- Thread starter
- #141
Mkuu unasoma habari Al Jazeera au, Nani kakwambia Saudi Arabia hakuna homeless ? hata Japan wapo, embuse Saudi ? labda uniambie ni tatizo dogo ntakuelewa, hata hapa Iringa nilipo karibia watu 98% wana pa kulala japo hali za nyumba zimetofautianaWaarabu wote hao wa gulf toa nchi zenye vita kama Yemen hawana shida.
Mfano Saudia
-Ukimaliza Chuo unalipwa Sar 2000 ambayo ni kama 1M-1.5M kila mwezi hela ya vocha wakati unasubiria kuajiriwa
-Saudia haina Homeless raia wote wana makazi sasa hivi wana program kila Raia awe na Gari
-Elimu bure mpaka utakapoamua kuacha kusoma
-Afya bure
-wanawake wote ambao Mshahara ni chini ya Sar 8000 (kama milioni 5) wanapewa subsidies mbalimbali kama kulipia day care za kupeleka watoto, hela za usafiri na mambo mengine.
-wakiajiriwa wanalipwa mishahara mikubwa
So vice versa is true waarabu wote wa huo ukanda wanajiweza kasoro Yemen.
Hata Tanzania kuna Elimu Bure lakini quality vp, Huko Saudia pia kuna Elimu bure lakini haiwezi kufikia Quality ya Israel.
Israel kwa kuwa wanaipa elimu na skills kipaumbele, suala la ajira sio tatizo sana, wana soko kubwa la ajira hasa kwenye mambo ya science, tech, afya na finance, pia hujitengenezea ajira kibao kwa startups, wengi wanalipwa vizuri