Nchi za kiarabu zaipa meno Hizbullah. Zasema kuanzia sasa si kundi la kigaidi tena

Nchi za kiarabu zaipa meno Hizbullah. Zasema kuanzia sasa si kundi la kigaidi tena

Waarabu sio wa kuwaamini. Ghadafi alichapika na majeshi ya NATO walikua wanaangalia tu. Palestina anabondwa wapo wanakenua tu.

Mara ya mwisho waliungana kilichotokea wote mnakijua. Toka kipindi hicho Mwarabu hafagilii tena ishu za kolabo. Inshort hiki ulichoandika ni furahisha genge.
Hawafuatilii mambo wanadakia tu habari, kwanza viongozi wote middle east ni washirika wa US, US ndio Israel. Kwa ufupi Lebanon inaandaliwa kupigwa na Israel, akimalizana nao hao anamgeukia Iran. Sasa hivi anamaliza proxies.
 
Hawafuatilii mambo wanadakia tu habari, kwanza viongozi wote middle east ni washirika wa US, US ndio Israel. Kwa ufupi Lebanon inaandaliwa kupigwa na Israel, akimalizana nao hao anamgeukia Iran. Sasa hivi anamaliza proxies.
Akina nyinyi ndio mumebaki na mawazo hayo.Lakini washirika wote wa Israel wana hofu sana na vita baina ya Israel na Hizbullah. Kwa sababu mtu wao wanajua ameshadhoofika sana na wao wenyewe hawana nguvu za kumsaidia.
Na wameshajua kuwa hamasa za vikundi vinavyopingana na Israel na kuwatetea wapalestina ndio zimepanda sana muda huu.
 
Hawafuatilii mambo wanadakia tu habari, kwanza viongozi wote middle east ni washirika wa US, US ndio Israel. Kwa ufupi Lebanon inaandaliwa kupigwa na Israel, akimalizana nao hao anamgeukia Iran. Sasa hivi anamaliza proxies.
Hizi akili za unyumbu mnazitoa wapi!?
Hiyo Iran tokea 1980 hadi leo USA kashindwa kuipiga.
Hao waarabu usiwaone ni wajinga bali wanamlia timing huyo USA na Israel.
Unadhani wao hawajui kuwa hawako salama chini ya USA na Israel!?
Kwa kulifahamu hilo wametumia karata ya kisiasa kumdhoofisha Israel kidiplomasia.
Pia wamemaliza uhasama baina yao.
Na sasa hivi wanaifuata Iran katika ushirika wa kibiashara ikiwemo wa silaha.
Hujajiuliza tu hao waarabu wanajiandaa na nini!!??
We kaa kariri maisha.
 
Hizi akili za unyumbu mnazitoa wapi!?
Hiyo Iran tokea 1980 hadi leo USA kashindwa kuipiga.
Hao waarabu usiwaone ni wajinga bali wanamlia timing huyo USA na Israel.
Unadhani wao hawajui kuwa hawako salama chini ya USA na Israel!?
Kwa kulifahamu hilo wametumia karata ya kisiasa kumdhoofisha Israel kidiplomasia.
Pia wamemaliza uhasama baina yao.
Na sasa hivi wanaifuata Iran katika ushirika wa kibiashara ikiwemo wa silaha.
Hujajiuliza tu hao waarabu wanajiandaa na nini!!??
We kaa kariri maisha.
Hakuna unachokijua katika siasa za Middle East. Ni upumbavu wa hali ya juu kusema eti waarabu wanawalia timing US na Israel. Naomba nisiendelee tena hoja na wewe, endelea na wengine mkuu.
 
Hakuna unachokijua katika siasa za Middle East. Ni upumbavu wa hali ya juu kusema eti waarabu wanawalia timing IS na Israel. Naomba nisiendelee tena hoja na wewe, endelea na wengine mkuu.
Basi nikusikitikie na nikuage kwa kukwambia kuwa PUNGUZA UJUAJI KAA JIFUNZE KICHWANI WEWE NI MWEUPE KAMA PAMBA YA SUFI.
PIA NAKUPA ELIMU kafuatilie CAIRO/ARAB PEACE SUMMIT ilivyomchafua Israel kisiasa.

Uwe na usiku mwema ngojea nijadiliane na WAJUZI WENYE UELEWA.
 
