Nchi za Magharibi wailalamikia sana Urusi! Wanadai inatumia gesi kama silaha . Hivi walipoiwekea vikwazo zaidi ya 6,000 walidhani itatulia tu?

Kitu ambacho sina uhakika ni kuwa, hawa viongozi wa nchi za magharibi je wameshawishika kabisa mioyoni mwao kuwa ni kosa kwa urusi kukataa kuuza gesi yake kwa euro au dola ambayo hairuhusiwi kuitumia? Kama ni hivyo basi wanatia huruma sana!

Au viongozi wa Urusi walishakaa nakufikiria kabisa ni kosa kwa nchi huru kujiunga na muungano wanaoona wao unawafaa, kama ni hivyo basi pombe Kali zimewaharibu kifikra.
 
Na fikiria jinsi watu wanavyouwawa pale Ukraine na Majeshi ya mvamizi eti kisa uoga na ujinga wa Putin.
 
Kila mtu ashinde mechi zake, wao walifunga biashara zao, wamefanya kila kitu, sasa nae mrusi kafanya yake.

Nipo mabwepande naangalia nani ataibuka kidedea..

Sisi ndio wale tusiofungamana na upande wowote [emoji1787]
 
ila ww ulipue viwanda , viwanja vya michezo , maduka ya watu na makazi yao la unaona sawa tu ?
Kwani kalipua kwako? Kama unaona kafanya vibaya na ukamuwekea masharti ya kutokutumia Hera yako unayomlipa, Sasa unataka ukimlipa aifanyie nini?!
 
siku urusi ikikushushia kipondo utarud kurekebisha kauli yako
Amerika ndio waonevu kuliko taifa lolote duniani. Imevamia mataifa kibaao kuua watu na viongozi wao. Acha kutetea mchawi huyo.
 
Yaani Rusia alitakiwa Aikate hiyo Gesi kama Umeme,Yaani paap hakuna Gesi na Baridi hili hapa,Sema amekuwa fair sana anaikata huku anawapa taarifa.Kama ni mimi ningeikata kama nazima taa.
 
Yaani Rusia alitakiwa Aikate hiyo Gesi kama Umeme,Yaani paap hakuna Gesi na Baridi hili hapa,Sema amekuwa fair sana anaikata huku anawapa taarifa.Kama ni mimi ningeikata kama nazima taa.
sure mkuu!
Hata Mimi ningewaambia walipe kwa ruble then nakausha. Ile baridi siku ya pili nazima paah then nakausha, watajiset wenyewe kwenye mstari kama wanafunzi wa darasa la Saba.

Au unapiga ya baba mwenye nyumba unawasha asubuhi unazima usiku.
Ncheeee aisee liwalo na liwe.
 
Sema Mrusi ni Mtu mwema sana na ana huruma
 
Wao wamemla vikwazo kama vyote sasa wanalalamika nini.
Yani unipge ngumi halafu nikirudisha ulalamike kuwa ngumi yangu inauma zaidi
 
Marekani alishamuonya Ujerumani kupunguza utegemezi wake kwa gesi ya Russia (mradi wa NORD stream 2) kwani alijua kuna siku Russia ataitumia gesi kama silaha.
 
Mtumishi ubarikiwe sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…