Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

Mbona na ww ni wale wale wanafiki,unaye jifanya unaumizwa na mauaji ya waukiraine alafu wakati huo unashabikia na kushangilia mauaji ya wapalestina?
Kila nchi inafanya mambo kwa kufuata masilahi yake , mbona huongelei nchi za Magharibi ambazo zinairaani Urusi kuivamia Ukraine alafu wakati huo inaiunga mkono uvamizi wa Israel.
 
Umesikia Russia kazuia misaada ya kibinadamu?
Russia anaua watoto hovyo?

Russia anaporomosha majengo hovyo?

Russia lahamisha waUkraine?
Russia anaporusha makombora unataka kusema watu hawafi,majengo ya Ukraine hayabomolewi hivi uharibu uliofanywa kule Bakmut hukuona mauaji yahalaiki kule Bucha hukuona?
 
Umesikia Russia kazuia misaada ya kibinadamu?
Russia anaua watoto hovyo?

Russia anaporomosha majengo hovyo?

Russia lahamisha waUkraine?
Hivi hili swali umeuliza ukiwa timamu au unajitoa ufahamu mbona majibu yako wazi Russia aliyoyafanya Ukraine ni zaidi ya Israel kule Gaza kwanza Russia hakuchokozwa alivamia kwa visingizio vya uwongo ila Israel alichokozwa October 7
 
Mauaji ya Ukraine yanauma kwasababu Ukraine haikuchokoza Russia bali alivamiwa ila Hamas waliichokoza Israel October 7 na zaidi wakawachukua mateka raia wa kiyahudi hivi raia wa Africa kusini wangechukuliwa mateka na magaidi wa taifa lingine wangefanyaje?
 
Mkuu safi sana umemaliza kabisa,sina nyongeza.
 
Mwehu wewe. UNO kwa sababu wnauliwa watoto wa kiislam wapo kimya lkn Ukrain wanauliwa watoto wa kikiristo vikao havishi
 

Usidanganye watu hapa. Kwa sababu Ukraine ni wakiristo. Watoto wa kipalestina ndio waliovamia October 7? Ingalikuwa Palestina ni wakiristo ungaliwaikia ICC na UNO
 
Swadakta, jibu maridhawa kabisa.
 
umeandika ki nazi...
 
Ww ni mpumbavu kwa hiyo hao watoto wanao uawa ndo walienda kuteka watu?
Kwanza unaujua undani wa mgogoro kati ya Urusi na Ukraine mapaka useme eti hakuchokozwa?
Kama ww unavyo furahia mauaji ya wapalestina pia kuna watu wanachukizwa na mauaji ya wapalestina ,pia kama unavyo chukizwa mauaji ya waukiraine pia kuna wanao yafurahia mauaji hayo kwa hiyo kila mtu afanye kile kinacho mpa faraja moyoni msipangie watu cha kufanya.
 
South Africa is a failed state.
Hii nchi hata vitu vya msingi kama maji na umeme imeshindwa kuwapatia raia wake. Halafu inajitia kimbelembele kwenda kushadadia mambo ya Waarabu na Wayahudi.

Miundombinu aliyoacha mkoloni inachakaa, usalama nchini kwao hakuna mauaji mitaani kama movie vile. Hayo ndiyo mambo ilipaswa kushughulika nayo hayo mengine waachie wenyewe Waarabu na Wayahudi
 
Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
"Double Standard"
SA kama inaheshimu mahakama ya kimataifa ingeanza na kumkamata Putin kwanza ambaye anatafutwa na hiyo mahakama. Israel hawana mpango wa kusitisha vita Mpaka Hamas Ifutike kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…