Akina nyinyi ndio mumebaki na mawazo hayo.Lakini washirika wote wa Israel wana hofu sana na vita baina ya Israel na Hizbullah. Kwa sababu mtu wao wanajua ameshadhoofika sana na wao wenyewe hawana nguvu za kumsaidia.
Na wameshajua kuwa hamasa za vikundi vinavyopingana na Israel na kuwatetea wapalestina ndio zimepanda sana muda huu.
Ndio wale wale, msioelewa uhalisia wa mambo mnapelekeshwa na mihemko na ushabiki wa kidini badala ya kujielimisha unabeba tu msg zenu za whatsapp na kuwa wajinga.
 
Akina nyinyi ndio mumebaki na mawazo hayo.Lakini washirika wote wa Israel wana hofu sana na vita baina ya Israel na Hizbullah. Kwa sababu mtu wao wanajua ameshadhoofika sana na wao wenyewe hawana nguvu za kumsaidia.
Na wameshajua kuwa hamasa za vikundi vinavyopingana na Israel na kuwatetea wapalestina ndio zimepanda sana muda huu.
😂😂😂😂😂😂Mtu anaropoka akisema eti waarabu wote wako nyuma ya USA na Israel,Aiseeee!!
Hajafuatilia hatua wanazochukua waarabu kisiasa na kijeshi anakomalia waarabu wako nyuma ya USA na Israel.
-Hakutizama CAIRO peace summit ilivyomchafua ISRAEL geopolitically.
-Hawakutizama kuimarishwa kwa mahusiano kati ya Waarabu na Iran.
-Hawakutizama kupinga kwa mataifa ya kiarabu USA asitumie kambi zao dhidi ya HOUTHI.
-Hawakutizama kuwa Saudi Arabia imevunja mkataba wa PETRODOLLAR.

Stori za vijiweni zinaharibu sana vijana.
 
Waarabu sio wa kuwaamini. Ghadafi alichapika na majeshi ya NATO walikua wanaangalia tu. Palestina anabondwa wapo wanakenua tu.

Mara ya mwisho waliungana kilichotokea wote mnakijua. Toka kipindi hicho Mwarabu hafagilii tena ishu za kolabo. Inshort hiki ulichoandika ni furahisha genge.
Waliungana nchi tatu na mmoja morocco ndio aliowasaliti akaita mossad waje kwenye kikao wakachukua siri zote wakawawahi ,ndio maana iran ana operate kivyake vyake siku zote , na hezbollah huyu huyu mwaka 2006 alizichapa na israel hadi israel akaenda kuomba cease fire UN so usifananishe iran na hawa morocco au waarabu wengine hawa ni persians wanatengeneza silaha wenyewe na wanachokifanya red sea hadi leo hakuna alioweza kuwazuia, hakuna meli yoyote inayohusiana na israel kupita
 

Attachments

  • Screenshot_20240630-183349_Chrome.jpg
    Screenshot_20240630-183349_Chrome.jpg
    338.9 KB · Views: 2
Hawafuatilii mambo wanadakia tu habari, kwanza viongozi wote middle east ni washirika wa US, US ndio Israel. Kwa ufupi Lebanon inaandaliwa kupigwa na Israel, akimalizana nao hao anamgeukia Iran. Sasa hivi anamaliza proxies.
Walokole bana Israeli ingeachwa yenyewe na hama nakuambia maisha yangekuwa magumu sana ..halafu unataka kuwalinganisha na iran kama sio kujaza makamasi kichwani nini
 
Mgogoro kati ya Israel na Hezbollah ni tofauti na Hammas kwasababu Gaza ni eneo gumu kufikisha misaada kwani imezungukwa kijeshi na Israel lakini Lebanon inafikika kirahisi kutoka sehemu mbalimbali kwahiyo misaada ya silaha na wapiganaji itawafikia Hezbollah kiiurahisi tofauti na Hammas. Na hivyo kufanya vita kuwa kubwa
 
Watu wa Hammas wakivamia wanapigwa kipigo cha mbwa Koko, wakivamia Hezbollah anaambiwa akirudia Tena ndio atakiona cha mtema kuni. Kwa nini asiwapige kama anavyopiga Hammas au anawaonea huruma Hezbollah?.
Lini magaidi Hezbollah walivamia israeli kama walivyofanya magaidi ya Hamas Oct 7 2023
 
Walokole bana Israeli ingeachwa yenyewe na hama nakuambia maisha yangekuwa magumu sana ..halafu unataka kuwalinganisha na iran kama sio kujaza makamasi kichwani nini
Iran kauliwa kamanda wake wa vikosi maalum vya jeshi na ujasusi nini walifanya?

