Kwasasa Asia ndio wanakomba Mali zetu na kitovu Cha kiza Mali ziliibwa Afrika ni Dubai ila watu weusi bado akili zenu zipo 1900sKuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k
Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Hii dhahabu inayochukuliwa na barrick au almas inayobebwa na Williamson ni ya nani? Mikopo unayopewa na IMF na World Bank unadhani hizo pesa anatoa nani? Hayo marejesho analipwa nani? Fungua bichwa hilo kenge weweNi rasilimali ipi yako, ya mzazi wako, au ya ukoo wenu imechukuliwa na nchi ya Ulaya? Acheni kulishwa pumba ninyi. Changamoto #1 ambayo Afrika inayo ni udumavu wa akili!
Kama kashamegewa fungu la kula mpaka anadedi we ni nani akuzingatie? Yeye anashuka wino tuViongozi wetu ndo wanaingia mikataba mibovu kama hawana akili Hadi unajiuliza huyu ni kiongozi au ni kenge
Makampuni ya wamarekani ndio yanaongoza kwenye uwekezaji wa madini afrika Wala siyo AsiaKwasasa Asia ndio wanakomba Mali zetu na kitovu Cha kiza Mali ziliibwa Afrika ni Dubai ila watu weusi bado akili zenu zipo 1900s
Hii dhahabu inayochukuliwa na barrick au almas inayobebwa na Williamson ni ya nani? Mikopo unayopewa na IMF na World Bank unadhani hizo pesa anatoa nani? Hayo marejesho analipwa nani? Fungua bichwa hilo kenge wewe
Hizo takwim za mwaka gan ? Kwasasa China anataka over krb bara zima na China kaweka mikataba mibovu snMakampuni ya wamarekani ndio yanaongoza kwenye uwekezaji wa madini afrika Wala siyo Asia
Kasome How Europe underdevelop Africa by Walter Rodney. Writer ni mjamaica aliwahi pia kufundisha pale mlimani miaka ya mwanzoni mwa uhuru.Washindwe chukua rasilimali wakati wanawachukua Hadi waafrika Wenyewe tangu kitambo Hadi Sasa
Labda wanamaanisha umaskini wa akili?Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k
Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Wala usipate tabu anzia shinyanga , geita mpaka nyamongo angalia makampuni yanayochimba madini huko yanayokea wapi Wala huhitaji kutumia nguvu mkuu. Rudi mtwara kwenye gesiHizo takwim za mwaka gan ? Kwasasa China anataka over krb bara zima na China kaweka mikataba mibovu sn
Nakubaliana na wewe ubinafsi mbele kuliko maslahi ya nchiViongozi wetu hawana akili.
Kwakweli ndio Wanachomaanisha.Labda wanamaanisha umaskini wa akili?
Tupambane na Hali Zetu tu,,wameshatutangulia mbali mnoo hakuna haja ya kusoma vitabuKasome How Europe underdevelop Africa by Walter Rodney. Writer ni mjamaica aliwahi pia kufundisha pale mlimani miaka ya mwanzoni mwa uhuru.
Jikite kwenye madaMkuu vp umefufuka?
Maana Israel alifanya yake last week kumbe upo umejificha huku jf?
Naamini mossad washakuona sasa jiandae
Kwenye kitabu ndipo mwafrika alipofichwa asione ujinga wake.Tupambane na Hali Zetu tu,,wameshatutangulia mbali mnoo hakuna haja ya kusoma vitabu
Sasa kama hatuwezi kuvitumia tulivyo navyo kwanini tunavigawa kwa nchi zilizoendelea kwa fedha kidogo huku tukipewa masharti kuhusu mikopo wanayotukupesha na riba juu?Sie ni maskini Sana, tuna malighafi, dhahabu, chuma,mafuta, nk, Ila kuvifanya viwe pesa kutusaidia kutengeneza ajira, elimu Bora, Arya, hatuwezi, na kikubwa tunaviongozi waliooza u bongo, wao wanawaza kuiba tu, wakimiriki ma V8,na watoto wao wakajenga ma hotel, manyumba, nk, wanaona nchi imeendelea,
Uchumi wetudhaifu, hatuna viwanda, hatutengenezi magari, , simu, ndege, me like, engine, tv, hata sukari ya kutosha hatuwezi,
Mchina kufika hapo alipo, super power, alifanya hv, anakaribisha kampuni ya nje kama Ford, au BMW, anaweka Sera nzuri ili hayo makampuni yazalishe ndani ya china, anaingia ubia nayo,anaiba tekinolojia, akiipata tu, ama anataifisha hivyo viwanda, au anaweka mashariti magumu, ndani ya muda anaanza kutengeneza mwenyewe hizo bidhaa,ndivyo alivyoweza kutengeneza, Airbus, train za mwendo kasi, simu, nk
Sie hata kuiga jinsi mchina anavyotengeneza njia za mwendo kasi hatuwezi, tu najua, kuiga kutikisa makalio huko TikTok, na insta,
Kwani Wewe uliesoma vitabu Ujinga umeuona??na umefanya nini na wengine waweze ona huo Ujinga na kuachana nao??Kwenye kitabu ndipo mwafrika alipofichwa asione ujinga wake.
Kwahiyo tuwaachie waendelee kuchukua huku wakiendelea kutuita sisi ni masikini sana?Wao wana rasilimali watu ambao ndio utajiri mkubwa duniani. Hata hizo rasilimali wao ndio wametuambia hizo ni nini na zinatumikaje,sisi hatukujua hata hizo raslimali ni nini na zinafanya kazi gani
Kitendo cha Mimi kuwaambia tu hapa kwamba tunaibiwa tayari Kuna ujinga nimeuona mahali. Bahati mbaya napata upinzani kutoka kwa wajinga lakini taratibu tutakuja kupata akili. Samahani ujinga siyo tusi.Kwani Wewe uliesoma vitabu Ujinga umeuona??na umefanya nini na wengine waweze ona huo Ujinga na kuachana nao??