Nchi za kiarabu zaipa meno Hizbullah. Zasema kuanzia sasa si kundi la kigaidi tena

Nchi za kiarabu zaipa meno Hizbullah. Zasema kuanzia sasa si kundi la kigaidi tena

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katibu mkuu wa jumuiya ya kiarabu mwishoni mwa wiki hii ameitembelea Lebanon na kukutana na kiongozi wa chama kinachoiwakilisha Hizbullah katika serikali ya Lebanon
Bwana Hossam Zaki baada ya kukutana na kiongozi huyo alifanya mahojiano na vyombo vya habari kikiwemo Alqahera cha Misri na kusema nchi za kiarabu zimeamua kuindosha Hizbullah kutoka orodha ya vikundi vya kigaidi.
Nchi za kiarabu awali mwaka 2016 zilikubali kuacha ushirikiano na kundi hilo kwa madai kuwa kilikuwa ni kikundi kibaya na chenye kuhatarisha amani ya mashariki ya kati.
Kauli hiyo ya jumuiya ya kiarabu inakuja wakati vita kati ya Israel na Hizbullah vikinukia kuanza hasa kutokana na shinikizo la Israel ambapo Hizbullah imekuwa ikirusha silaha za kivita kadhaa wa kadha kaskazini ya Lebanon na kusababisha hasara kwa jeshi la Israel pamoja na kulazimika kwa raia wanaokaribia laki moja kuhama makazi yao.
Aljazeera
 
Waarabu sio wa kuwaamini. Ghadafi alichapika na majeshi ya NATO walikua wanaangalia tu. Palestina anabondwa wapo wanakenua tu.

Mara ya mwisho waliungana kilichotokea wote mnakijua. Toka kipindi hicho Mwarabu hafagilii tena ishu za kolabo. Inshort hiki ulichoandika ni furahisha genge.
 
Katibu mkuu wa jumuiya ya kiarabu mwishoni mwa wiki hii ameitembelea Lebanon na kukutana na kiongozi wa chama kinachoiwakilisha Hizbullah katika serikali ya Lebanon
Bwana Hossam Zaki baada ya kukutana na kiongozi huyo alifanya mahojiano na vyombo vya habari kikiwemo Alqahera cha Misri na kusema nchi za kiarabu zimeamua kuindosha Hizbullah kutoka orodha ya vikundi vya kigaidi.
Nchi za kiarabu awali mwaka 2016 zilikubali kuacha ushirikiano na kundi hilo kwa madai kuwa kilikuwa ni kikundi kibaya na chenye kuhatarisha amani ya mashariki ya kati.
Kauli hiyo ya jumuiya ya kiarabu inakuja wakati vita kati ya Israel na Hizbullah vikinukia kuanza hasa kutokana na shinikizo la Israel ambapo Hizbullah imekuwa ikirusha silaha za kivita kadhaa wa kadha kaskazini ya Lebanon na kusababisha hasara kwa jeshi la Israel pamoja na kulazimika kwa raia wanaokaribia laki moja kuhama makazi yao.
Aljazeera
Hakuna cha hezbollah nyie mtaiponza lebanon muda sio mrefu maana myahudi katoa onyo hezbollah akiendelea kumshambulia atairudisha lebanon zama za mawe hana muda wa kupigana vita vya muda mrefu kama gaza sasa hatujui je myahudi ana makombora mengine ya hali ya juu hajawahi kutumia au atatumia nuklia zake kumgeuza lebanon zama za mawe kumbuka israel ni taifa la nuklia na myahudi huwa akisema anatenda kweli
 
Waarabu juzi walimsaidia Israel asipate Kibano cha Iran. nchi ya Jordan na Saudia walishiriki kutungua mavitu mazito ya Iran yasipige Israel.

Waarabu wa Saudia na Jordan ndo wanasafirisha bidhaa muhimu kwenye trucks kuipa israel baada ya Wahouthi kufunga bahari.

Anayesema Waarabu wana equation moja ktk hii ishu basi hajui siasa za mashariki ya kati zilivyo.
 
Hakuna cha hezbollah nyie mtaiponza lebanon muda sio mrefu maana myahudi katoa onyo hezbollah akiendelea kumshambulia atairudisha lebanon zama za mawe hana muda wa kupigana vita vya muda mrefu kama gaza sasa hatujui je myahudi ana makombora mengine ya hali ya juu hajawahi kutumia au atatumia nuklia zake kumgeuza lebanon zama za mawe kumbuka israel ni taifa la nuklia na myahudi huwa akisema anatenda kweli
Watu wa Hammas wakivamia wanapigwa kipigo cha mbwa Koko, wakivamia Hezbollah anaambiwa akirudia Tena ndio atakiona cha mtema kuni. Kwa nini asiwapige kama anavyopiga Hammas au anawaonea huruma Hezbollah?.
 
