Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kamkamateni Ramaphosa kama mmeumia kukamnyongeAfrica kusini wanafiki sana urusi anarusha makombara hovyo hovyo Ukraine na waukraine wanauawa kila kukicha huoni Africa kusini akiilaani urusi yupo kimya na uvamizi wa urusi Africa kusini alisema hayupo upande wowote kwa Palestine anawashwa nini
nliwai mpima kaburu mmoja kituo x cha afya anasema chama tawala tangu kimechukua mamlaka mwaka 1994 wao badala ya kujenga nchi wanabomoa nchi sasa hv wazungu wengi makaburu wanahamisha technology kwenda mataifa mbali mbali mf ni hao akina Elon Munsk hata yeye kaja tz yupo mgodi x , ANC wawe makin sanaAfrica ya kusini inaihitaji zaidi Israel kuliko other way,na hii ni kutapa tapa kwa ANC ambao definitely next year wanapoteza uwezo wa kuitawala SA, another so called liberation party ina hit the dust!,na isipotokea hili nitatembea kwa miguu kutoka huku lingusenguse hadi kabuku,Handeni
hahahaa anawashwa kumbe hahahaaAfrica kusini wanafiki sana urusi anarusha makombara hovyo hovyo Ukraine na waukraine wanauawa kila kukicha huoni Africa kusini akiilaani urusi yupo kimya na uvamizi wa urusi Africa kusini alisema hayupo upande wowote kwa Palestine anawashwa nini
South Afrika alipinga mashitaka na kutoyatambua hadharani , hii ilionesha wasouth kuuunga mkono mauaji ya PutinKwani putin hajashtakiwa katika kipindi hicho cha vita na ukraine??
Any way acha tujionee comments za wazayuni wa buza kwa mpalange
Iran anamwingiza mkenge subir wazungu wamshughulikie sasaWaarabu wapo kimya kabisa,yeye kiherehere kaenda kushtaki,anataka sifa labda
Afrika kusini ana kiherehere sanaIran anamwingiza mkenge subir wazungu wamshughulikie sasa
ebu fuatilia , Russia alizuia hakuna Ke wala Me kuonekana mtaani na wanajeshi wa russia wakaanza kuvamia masuper markets na kuiba vyakula je hii inaruhusiwa wap ? ipo video walipanda juu ya gari ya kizee kimoja na kizee na gar yake wakafa , kiufup Russia kafanya majanga ya Israel yakasome , ukibisha ni ushabiki , yaan miji yenye ukubwa ya Gaza na nusu ya Israel Russia kaifanya vifusi jiulize wangap walifia humo ? je walikuwa wanajeshi hao ? Russia kafanya genocide huko Ukraine sio mara ya kwanza kaanza haya tangu mwaka 1945Umesikia Russia kazuia misaada ya kibinadamu?
Russia anaua watoto hovyo?
Russia anaporomosha majengo hovyo?
Russia lahamisha waUkraine?
Kama mauaji mitaani hata Americant kule yamejaa na wanashindwa kuyazuiaSouth Africa is a failed state.
Hii nchi hata vitu vya msingi kama maji na umeme imeshindwa kuwapatia raia wake. Halafu inajitia kimbelembele kwenda kushadadia mambo ya Waarabu na Wayahudi.
Miundombinu aliyoacha mkoloni inachakaa, usalama nchini kwao hakuna mauaji mitaani kama movie vile. Hayo ndiyo mambo ilipaswa kushughulika nayo hayo mengine waachie wenyewe Waarabu na Wayahudi
Kwa kuua watoto auGod Bless Israel
kwan sio wapalestina walioanzisha mashambuliz dhid ya waisrael ? au umezaliwa trh 8 oct 2023 ?Mbona na ww ni wale wale wanafiki,unaye jifanya unaumizwa na mauaji ya waukiraine alafu wakati huo unashabikia na kushangilia mauaji ya wapalestina?
Kila nchi inafanya mambo kwa kufuata masilahi yake , mbona huongelei nchi za Magharibi ambazo zinairaani Urusi kuivamia Ukraine alafu wakati huo inaiunga mkono uvamizi wa Israel.
