwa Jambo hasa hayo ya kizelendo jitahidi kujenge hoja sio unaongea Kama huna korodani
 
Hata mgodi wa buhemba jamaa walifungulia mkondo wa maji ni balaa humo wananchi wanachimna wanahangaika wanasema sijui maji yanatokea wapi, they channelled Mara river there
 
Mzee wa kazi dola bilioni 500????

Hivi hiyo figure umeisoma vizuri ama??

Angalia kwanza GDP ya Taifa tajiri kabisa Afrika afu rudi kwenye figure ndio ujue sio hela ya kizembe kabisa


Na ingekuwa hivyo kama kweli basi hakuna Taifa ambalo lingemudu


Deni oingekuwa haliambiliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…