Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

Acha kuota, ANC imepoteza metro zote ,jimbo la western cape hawatawali!,wewe ni mmoja wa wapumbavu wa kile chama kwenye nchi X iliyojaa waoga wa kizuzu
Vijana mnadhani kutukana ndio hoja kama hamna hoja muwe munatulia tuu

Ila huna tusi jipya hili nishalizoea hili tafta tusi jengine

Nakuambia tena hakuna chama cha kuiondoa ANC

Pia nakuambia sina chama sio kenya wala tz ambapo kote huko naweza kua na uhalali wakupiga kura

Wanasiasa wote dunia nzima waongo hata kama baba angu angekua mwanasiasa nae angekua muongo kama wenzake

Kama wewe unasema eti unachama pole wewe unalisha watu hali yakua wewe unateseka

Kesho kutwa nasikia nauli inapanda tena hapo
 
Sasa hapo tunarudi kwenye international law, hamas siyo state ni kikundi cha watu kwahiyo huwezi kuwapeleka icj rather individual anapelekwa icc, icj ni kwa states only , na alichofanya hamas ni ugaidi ila sio genocide , genocide ni kuangamiza race ya watu fulani wapotee ulimwenguni ndio kitu ambacho israel anafanya
Halafu hamas hana nguvu hizo yeye yupo under occupation anachofanya ni kufurukuta na kupinga uonezi ambao umekuwa ukifanyika for the past 50 years haukuanza oct 7
Comrade umejielekeza vibaya,

Hamas is not a party to the case before ICJ. Mimi nazungumzia matendo na maneno ya HAMAS siku zote na baada ya matendo yao ya tarehe 7 Oktoba 2023. Hata marafiki zao Iran na proxies zao INTENT yao siku zote ni kuliangamiza taifa la Israel. Hiyo ndiyo ninayoiita GENOCIDAL INTENT.

What Israel is facing may be referred to as Urban Warfare Challenges. Katika mazingira ambayo HAMAS anatumia raia wa Palestina, nyumba za ibada, majengo ya kiraia na miundo mbinu ya kiraia kama HUMAN SHIELD dhidi ya military combat ya Israel ni ngumu sana kuhakikisha raia wasio na hatia hawadhuriki kwa kiwango tunachokiona kwa sasa. HAMAS inakadiriwa kuwa na militants wasiopungua 30,000 ndani ya Gaza. Sasa kwa mujibu wa HAMAS wenyewe watu waliouawa ni zaidi ya 23,000 bila kutaja ni wangapi ni HAMAS militants.

Pamoja na hoja yako kuwa HAMAS ilifanya ugaidi tarehe 7 Oktoba 2023 hiyo haiondoi ukweli kuwa GENOCIDE ni sehemu ya lengo lake kama nilivyoeleza. Kama Israel ingekuwa inataka kuangamiza PALESTINIAN RACE ipotee ulimwenguni isingejiondoa kule GAZA mwaka 2005 kuwaacha wapalestina wajitawale.
 
Comrade umejielekeza vibaya,

Hamas is not a party to the case before ICJ. Mimi nazungumzia matendo na maneno ya HAMAS siku zote na baada ya matendo yao ya tarehe 7 Oktoba 2023. Hata marafiki zao Iran na proxies zao INTENT yao siku zote ni kuliangamiza taifa la Israel. Hiyo ndiyo ninayoiita GENOCIDAL INTENT.

What Israel is facing may be referred to as Urban Warfare Challenges. Katika mazingira ambayo HAMAS anatumia raia wa Palestina, nyumba za ibada, majengo ya kiraia na miundo mbinu ya kiraia kama HUMAN SHIELD dhidi ya military combat ya Israel ni ngumu sana kuhakikisha raia wasio na hatia hawadhuriki kwa kiwango tunachokiona kwa sasa. HAMAS inakadiriwa kuwa na militants wasiopungua 30,000 ndani ya Gaza. Sasa kwa mujibu wa HAMAS wenyewe watu waliouawa ni zaidi ya 23,000 bila kutaja ni wangapi ni HAMAS militants.