Taifa teule likiguswa walokole lalizima watoke mapangoni. Mbona Mimi sijaona shida hapo kwasababu Afrika kiusini wanatoa haki ya waparestina. Kitu ambacho tunakifumbia macho walokole wanaokufa pia wapo wakristo, makanisa yamebomolewa lakini bado mlokole mmeshupaza shingo tu hamuoni?Waarabu wapo kimya kabisa,yeye kiherehere kaenda kushtaki,anataka sifa labda
Huijui historia ya chanzo Cha machafuko, hayajaanza juzi ni wazunguwayahudi kuchukua Kwa nguvu ardhi ya waparestinaHivi hili swali umeuliza ukiwa timamu au unajitoa ufahamu mbona majibu yako wazi Russia aliyoyafanya Ukraine ni zaidi ya Israel kule Gaza kwanza Russia hakuchokozwa alivamia kwa visingizio vya uwongo ila Israel alichokozwa October 7
Israel inajilinda dhidi magaidi,walibipu wakapigiwa, kiherehere cha afrika kusini mbio kushtaki alitala hayo magaidi yaimbiwe nyimbo?Taifa teule likiguswa walokole lalizima watoke mapangoni. Mbona Mimi sijaona shida hapo kwasababu Afrika kiusini wanatoa haki ya waparestina. Kitu ambacho tunakifumbia macho walokole wanaokufa pia wapo wakristo, makanisa yamebomolewa lakini bado mlokole mmeshupaza shingo tu hamuoni?
Tangu lini ile ikawa ardhi ya wapalestina?Sio kweli
Huijui historia ya chanzo Cha machafuko, hayajaanza juzi ni wazunguwayahudi kuchukua Kwa nguvu ardhi ya waparestina
Hiki kizungu ndio unaona umeongea points kumbe uhovyoSasa hoja hii kuihisisha na ukristu ndiyo umeona umechangia kwenye hoja kweli? Jaribu kujielimisha wala hujachelewa. SA does not have moral authority to argue this case at ICJ. Safe corridors and zones were created to civilians to leave the would be war zone prior to the start of actual combat but HAMAS prevent most civilians from leaving so that they could use them as HUMAN SHIELDS. Isn't that an act of GENOCIDE or GENOCIDAL INTENT? Genocide does not mean conduct only even INTENT constitutes GENOCIDE.
Haya sema ukristu una shida gani kwako.
Yes mkuu but it's too late for ANC,meli inazama, kila dakika 3 bunduki inalia, na ikilia kuna fatal one au mahututi, what's wrong with black peoples?nliwai mpima kaburu mmoja kituo x cha afya anasema chama tawala tangu kimechukua mamlaka mwaka 1994 wao badala ya kujenga nchi wanabomoa nchi sasa hv wazungu wengi makaburu wanahamisha technology kwenda mataifa mbali mbali mf ni hao akina Elon Munsk hata yeye kaja tz yupo mgodi x , ANC wawe makin sana
Acha kuota, ANC imepoteza metro zote ,jimbo la western cape hawatawali!,wewe ni mmoja wa wapumbavu wa kile chama kwenye nchi X iliyojaa waoga wa kizuzuANC kupigwa na chini pale south usahau tena usahau kabisaaa
Labda miaka 20 ijayo huko
Upo sahihi mkuu, usipoteze muds wako na vihiyo vinavyo ogopa vivuli vyaoSasa hoja hii kuihisisha na ukristu ndiyo umeona umechangia kwenye hoja kweli? Jaribu kujielimisha wala hujachelewa. SA does not have moral authority to argue this case at ICJ. Safe corridors and zones were created to civilians to leave the would be war zone prior to the start of actual combat but HAMAS prevent most civilians from leaving so that they could use them as HUMAN SHIELDS. Isn't that an act of GENOCIDE or GENOCIDAL INTENT? Genocide does not mean conduct only even INTENT constitutes GENOCIDE.
Haya sema ukristu una shida gani kwako.