Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Aiseh hatari sana,unaweza ukatuwekea takwimu kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika juu ya hivi viungo
Hivi Viungo mkuu tetesi tetesi zilikuwepo siku nyingi ila ushahidi wa uhakika kabisa ukitoka Sweden baada ya Daktari mzungu mwenye asili ya Sweden kushiriki haya mambo alipokua Israel na aliporudi kwao Sweden na kutoa hizi siri.

Habari hii ya 2009 ilirepotiwa na the Guardian

Mwanzo Israel walikataa kama kawaida yao wa kasema ni Anti semitism baadae wakakubali na kumfukuza Director husika kama danganya toto, baadae wakamrudisha.

Hii article imejumuisha source nyingi isome

View: https://medium.com/@ASll0_/debunking-the-worlds-largest-skin-bank-how-israelis-harvest-organs-without-consent-d8415b266a55
 
Duniani China ndio most industrialized nation mkuu.
Yani China inatengeneza bidhaa za kiwanda nyingi na kufanya exportation nyingi kuliko nchi yeyote ulimwenguni.
Najua Hilo lakini sio Kwa kiwango Cha zaidi ya 60%
 
shida unashindwa kukubali ukweli mchungu!! Mwenye akili ndio anaweza kuwagombanisha wajinga

Wazungu wana akili hawana resources unategemea watafanya nn kama si kugombanisha na kuuza silaha muuwane.
Najua huu ukweli ni mchungu Lakini ndio ulivo
Nadhani hatujaelewana.
Waweza kuwa na akili ila usiwe mjanja.
USA hanufaiki kwa uuzaji silaha tu pale middle east,bali kuiteteresha amani ya middle east imemsaidia kuweka chini kitisho cha ukuaji wa hayo mataifa.
 
Waarabu wana pesa mzee.
Yani usifananishe waarabu na wayahudi.
Waarabu wachache ndio wenye pesa hasa familia za kifalme, hata kodi za wananchi wanazitumbua kununua mafari ya bei mbaya
 
Nadhani hatujaelewana.
Waweza kuwa na akili ila usiwe mjanja.
USA hanufaiki kwa uuzaji silaha tu pale middle east,bali kuiteteresha amani ya middle east imemsaidia kuweka chini kitisho cha ukuaji wa hayo mataifa.
Nadhan hufahamu unanja ni nini na akili ni nini
 
Nadhani hatujaelewana.
Waweza kuwa na akili ila usiwe mjanja.
USA hanufaiki kwa uuzaji silaha tu pale middle east,bali kuiteteresha amani ya middle east imemsaidia kuweka chini kitisho cha ukuaji wa hayo mataifa.
Kiongozi mvaa makobasi ebu sikia shule hii inaonekana unaonekana unaongea vitu usivo vijua


ujanja = Akili/Ujuzi
 

Attachments

  • E48CB94D-EB61-4C92-B390-6B598E170A59.jpeg
    E48CB94D-EB61-4C92-B390-6B598E170A59.jpeg
    312.2 KB · Views: 2
Ndio mimi namshangaa akidai Israel inaongoza kwa teknolojia ulimwenguni.

Huyu jamaa sijui anazungumzia teknolojia gani.

Unapo zungumzia teknolojia duniani hapa maana yake unazizungumzia Korea, Japan na China
wewe unachojua ni teknolojia ya simu na magari tu.

kuna teknolojia za kilimo, kamouni kama netvic huwezi inaongoza na huwezi kuijua ukiwa unalimia ngombe,

technologu za drones za vita uav na iron dome huwezi kuzijua kama hufatilii mambo ya vita,

Israel ndio nchi inayoongoza kwa start ups density, huenda hata start ups huzijui inakuwa ngumu sana kukuelelekeza

kama sio mfuatiliaji wa mambo ya tech ni ngumu sana kujua haya mambo, utaishia kuona teknolokia ni var za kwenye mpira
 
wewe unachojua ni teknolojia ya simu na magari tu.

kuna teknolojia za kilimo kamouni kama netvic huwezi kuijua ukiwa unalimia ngombe, technologu za drones za vita uav na iron dome huwezi kuzijua kama hufatilii mambo ya vita, Israel ndio nchi inatoongoza kwa start ups density.

kama sio mfuatiliaji wa mambo ya tech ni ngumu sana kujua haya mambo,
Asante kaka kwa kuwatoa watu uvundo
 
Hizi ni Gdp za nchi za ukanda wa kati kwa Usd dollars Billions

Dondoo muhimu:
Kiasi ambacho Marekani anaisaidia Israel hakifikii hata asilimia 3 ya uchumi wake, kwetu nchi masikini tunaziona ni pesa nyingi inakuwa rahisi hata sisi masikini kudanganyana kwamba Israel inawategemea Marekani tu.