Hypocrisy is a sign of Muslims.. so washaona wamepata nguvu wanaungane wamvamie Israel. Wakati wakiwa dhaifu walijifanya rafiki let's us see.. ila hiyo news baada ya kuona source yake ni Aljazeera nimeshaweka caution.. Taqiyya
Mwarabu gani wa kuungana na hezibollah ili kuipiga Israel? Kama walijaribu 1967 wakaungana kwa Israel iliyokuwa dhaifu , sasa leo wanaungana dhidi ya Israel yenye nuclear na silaha za kisasa? Wanaungana dhidi ya USA, UK, France? Waarabu wanavituko, kwa akili na maamuzi hata Afrika tunawazidi ,vita ikianza watapoteana vibaya sana, kama wameshindwa kupeleka jeshi Gaza ambako wapalestina wanaunguzwa na mabomu. Lebanon itachafuka na kuharibika, Lebanano kuna informers wengi wa Israel, Lebanon nchi ya kikristo bado ina maumivu ya kugeuzwa nchi ya kiislamu kwa nguvu na wakimbizi wa Kipalestina waliokaribishwa na walebanon wakristo. Moto ukiwaka hilo kundi la wakristo wanakuwa upande wa Israel kwa siri .
 
Mwarabu gani wa kuungana na hezibollah ili kuipiga Israel? Kama walijaribu 1967 wakaungana kwa Israel iliyokuwa dhaifu , sasa leo wanaungana dhidi ya Israel yenye nuclear na silaha za kisasa? Wanaungana dhidi ya USA, UK, France? Waarabu wanavituko, kwa akili na maamuzi hata Afrika tunawazidi ,vita ikianza watapoteana vibaya sana, kama wameshindwa kupeleka jeshi Gaza ambako wapalestina wanaunguzwa na mabomu. Lebanon itachafuka na kuharibika, Lebanano kuna informers wengi wa Israel, Lebanon nchi ya kikristo bado ina maumivu ya kugeuzwa nchi ya kiislamu kwa nguvu na wakimbizi wa Kipalestina waliokaribishwa na walebanon wakristo. Moto ukiwaka hilo kundi la wakristo wanakuwa upande wa Israel kwa siri .
Unaropoka sana.
Israel ya 1967 haikuwa dhaifu uache uongo.
Israel ya kipindi hiko ndio ilikua ina most powerful and sophisticated weapons from USA ambazo mataifa ya kiarabu walikua hawana.
Kipindi hiko Israel ilikua ina well trained pilot wa kijeshi middle east nzima hakuna.
Utasemaje ilikua dhaifu we jamaa!!??
Lebanon nzima inaikubali Hizbollah,kwasababu kama sio Hizbollah basi 2006 mipaka ya maji yenye gesi na mafuta ingekua ishabebwa na Israel na kusini mwa Lebanon kungekuwa sehemu ya Israel.
Hizbollah inapendwa na raia mpaka viongozi wa Israel,na Lebanon sio nchi ya kiislam kijana,ni taifa lenye uhuru wa kuabudu dini zote na mara nyingi viongozi waziri mkuu na rais ni wanakuaga wakristo.
Hivyo suala la dini lime balance mizani Lebanon.

Hizbollah inalelewa na Iran,Israel ikiingia vitani na Hizbollah basi ijue inapigana na Iran.
We unadhani Israel wajinga kukaa na kubweka toka mwaka jana Oktoba licha ya kushambuliwa na Hizbollah!!!??
 
Hakuna cha hezbollah nyie mtaiponza lebanon muda sio mrefu maana myahudi katoa onyo hezbollah akiendelea kumshambulia atairudisha lebanon zama za mawe hana muda wa kupigana vita vya muda mrefu kama gaza sasa hatujui je myahudi ana makombora mengine ya hali ya juu hajawahi kutumia au atatumia nuklia zake kumgeuza lebanon zama za mawe kumbuka israel ni taifa la nuklia na myahudi huwa akisema anatenda kweli
Angekua ana uwezo angeshafanya.
Toka mwaka jana Oktoba Hizbollah amekua akiishambulia Israel.
Hiyo Hizbollah ina silaha zinazolingana na Israel KASORO NUKES na ndege vita tu.
Tena Hizbollah ina idadi kubwa ya makombora,mizinga na maroketi kuliko Israel.
 
