Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Huo uwajibikaji wa mwafrika ni upi unaotaka kuuzungumzia?Huwezi muita Amir Jamal sio Muafrika sababu kwa sababu ya rangi yake. Hoja zao hazikuwa za msingi ndio maana nasema walikuwa ni wajinga (wasio na ufahamu), sababu wao Uafrika kwao ilikuwa ni rangi, badala ya uwajibikaji.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa.Mkuu naona hauku Soma post yangu vizuri ndio maana tunashindwa kuelewana
Utaifa wa mtu, sio rangi na haiishi kwenye uzawa. Ni namna gani anawajibika kwa taifa lake na utii wake. Unaweza kuwa mweusi kama mimi, lakini ni kibaraka, lakini unaweza kuwa kama Richard Mabala, lakini unalipigania taifa lako. Ndio maana nikasema, hoja ya wanaafrikanaizesheni waliotaka kumpindua Nyerere ilikuwa ni ya kijinga. I'm sure, leo walio hai wanatambua kuwa walikuwa wajinga.Huo uwajibikaji wa mwafrika ni upi unaotaka kuuzungumzia?
Mkuu samahani ndani ya miaka 60 Kama taifa tuna kitu gani tumefanikiwa katika kuleta maendeleo katika taifa ?maana kila sehemu ni shida Elimu,Maji,Afya, nk kipi tumefanikiwa ndani ya 60 miakaNimekuelewa.
Ila mimi, nachopingana nawe ni hiyo dhana ya kilaghai ya Botha, kuwa waafrika hawawezi kujitawala. Ndio maana nasema ni ya kikoloni.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa mkuuUtaifa wa mtu, sio rangi na haiishi kwenye uzawa. Ni namna gani anawajibika kwa taifa lake na utii wake. Unaweza kuwa mweusi kama mimi, lakini ni kibaraka, lakini unaweza kuwa kama Richard Mabala, lakini unalipigania taifa lako. Ndio maana nikasema, hoja ya wanaafrikanaizesheni waliotaka kumpindua Nyerere ilikuwa ni ya kijinga. I'm sure, leo walio hai wanatambua kuwa walikuwa wajinga.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hakika tumefail, tena sana.Mkuu samahani ndani ya miaka 60 Kama taifa tuna kitu gani tumefanikiwa katika kuleta maendeleo katika taifa ?maana kila sehemu ni shida Elimu,Maji,Afya, nk kipi tumefanikiwa ndani ya 60 miaka
Shida inaanza na wewe, kutojua nini maana ya mfumo. Kuna tofauti kubwa kati ya constitution na institution.Watu wote wanaozungumza kuhusu mifumo sijui hapa huwa wanamaanisha katiba? Kwamba ukiwa na katiba kwa mfano kama ile ya Kenya ya posts zote za kiserikali kushindanishwa ndiyo wao wanaona itaguarantee maendeleo? Toka Kenya wawe na huo mfumo what has changed? Watu wale wale tu, mambo yale yale tu, uchumi ule ule tu wa mwenye nacho kuzidi kuwa nacho na asiye nacho kuzidi kuwa kapuku. Hiyo GDP yao ni very skewed.
Mi huwa nasema kwamba Tanzania pamoja na matatizo yetu (mengi yanasababishwa na viongozi wetu kuwaza kitotototo na kufanya maamuzi mabovu) mtu masikini ana hope ya kutoboa kama akiamua. Kwani hao matajiri wetu wa mjini hata hao wanaoishi Masaki waulize kama wazazi wao wana historia ya utajiri. Haya yote ni matokeo ya sera za kimakusudi za Nyerere za kuset nchi kwenye mfumo ambao wote tutaanzia chini ili kama ni kuinuka basi tuinuke wengi kama siyo wote. Tuna mengi ya kujivunia kuliko kujidharau.
Tupo kwenye mkwamo mkuu dereva hajui anakwenda wapi abiria ndo washa lala usingizi wa pono
Mkuu shida hatuna desturi ya kujisomea kuongeza maarifa tupo bize na page za udaku.Shida inaanza na wewe, kutojua nini maana ya mfumo. Kuna tofauti kubwa kati ya constitution na institution.
Ningekuwa na mda ningeanzisha mada hapa niwaeleze muelewe. As starting point kuna kitabu kinaitwa Why Nations Fail by Acemoglu and Robinson kama sijakosea. Ni kitabu kikubwa sana ila kina kila kitu kuhusu economic institutions and how is shapes economic prosperity.
Tanzania sio wajamaa (socialists), wanafuata mrengo usiyofungamana na upande wowote (non aligned states)Duniani leo nchi za kijamaa (communism) zimebaki chache sana. Imebaki China, Vietnam, Cuba, Tanzania na zingine mbili tatu. Mtu anayesema Tanzania siyo nchi ya kijamaa anakuwa anakosea sana. CCM chama kinachoongoza nchi yetu ni chama cha kijamaa. Katiba yetu inasema hivyo, na hata sheria na taratibu za kuendesha nchi zimetungwa kwa mtazamo huo wa kijamaa.
Ukiangalia nchi hizi nne, ni Tanzania pekee ambayo ni nchi ya kijamaa lakini inafuata mfumo wa vyama vingi. China, Vietnam, na Cuba hakuna habari za vyama vingi. Sababu ni kuwa ujamaa na vyama vingi hauendani kabisa. Ujamaa ni mfumo fulani wa kidikteta, hauwezi kuendana na siasa za vyama vingi.
Matatizo ya kisiasa tuliyonayo leo yanatokana na kuchanganya ujamaa na mambo ya vyama vingi. Ingekuwa vizuri tuchague moja.
Na katiba ndo inatamka hivyo?Tanzania sio wajamaa (socialists), wanafuata mrengo usiyofungamana na upande wowote (non aligned states)
Kasome historia vizuri nchi za ulaya Magharibi na ulaya ya kati ziliamua kutengeneza hybrid ya ujamaa na ubepari baada ya paris Communie ya 1871.Kwani hizo nchi mnazoziita za kipebari hazina ujamaa? Nenda Ulaya magharibi kote uchumi wao unaitwa wa kibepari kwa maana tu ya kwamba serikali zao hazijihusishi kwenye uendeshaji na uzalishaji lakini linapokuja kwenye masuala ya huduma za kijamii (elimu, afya, na vitu kama hivyo) ni ujamaa mtupu.
Hapa ndo shida. Hafu tuna discredit umhimu wa katiba kabisa. Ni halali chadema watumie nguvu kutuelimisha.Mkuu shida hatuna desturi ya kujisomea kuongeza maarifa tupo bize na page za udaku.