Nchi za kiarabu zaipa meno Hizbullah. Zasema kuanzia sasa si kundi la kigaidi tena

Nchi za kiarabu zaipa meno Hizbullah. Zasema kuanzia sasa si kundi la kigaidi tena

Duniani hawaitambua Hizbollah kama ni terrorist organization,hilo unalitambua wewe kaka na Israel.
Nchi haiendeshwi na uwekezaji tu,kuna vyanzo vingi vya mapato ya kuiendesha nchi.
Serikali ya Lebanon ilishaanguka kama ilivyoanguka ya Syria toka 1958.
Hawakuwatoa kwenye kundi la magaidi sababu US kataka Hezbollah wawachie waisrael warudi kule North.

Hezbullah wamegoma, ikabidi The Arab League wawasikiliza US, walidhani wakifanya vile watamlainisha Hezbullah awache kuwachapa Israel 😄


Lazima mfahamu The Arab League ni Saud Arabia na Egypt wao ndio balaa hapo, na hao wanafanya US anacho wambia hahaha huo umoja wa kimarekani sio wakiarabu.

Afu Hezbullah toka kaweko kwenye sijui wanaita group la magaidi wamepata nini hao umoja wa nchi za kiarabu. Au ume mdhuru nini Hezbullah.
 
Hawakuwatoa kwenye kundi la magaidi sababu US kataka Hezbollah wawachie waisrael warudi kule North.

Hezbullah wamegoma, ikabidi The Arab League wawasikiliza US, walidhani wakifanya vile watamlainisha Hezbullah awache kuwachapa Israel 😄


Lazima mfahamu The Arab League ni Saud Arabia na Egypt wao ndio balaa hapo, na hao wanafanya US anacho wambia hahaha huo umoja wa kimarekani sio wakiarabu.

Afu Hezbullah toka kaweko kwenye sijui wanaita group la magaidi wamepata nini hao umoja wa nchi za kiarabu. Au ume mdhuru nini Hezbullah.
Mkuu ninachomaanisha internationally Hizbollah haijawekwa katika black list.
Ni sawa na Hamas anayeitambua kuwa ni kundi la kigaidi ni USA na washirika wake,ila duniani kwingine hawajalipitisha hilo.
 
Mkuu ninachomaanisha internationally Hizbollah haijawekwa katika black list.
Ni sawa na Hamas anayeitambua kuwa ni kundi la kigaidi ni USA na washirika wake,ila duniani kwingine hawajalipitisha hilo.
Mkuu maneno yako ni 💯

Afu Hezbollah wala wanahabari na kelele zao, si wanaishia kupiga makelele kwao.

Kule Lebanon wanawabunge wao na wana mawaziri kwenye serekali ya Lebanon mbona US ana deal.na serekali ya Lebanon kama ni ya magaidi 😄
 
Mkuu maneno yako ni 💯

Afu Hezbollah wala wanahabari na kelele zao, si wanaishia kupiga makelele kwao.

Kule Lebanon wanawabunge wao na wana mawaziri kwenye serekali ya Lebanon mbona US ana deal.na serekali ya Lebanon kama ni ya magaidi 😄
Hili ni kama sakata la Al-Jazeera,Jordan,Saudi Arabia,Egypt waliwahi kuifungia Al-Jazeera na kudai chombo kinachowatetea na kuwafadhili magaidi.
Ila nchi zingine ziliiruhusu Al-Jazeera ifanye kazi na hawakuwaingiza katika black list.
Mwishowe wenyewe wakatoa ban ya Al-Jazeera katika mataifa yao.
 
Magaidi Hezbollah wamekufa wangapi?!
Uzuri wa Hezbullah huwa anaona ufahari kutangaza kama watu wake wamekufa hafichi, walio kufa hawafiki hata 50.

Israel wanaficha lakini kuna mwanamke ambaye yupo kwenye embassy ya Israel kule UN. Alikuwa akitoa speech kulalamika Hezbullah anacho fanya kule North Israel ni balaa, kasema wameuwa watu 350, na wamejehuriwa 15,000 na 260,000 walio kimbia.

Kumbuka jeshi la Israel huwa hawasemi ukweli wakisema wamekufa 350 ujuwe ni 3500 hapo.
 
Wawape na HAMAS
Wawape nini? Hamasi amewamaliza wanajeshi wa Israel mpaa waziri wa majeshi ya Israel anaomba watu 10,000 wa Israel wajiunge, anasema wa nje hawataki kuja tena 😄

Kumbe hata black water wame.msaidia Israel, wamepigika ile mbaya na jana yule commander wao mkuu wa Black water, kapelekwa jahanamu na risasi za Hamasi.
 
Wawape nini? Hamasi amewamaliza wanajeshi wa Israel mpaa waziri wa majeshi ya Israel anaomba watu 10,000 wa Israel wajiunge, anasema wa nje hawataki kuja tena 😄

Kumbe hata black water wame.msaidia Israel, wamepigika ile mbaya na jana yule commander wao mkuu wa Black water, kapelekwa jahanamu na risasi za Hamasi.
hizo silaha
 
hizo silaha
Tatizo Hezbullah hana mpaka na Gaza, lakini Jordan na Egypt ndio wanazuia silaha sisiende Gaza.

Kwani we unadhani ule msada wanao pewa kila mwaka na US hao Egypt na Jordan, ni kwa sababu gani, si kwa ajili ya kuwalinda Israel 😄
 
Back
Top Bottom