Hypocrisy is a sign of Muslims.. so washaona wamepata nguvu wanaungane wamvamie Israel. Wakati wakiwa dhaifu walijifanya rafiki let's us see.. ila hiyo news baada ya kuona source yake ni Aljazeera nimeshaweka caution.. Taqiyya
Lebanon kiongozi ni mkristo sio muislam.
Pia hapo umezungumziwa jumuiya ya nchi za kiarabu wewe unaleta uislamu ulivyo punguani.
Kama unafiki kuna mtu anamzidi USA kwa unafiki!!??
Au tueleze unafiki wa wamagharibi hapa!?

Habari za Al-Jazeera ni za uhakika kuliko BBC,CNN au FRANCE 24.
Ndio maana mwaka huu wamepewa tuzo ya BROADCASTER OF THE YEAR na NEW YORK TIMES MAREKANI.
 
Waarabu sio wa kuwaamini. Ghadafi alichapika na majeshi ya NATO walikua wanaangalia tu. Palestina anabondwa wapo wanakenua tu.

Mara ya mwisho waliungana kilichotokea wote mnakijua. Toka kipindi hicho Mwarabu hafagilii tena ishu za kolabo. Inshort hiki ulichoandika ni furahisha genge.
Waarabu wamezinduka na wana akili kuliko wewe uliyeandika hiki hapa.
Waarabu sasa hivi hawataki kuendekeza vita tu,washajua namna ya kupambana kwa geopolitics kitu ambacho Israel aliwasifu huko nyuma ndio maana aliweza kuwaangamiza kirahisi.
Israel kutengwa kiasi mataifa makubwa kuvunja uhusiano na Israel na kuisapoti Palestina ni kazi ya vikao vya Cairo peace summit vilivyofanyika mwaka jana jijini Cairo chini ya Elsisi na Hamad Thamim AlThani.
Vile vikao vilialika viongozi wakubwa hadi wa Western powers ikiwemo Spain na Belgium na Brazil.
Ulijadiliwa mgogoro mzima na ushahidi kutolewa na ikaonekana ugomvi haukuanzia Oktoba 7 bali August.
Sasa hivi Israel inaonekana kupoteza nguvu kwenye geopolitics kiasi USA na UK wanashindwa kumshika mkono kama zamani.
anti-Semitism imekua kwa kiwango kikubwa hadi nchi za magharibi.
Kifupi Israel imechafuliwa kidiplomasia duniani.
Hamas wamekataa kuitambua kama kundi la kigaidi,ni USA,UK na Germany tu ndiye anayetambua Hamas ni magaidi.
Hiyo ni achievement kubwa kwa waarabu.
Haijaisha kitendo cha kuitoa Hizbollah katika kundi la kigaidi kunaipa nguvu Hizbollah na Iran kuzidisha operation zao.
Ila kwa akili fupi huwezi kuwaelewa waarabu,wanauma na kupuliza kwasababu wanajua wakisema wawashe moto itaharibu na kuleta madhara makubwa.
Hivyo hiyo Israel itadhoofishwa na waarabu kidiplomasia huku ikidhoofishwa na waajemi kijeshi.
 
Hakuna cha hezbollah nyie mtaiponza lebanon muda sio mrefu maana myahudi katoa onyo hezbollah akiendelea kumshambulia atairudisha lebanon zama za mawe hana muda wa kupigana vita vya muda mrefu kama gaza sasa hatujui je myahudi ana makombora mengine ya hali ya juu hajawahi kutumia au atatumia nuklia zake kumgeuza lebanon zama za mawe kumbuka israel ni taifa la nuklia na myahudi huwa akisema anatenda kweli
Uzuri mumeshaanza kutambua kama bila nyuklia hata kdf wanaweza wakaibonda idf
Israhell na americant bila nyuklia sawa na burundi
 
Mwarabu gani wa kuungana na hezibollah ili kuipiga Israel? Kama walijaribu 1967 wakaungana kwa Israel iliyokuwa dhaifu , sasa leo wanaungana dhidi ya Israel yenye nuclear na silaha za kisasa? Wanaungana dhidi ya USA, UK, France? Waarabu wanavituko, kwa akili na maamuzi hata Afrika tunawazidi ,vita ikianza watapoteana vibaya sana, kama wameshindwa kupeleka jeshi Gaza ambako wapalestina wanaunguzwa na mabomu. Lebanon itachafuka na kuharibika, Lebanano kuna informers wengi wa Israel, Lebanon nchi ya kikristo bado ina maumivu ya kugeuzwa nchi ya kiislamu kwa nguvu na wakimbizi wa Kipalestina waliokaribishwa na walebanon wakristo. Moto ukiwaka hilo kundi la wakristo wanakuwa upande wa Israel kwa siri .
Israhell yenye nguvu ipi hii inayopigana na hamas zaidi ya miezi nane sasa au israhell gani
Israhell haijawahi kua imara toka iundwe mwaka 1948
mwisho bila nyuklia israhell inaku kaka botswana
 