Saudi Arabia ndio kinara wa gdp lakini ni nchi kubwa sana karibu mara 100 ya Israel

Saudi Arabia $876.150
Israel $520
UAE $501.354
Egypt $438.348
Iran $367
Iraq $250.070
Qatar $236.257
Kuwait $118.271
Oman $110.127
Syria $77.460
Jordan $42.609
Bahrain $41.46
Yemen $28.134
Lebanon $19.008
Palestina 5
Na tena nchi nyingi hapo uchumi wao mkubwa ni sabab ya mafuta na gesi wangekuwa hawana hizo rasilimali wasingekuwa hapo kiuchumi. Israel akili mingi zimetumika na zinatumika kuipeleka mbele kiuchumi. Kifupi Jews akili kubwa waarab katu hawawafikii kiakili hata hao wairan, sijui waturuki hamna wa kuwafikia wayahudi. Matusi, mapovu ruksa kwa anti jews. We kwa mfano Iron dome ile system balaa lake si la kitoto..nenda kwenye vyuo kama stanford, mit jews wa kutosha, high tech start up za jews za kumwaga, scientist wa kiyahudi wa kumwaga sasa tafuta wa kipande ya arabun uone utapata wangapi......
 
Twende taratibu vita vya Israel na Hamas vimeharibu mlolongo gani wa kiteknolojia hapa duniani ? tuachane kwanza na uchumi tuanze na teknolojia
hapo ingependeza uanzishe uzi mwengine nije huko kuchangia, tusitoke nje ya topix ya huu uzi
 
Dunia hii, Madola yote na Mataifa yote yaliyoendelea yana mambo makuu manne; UONGOZI IMARA NA WENYE MAONO WA KISIASA, UZALISHAJI WA KUJITOSHELEZA WA CHAKULA, TEKNOLOJIA na TAMADUNI ZA KITAIFA IMARA.

Mataifa mengi ya Kiarabu kwa miaka mingi, yamekosa uongozi wenye maono na teknolojia duni. Hata Israel ni Uongozi wa BIBI ndio ulioweka mazingira bora ya kiuwekezaji yanayoifanya iwe bora ilivyo leo. GDP kubwa ya Saudi imetokana na Mafuta. Kwa uongozi wa MBS Saud ina nafasi kubwa sana ya kuendelea kuwa na uchumi mkubwa kwa sababu ya mageuzi ya sera wezeshi za uwekezaji.

So, hao Middle East Nations bila kuwa na Uongozi wenye fikra za kiliberali kiuchumi, hauwezi kuwa tofauti.
 
Haya utanianiambia Waarabu wanachomiliki ambacho kinacontrol dunia namm nitakwambia Israel anacho control

Israel ina control politician wa marekan awe democratic au republican kwa kutoa fund kwene campany
Israel lobiies ndio powerful kwenye siasa za marekani
Israelites Mac Zuckeberg mmiliki wa Fb ,na insta ( unajua hii mitandao inavotumika kusambaza propaganda na kucontrol dunia)
Nchi za ulaya zina elites wengi wa israel na politician wengi wanakua influenced na lobbiies ambazo ni pro israel

Sasa kama waarabu wana akili wanashindwaje kuingia kwene system za hizi nchi
Duniani kila nchi ina sera na mbinu zake za kusurvive muarabu siyo lazima alobby wanasiasa ili aishi kwani resources alizokuwa nazo zinamfanya aweze kujitosheleza na kuishi vizuri
Ila ili israel iexist ni lazima ifanye umbea na uongo ili ipate sympathy ya kuexist na kwake kwakuwa wapo wengi ulaya na marekani its a win win situation wao wanatumika kama middle east ally wa west na kajikikita kwenye technology ndio sehemu yake ya kujngiza kipato huku muarabu amejikita kwenye mafuta na sasa kajikita kwenye biashara za utalii na kumiliki miradi mikubwa ya kibiashara dunianj kama hujui heathrow airport sasahivi inamilikiwa na saudi investment ya saudi arabia na kumiliki matimu yote makubwa ya mpira europe ni pesa na mipango na hiyo ndio strategy yao, huku israel ndio biggest beneficiary wa america grants duniani
 
