Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Unaongea sana halafu pumba unadhani tupo JF kwa ajili ya porojo kama wewe.Toa hoja zako kwa facts sio matusi, hili sio jukwaa la wanawake kuchambana.
Umesema Marekani iliisaidia Israel 99.7% ya misaada, Nimekwambia uweke link ya chanzo chako ajabu unaweka link ya podcast ambayo haijazungumzia sehem yoyote kuhusu hizo asilimia 99.7%
Ni kwamba huna hoja unaishia kudanganya tu bila vyanzo vya ku back up uongo wako.
How much aid does the US give to Israel?
Israel has received more foreign aid from the US than any other country since WWII.