Israhell yenye nguvu ipi hii inayopigana na hamas zaidi ya miezi nane sasa au israhell gani
Israhell haijawahi kua imara toka iundwe mwaka 1948
mwisho bila nyuklia israhell inaku kaka botswana
Israel inapigana vita ya huruma ila Arabs wakitaka vita ya kumangamizi karibuni sana tutizame..
 
Waarabu sio wa kuwaamini. Ghadafi alichapika na majeshi ya NATO walikua wanaangalia tu. Palestina anabondwa wapo wanakenua tu.

Mara ya mwisho waliungana kilichotokea wote mnakijua. Toka kipindi hicho Mwarabu hafagilii tena ishu za kolabo. Inshort hiki ulichoandika ni furahisha genge.
Ni taarifa halisi isipokuwa nakubaliana na wewe kuhusu waarabu.
 
Hakuna cha hezbollah nyie mtaiponza lebanon muda sio mrefu maana myahudi katoa onyo hezbollah akiendelea kumshambulia atairudisha lebanon zama za mawe hana muda wa kupigana vita vya muda mrefu kama gaza sasa hatujui je myahudi ana makombora mengine ya hali ya juu hajawahi kutumia au atatumia nuklia zake kumgeuza lebanon zama za mawe kumbuka israel ni taifa la nuklia na myahudi huwa akisema anatenda kweli
Taarifa zako sio za leo ni za enzi zile.
Kuna makundi ya kijeshi kadhaa yanayoizunguka Israel yameshatangaza kuingia kati mara vita vikianza.Wewe unajuwa pia kuwa waislamu na sizungumzii waarabu peke yao huwa hawatanii na hawana chembe ya woga.
Hakuna chochote kingine kilichofanya Israel kusindwa kufikia malengo yake isipokuwa ni ushujaa wa Hamas kama kikundi cha kiislamu.
 
Warabu wanafiki kama wafrica, Hezbullah lazima awe makini nao sana hao haswa Saud Arabia, Egypt, Morocco, UAE. Baharain na Jordan.
 
Angekua ana uwezo angeshafanya.
Toka mwaka jana Oktoba Hizbollah amekua akiishambulia Israel.
Hiyo Hizbollah ina silaha zinazolingana na Israel KASORO NUKES na ndege vita tu.
Tena Hizbollah ina idadi kubwa ya makombora,mizinga na maroketi kuliko Israel.
Karibuni hivi Hizbullah wametangaza wameshapokea silaha zote walizokuwa wakizitaka.Hawakusema ni kutoka wapi.Hata hivyo Hizbullah wana silaha zinazowashangaza Israel.Kuna aina fulani ya kombora linaibuka chini ya ardhi pasipotarajiwa na likiibuka tu linachukua njia za kupinda pinda mpaka inakuwa shinda kujua lilipotokea kwa Israel kupiga eneo hilo.Teknolojia kama hiyo iko kwa kiwango kikubwa Urusi
Ufupi wa maelezo naungana nawe kuwa nchi za kiarabu zina silaha za kutoksha tatizo ni ujinga wao tu na udhaifu wa imani.
 
Karibuni hivi Hizbullah wametangaza wameshapokea silaha zote walizokuwa wakizitaka.Hawakusema ni kutoka wapi.Hata hivyo Hizbullah wana silaha zinazowashangaza Israel.Kuna aina fulani ya kombora linaibuka chini ya ardhi pasipotarajiwa na likiibuka tu linachukua njia za kupinda pinda mpaka inakuwa shinda kujua lilipotokea kwa Israel kupiga eneo hilo.Teknolojia kama hiyo iko kwa kiwango kikubwa Urusi
Ufupi wa maelezo naungana nawe kuwa nchi za kiarabu zina silaha za kutoksha tatizo ni ujinga wao tu na udhaifu wa imani.
Waarabu sasa hivi hawataki kukurupuka maana wana hofu ya kushindwa kama miaka ya 1960s.
Sasa hivi wanacheza michezo ya kisiasa nao pia.
Ila Iran siasa hajui yeye anajua nguvu tu.
 
Back
Top Bottom