Ubalozi wao ulilipuliwa na Israel huko Lebanon nini walifanya?

Kinachofanyika sasa hivi wanamaliza nguvu Proxies wa Iran ndani ya Syria, Lebabon, Iraq na Yemen baadae kuipiga Iran yenyewe.

Sasa watu hawafuatilii wala kujifunza mambo, anasoma andiko la whatsapp group zao anakuja kuleta hoja haelewi hata siasa za Mashariki ya kati zikoje pamoja na historia.

Alishajiuliza kwenye ile Arab Spring kuna nchi hazikifanyika mapinduzi ikiwemo Jordan na Saudia Arabia.
 
Ndio wale wale, msioelewa uhalisia wa mambo mnapelekeshwa na mihemko na ushabiki wa kidini badala ya kujielimisha unabeba tu msg zenu za whatsapp na kuwa wajinga.
Uhalisia ni ule unaojitokeza hadharani hata kama wewe unajifanya kipofu ili usiangalie.
Vita vikianza kwa kasi baina ya Israel na Hizbullah sasa ndio mashariki ya kati itachafuka na Israel itafutika na US watafukuzwa.
Elewa kuwa Israel imezingirwa na nchi ambazo zote hazina urafiki nayo hata kama kuna baadhi zimesaini mikataba baina yao.Tofauti na Gaza hizo nchi zina mipaka yake iko wazi kuingiza wanachokitaka kama ni wapiganaji au silaha.
Kumbuka Israel imeshachoshwa sana na kujeruhiwa na wapalestina waliojiunda pamoja chini ya Hamas.
Israel ina upungufu mkubwa wa silaha,kila siku inalilia na wa kuisaidia ikiwa ni Marekani na Uiengereza kila mmoja ana hali mbaya pia baada ya kujiingiza Ukraine kichwa kichwa.
Tumia akili vyema utajua kuwa usalama wa Israel ni kuacha vita haraka.
 
Uhalisia ni ule unaojitokeza hadharani hata kama wewe unajifanya kipofu ili usiangalie.
Vita vikianza kwa kasi baina ya Israel na Hizbullah sasa ndio mashariki ya kati itachafuka na Israel itafutika na US watafukuzwa.
Elewa kuwa Israel imezingirwa na nchi ambazo zote hazina urafiki nayo hata kama kuna baadhi zimesaini mikataba baina yao.Tofauti na Gaza hizo nchi zina mipaka yake iko wazi kuingiza wanachokitaka kama ni wapiganaji au silaha.
Kumbuka Israel imeshachoshwa sana na kujeruhiwa na wapalestina waliojiunda pamoja chini ya Hamas.
Israel ina upungufu mkubwa wa silaha,kila siku inalilia na wa kuisaidia ikiwa ni Marekani na Uiengereza kila mmoja ana hali mbaya pia baada ya kujiingiza Ukraine kichwa kichwa.
Tumia akili vyema utajua kuwa usalama wa Israel ni kuacha vita haraka.
Israel ifutike, Unajua walioitengeneza Israel? au unafikiri walijitokeza tu pale Palestine na wakati hawakuwepo. Unajua kwa nini Ottoman Empire ilikufa? Unajua nchi za kiarabu zilipata msaada kutoka wapi mpaka zikadai uhuru na kuanza kuvunja Ottoman Empire? Unasoma kweli historia?

Saudia Arabia ndio the strongest Arab katika middle east na ndio the closest Ally wa US hapo Middle East miaka nenda rudi.

US na UK ni wauzaji wakubwa wa silaha za kisasa kwa Saudia Arabia umeshajiuliza kwa nini?

Anyway atleast umeonesha hoja kuliko matusi. Muda utaongea tutaendelea na hoja zetu
 
Lini magaidi Hezbollah walivamia israeli kama walivyofanya magaidi ya Hamas Oct 7 2023
2006 waliwahi kuvuka mpaka wa Northern Israel na kuua askari jeshi wanne wa IDF na kuteka wanne ambapo mmoja alikufa kwa majeraha.
Toka mwaka jana Oktoba imekua ikishambulia ndani ya mipaka ya Israel kwa makombora.
Hiyo ina utofauti gani na uvamizi!?
 