Pamoja na hoja yako kuwa HAMAS ilifanya ugaidi tarehe 7 Oktoba 2023 hiyo haiondoi ukweli kuwa GENOCIDE ni sehemu ya lengo lake kama nilivyoeleza. Kama Israel ingekuwa inataka kuangamiza PALESTINIAN RACE ipotee ulimwenguni isingejiondoa kule GAZA mwaka 2005 kuwaacha wapalestina wajitawale.
Malengo yanabadilika ukiangalia lengo na matamshi ya viongozi wa israel kwa sasa ni kwamba kama vita ikiisha wanaichukua gaza na hawataki two state solution
 
Malalamiko ya wananchi ni kawaida kwenye kila nchi ila heshima ya southafrica imekuwa kwa tukio la jana
wapo viongoz wa kiarab hawajapenda na wanaeza wakawapa zawad kdg ya bundle la ugaid ili wapate kuwapa ubusy kdg ,wanajiona wakubwa kwenye mambo ya watu , wenzao wanataka wapalestina wafutwe kabisa wao wanavuruga mipango
 
Nchi za afrika zinazidi kujianika kwa kujionesha unafiki,ona sasa eti afrika kusini imepeleka mashtaka mahakama ya kimataifa ya haki(ICJ),kulikuwa na haja gani kuishtaki Israel?,kama kweli wanapenda haki sana kwanini wasingewashtaki Russia kwa kuua watoto wa Ukraine bila kuchokozwa?,kwahiyo sasa imewauma sana kuliko Ukraine.
Afrika ina watu wa ajabu sana na wanafiki waliokubuhu.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Afrika Kusini imewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ikidai kuwa Israel inajihusisha na "vitendo vya mauaji ya halaiki" huko Gaza.

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ilithibitisha shauri hilo kuhusu madai ya ukiukaji wa majukumu ya Israel chini ya Mkataba wa Mauaji ya Kimbari.

Israel imekanusha vikali madai hayo, na kuyataja kuwa hayana msingi. "Israel inakataa kwa kuchukizwa na kashfa ya damu inayoenezwa na Afrika Kusini", wizara ya mambo ya nje ilisema.

Mahakama ya ICJ, ambayo iko mjini Hague nchini Uholanzi, ndiyo chombo kikuu cha sheria cha Umoja wa Mataifa.

Inasuluhisha mizozo kati ya mataifa na kutoa ushauri juu ya maswala ya kimataifa ya kisheria.

Kufuatia maombi yake kwa ICJ, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema katika taarifa kwamba nchi hiyo inalazimika "kuzuia mauaji ya halaiki kutokea".

"Afrika Kusini inasikitishwa sana na hali mbaya ya raia walionaswa katika mashambulizi ya sasa ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na matumizi ya nguvu kiholela na kuwahamisha watu kwenye makazi yao kwa nguvu," ilisema.

"Aidha, kuna ripoti zinazoendelea za uhalifu wa kimataifa, kama vile uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, unaofanywa pamoja na ripoti kwamba vitendo vinavyokidhi kizingiti cha mauaji ya kimbari au uhalifu unaohusiana ... vimefanywa na bado vinaweza kufanywa katika muktadha wa mauaji yanayoendelea Gaza."

Waraka huo wa kurasa 84 unasema kuwa "vitendo vinavyofanywa na Israel" ni " mauaji ya halaiki kwa sababu vinakusudiwa kuleta uharibifu wa sehemu kubwa ya kundi la taifa, rangi na kabila la Palestina".

