LOOoo, unachosha sana na mizunguko isiyokuwa na maana aiseee!
Para mbili tatu zingetosha kabisa kueleza kitu.
Haya, 'source' yako ya haya mambo ni ipi?
Haya mambo ya kukazania 'Mabeberu,.... mabeberu' kila wakati na kusahau kuwasilisha habari muhimu ya taarifa inazingua sana.
Sasa sijui hapa kijadiliwe kipi, mabeberu, au njia tunazoweza kuzifanya tunufaike na hizi mali zetu?
Utanisamehe kama nitakukwaza kwa haya niliyoandika, lakini ukweli nimekwazwa na njia yako ya uwasilishaji wa habari yenyewe, ambayo nadhani ni habari muhimu.
Andiko la Hovyo kabisa nililopata kusoma!