Gaidi anamsafisha gaidi mwenzake
Katibu mkuu wa jumuiya ya kiarabu mwishoni mwa wiki hii ameitembelea Lebanon na kukutana na kiongozi wa chama kinachoiwakilisha Hizbullah katika serikali ya Lebanon
Bwana Hossam Zaki baada ya kukutana na kiongozi huyo alifanya mahojiano na vyombo vya habari kikiwemo Alqahera cha Misri na kusema nchi za kiarabu zimeamua kuindosha Hizbullah kutoka orodha ya vikundi vya kigaidi.
Nchi za kiarabu awali mwaka 2016 zilikubali kuacha ushirikiano na kundi hilo kwa madai kuwa kilikuwa ni kikundi kibaya na chenye kuhatarisha amani ya mashariki ya kati.
Kauli hiyo ya jumuiya ya kiarabu inakuja wakati vita kati ya Israel na Hizbullah vikinukia kuanza hasa kutokana na shinikizo la Israel ambapo Hizbullah imekuwa ikirusha silaha za kivita kadhaa wa kadha kaskazini ya Lebanon na kusababisha hasara kwa jeshi la Israel pamoja na kulazimika kwa raia wanaokaribia laki moja kuhama makazi yao.
Aljaze
 
2006 waliwahi kuvuka mpaka wa Northern Israel na kuua askari jeshi wanne wa IDF na kuteka wanne ambapo mmoja alikufa kwa majeraha.
Toka mwaka jana Oktoba imekua ikishambulia ndani ya mipaka ya Israel kwa makombora.
Hiyo ina utofauti gani na uvamizi!?
Tukio la Hamas kuvamia na kuuwa zaidi ya raia 1400 pamoja na wanajeshi zaidi ya 200 pamoja na kuteka raia huwezi kulinganisha na matukio ya Hezbollah ya kuvizia. Lile tukio lilikua tangazo la vita.
 
Tukio la Hamas kuvamia na kuuwa zaidi ya raia 1400 pamoja na wanajeshi zaidi ya 200 pamoja na kuteka raia huwezi kulinganisha na matukio ya Hezbollah ya kuvizia. Lile tukio lilikua tangazo la vita.
Kushambulia mipaka ya taifa lingine kwa silaha nzito ni moja kwa moja kutangaza vita na nchi husika.
Pia tukilinganisha madhara mashambulizi ya Hizbollah kaskazini mwa Israel kuna askari zaidi ya 500 washafariki sasa hivi na idadi hiyo au zaidi ya hiyo ni walemavu wa kudumu.
Makazi yameharibiwa na raia zaidi ya laki moja wameyakimbia makazi.
Je hiki sio kitu cha kutangaza vita!???
 
Uhalisia ni ule unaojitokeza hadharani hata kama wewe unajifanya kipofu ili usiangalie.
Vita vikianza kwa kasi baina ya Israel na Hizbullah sasa ndio mashariki ya kati itachafuka na Israel itafutika na US watafukuzwa.
Elewa kuwa Israel imezingirwa na nchi ambazo zote hazina urafiki nayo hata kama kuna baadhi zimesaini mikataba baina yao.Tofauti na Gaza hizo nchi zina mipaka yake iko wazi kuingiza wanachokitaka kama ni wapiganaji au silaha.
Kumbuka Israel imeshachoshwa sana na kujeruhiwa na wapalestina waliojiunda pamoja chini ya Hamas.
Israel ina upungufu mkubwa wa silaha,kila siku inalilia na wa kuisaidia ikiwa ni Marekani na Uiengereza kila mmoja ana hali mbaya pia baada ya kujiingiza Ukraine kichwa kichwa.
Tumia akili vyema utajua kuwa usalama wa Israel ni kuacha vita haraka.
Hivi mkuu lini Israel ililipua balozi ya Iran nchini Lebanon!??
Naomba utujibie hili mkuu,maana kuna mtu amesema Israel ililipua balozi ya Iran ndani ya Lebanon.
 
Kushambulia mipaka ya taifa lingine kwa silaha nzito ni moja kwa moja kutangaza vita na nchi husika.
Pia tukilinganisha madhara mashambulizi ya Hizbollah kaskazini mwa Israel kuna askari zaidi ya 500 washafariki sasa hivi na idadi hiyo au zaidi ya hiyo ni walemavu wa kudumu.
Makazi yameharibiwa na raia zaidi ya laki moja wameyakimbia makazi.
Je hiki sio kitu cha kutangaza vita!???
So far Hezbollah wameua askari 20 huko kaskazini mwa israeli tangu Oct 7, Israel imeua magaidi ya Hezbollah zaidi ya 500 ikiwa pamoja na viongozi waandamizi Zaidi ya kumi
 
Back
Top Bottom