Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
- Thread starter
- #41
Cha kushangaza matangazo hayo ya kuuliwa watu na viongozi wa Hizbullah badala kupunguza mashambulizi dhidi ya Israel ndio kila siku yanazidi.So far Hezbollah wameua askari 20 huko kaskazini mwa israeli tangu Oct 7, Israel imeua magaidi ya Hezbollah zaidi ya 500 ikiwa pamoja na viongozi waandamizi Zaidi ya kumi
Wanaibuka wakali zaidi kuliko waliouliwa.