Duniani kila nchi ina sera na mbinu zake za kusurvive muarabu siyo lazima alobby wanasiasa ili aishi kwani resources alizokuwa nazo zinamfanya aweze kujitosheleza na kuishi vizuri
Ila ili israel iexist ni lazima ifanye umbea na uongo ili ipate sympathy ya kuexist na kwake kwakuwa wapo wengi ulaya na marekani its a win win situation wao wanatumika kama middle east ally wa west na kajikikita kwenye technology ndio sehemu yake ya kujngiza kipato huku muarabu amejikita kwenye mafuta na sasa kajikita kwenye biashara za utalii na kumiliki miradi mikubwa ya kibiashara dunianj kama hujui heathrow airport sasahivi inamilikiwa na saudi investment ya saudi arabia na kumiliki matimu yote makubwa ya mpira europe ni pesa na mipango na hiyo ndio strategy yao, huku israel ndio biggest beneficiary wa america grants duniani
Eti kajikita kwene mafuta 😂😂😂😂bro mbona unaongea utoporo Tangu nchi izaliwe sijawai usikia

Mafuta yanatengenezwa?? kuna akili gani inatumika kutengeneza mafuta?? mafuta ni natural resource mzee hamna akili yeyote hapo…..
Jitathimini mkuu kama huu ndo uwezo wako wa kufiri
 
Mkuu hao hata hawapo hapo.hata hawa wanatoa kichapo huko ghaza wametoka nje huko. Walikua US na Canada.
Walifuatwa wote wakamalizie kazi.
Sasa ndio kilio kwa kobazi huku.
Jamaa wanapiga hadi mende,na nzi pia hata maji ya kunywa wanaweza kuyatwanga vilevile na kesho wakasema tumekosea mahesabu.
 
Eti kajikita kwene mafuta 😂😂😂😂bro mbona unaongea utoporo Tangu nchi izaliwe sijawai usikia

Mafuta yanatengenezwa?? kuna akili gani inatumika kutengeneza mafuta?? mafuta ni natural resource mzee hamna akili yeyote hapo…..
Jitathimini mkuu kama huu ndo uwezo wako wa kufiri
Ndio source yao kubwa ya income na wao ndio largest oil producers duniani na ndio wanacontrol soko , huwezi kulalamika mtu kutumia natural resources zake atakavyo ni kama europw nzima ilikuwa inamtegemea russia kwenye gas , ndio maana nakwambia kwenye dunia kila nchi ina strategy na means za kusurvive hawawezi kufanana
Sasa unachukia waarabu kuwa matajiri kwa kutumia mafuta yao? Ndio maana hapa duniani tunahitajiana ,
 
Ndio source yao kubwa ya income na wao ndio largest oil producers duniani na ndio wanacontrol soko , huwezi kulalamika mtu kutumia natural resources zake atakavyo ni kama europw nzima ilikuwa inamtegemea russia kwenye gas , ndio maana nakwambia kwenye dunia kila nchi ina strategy na means za kusurvive hawawezi kufanana
Sasa unachukia waarabu kuwa matajiri kwa kutumia mafuta yao? Ndio maana hapa duniani tunahitajiana ,
Mkuu naona unapambana na usichokijua

Maada inasema kwanini israel ni tajiri kuliko nchi za kiarabu ebu rudi kwene maada utajua unachokiongea kama kinaendanaa!!

Comment yangu : waarabu hawana akili ndio maana wanazidiwa na israel nchi ya 1948
 
Wanamuheshimu ama kufanya naye biashara?
Sasa kwa Nini wasifanye biashara ya Aina hiyo na vilaza siye? Brother achana na Ile race yaani thousands of years wamemaintain identity yao hata lugha yao tu! Tuwahukumu kwa njia zao ovu Ila those guys are extraordinary exceptional
 
Mkuu naona unapambana na usichokijua

Maada inasema kwanini israel ni tajiri kuliko nchi za kiarabu ebu rudi kwene maada utajua unachokiongea kama kinaendanaa!!

Comment yangu : waarabu hawana akili ndio maana wanazidiwa na israel nchi ya 1948
mkuu ina maana hujui kwamba israel ni kama tawi la marekani na west, wakati wenzake pesa na silaha wanatafuta yeye vyote anapewa bure na magharibi huku wakizuia fair competition kwenye nchi nyingine kukuwa kama iran , huwezi kujisifu una akili huku unaishi kwa misaada tofauti na wenzake
 
Back
Top Bottom