Ombi hilo linaitaka ICJ kusikiliza kesi hiyo wiki ijayo na kuomba idadi ya "hatua za muda" zitolewe na mahakama hiyo, ikiwa ni pamoja na Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
BBC swahili
Wewe hapa ndo umeonesha ujinga wako hadharani.South Afrika wapo sahihi.
 
Mauaji ya Ukraine yanauma kwasababu Ukraine haikuchokoza Russia bali alivamiwa ila Hamas waliichokoza Israel October 7 na zaidi wakawachukua mateka raia wa kiyahudi hivi raia wa Africa kusini wangechukuliwa mateka na magaidi wa taifa lingine wangefanyaje?
Ukraine alimchokoza Russia Kwa sababu urusi hawezi kwenda kumwaga damu yake ovyoovyo bila sababu.Alafu watu wenye akili wanajua kuwa hivyo vita havijaanza mwaka huu au leo.imeanza siku hao wazungu walipotoka ulaya na kwenda kunyang'anya ardhi ya wapalestina.mtu mwerevu anajua waisraeli ndo wachokozi.
 
Malengo yanabadilika ukiangalia lengo na matamshi ya viongozi wa israel kwa sasa ni kwamba kama vita ikiisha wanaichukua gaza na hawataki two state solution
Matamshi hayo umeyasikia peke yako? Mbona South Africa katika mawasilisho yao kwenye case yao hawajayataja? Ni vyema usome tena kwenye vyanzo vyako vya taarifa hii ujiridhishe na na madai yako.
 
waarab wanapambana msisome ila wao wanaifuata elimu ulaya na America , ili waje wawaambie ujinga wowote na nyie mfuate , Mara mliwapokea mara walikuja wakapola kwa nguvu , kwahiyo hujui Uingereza ndo alikuwa mkolon hapo alipowapa uhuru akaamua Waarab wapewe eneo kubwa likaitwa Palestina na Wayaudi wapewe eneo dogo likaitwa Israel , Mlilala baada ya kujenga nchi mkajikita kwenye kujiimalisha kivita , wenzenu wamejenga nchi wamekuwa level moja na wazungu , sasa hv mnawaita wazungu , Waarab ni maf ya kuku kichwan hamnazo
Bado kasome vizuri historia, Mimi ni mkristo lakini ninafahamu kuwa wayahudi pale walikuwa wanaishi na wKkristo na waislamu wote wakitawaliwa na waingreza katika nchi inayoitwa parestina mpaka mwaka 1948 lilipotangazwa taifa jipya la Israel na umoja wa mataifa na waarabu wakakataa na hivyo ndivyo ugomvi wasasa ulikoanzia. Hapa sizungumzii dini Wala Uteule wa binadamu fulani, au sijui imeandikwa kwenye Nini hapo sitachangia. Kumbuka kuwa Uingereza ndio taifa la mwisho kuitawala parestina kama mkoloni, ingewa hapo nyuma walikuwapo wengine kama vile Warumi na Waturuki. (Ottoman Empire)
 
Matamshi hayo umeyasikia peke yako? Mbona South Africa katika mawasilisho yao kwenye case yao hawajayataja? Ni vyema usome tena kwenye vyanzo vyako vya taarifa hii ujiridhishe na na madai yako.
Wewe ndio unatakiwa usome hayo na ufuatilie kwa ukaribu

Na ili usipate taabu wala shida ya kutafuta ngoja nikurahisishie nenda kafatilie mahojiano ya balozi wa israhell pale Uingereza halaf urudi tena hapa


Aliyafanya ni week tatu ama mwezi mmoja nyuma kama unafika
 
Africa ya kusini inaihitaji zaidi Israel kuliko other way,na hii ni kutapa tapa kwa ANC ambao definitely next year wanapoteza uwezo wa kuitawala SA, another so called liberation party ina hit the dust!,na isipotokea hili nitatembea kwa miguu kutoka huku lingusenguse hadi kabuku,Handeni
We sema ispotokea tukufire kutembea ndo nn
 
Back
Top Bottom