Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #41
Umeongea ukweli mkuuNi economic warfare tu hiyo, mataifa yaliyoendelea kama hayaruhusu maskini kujitegemea maana chukulia mfano Afrika ijitegemee Kwa Kila kitu Hali ya maisha ulaya na america pamoja na china utashuka vibaya mno na upepo utahamia kwetu na influx itakuwa kubwa afrika, na huwa wanakwambia waafrika wapumbavu sana yaani wanajitoa kwenye lawama na kutengeneza mazingira ya wao hawahusiki na chochote kuhusu umaskini wetu...ni jukumu la serikali za afrika kutambua na kuweka mipango kazi namna wanaweza kutuvusha, sema Sasa bahati mbaya ni kwamba hatupo hata kufikiri kuhusu kuwa na vitu vyetu zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi, unafiki, kujikweza ndiyo tabia zetu.
👍👍👍🍷Ni economic warfare tu hiyo, mataifa yaliyoendelea kama hayaruhusu maskini kujitegemea maana chukulia mfano Afrika ijitegemee Kwa Kila kitu Hali ya maisha ulaya na america pamoja na china utashuka vibaya mno na upepo utahamia kwetu na influx itakuwa kubwa afrika, na huwa wanakwambia waafrika wapumbavu sana yaani wanajitoa kwenye lawama na kutengeneza mazingira ya wao hawahusiki na chochote kuhusu umaskini wetu...ni jukumu la serikali za afrika kutambua na kuweka mipango kazi namna wanaweza kutuvusha, sema Sasa bahati mbaya ni kwamba hatupo hata kufikiri kuhusu kuwa na vitu vyetu zaidi ya kutokujiamini, ubinafsi, unafiki, kujikweza ndiyo tabia zetu.
Unaibiwa na Unajua Ya Kuwa Unaibiwa alafu unakuja kutuambia huku,,haituhusu hiyo wewe cha kufanya Pambana na hao wezi kwa kuwa wewe ndio unashuhudia huo Uwizi.Kitendo cha Mimi kuwaambia tu hapa kwamba tunaibiwa tayari Kuna ujinga nimeuona mahali. Bahati mbaya napata upinzani kutoka kwa wajinga lakini taratibu tutakuja kupata akili. Samahani ujinga siyo tusi.
Ukisikia nchi fulani ni maskini ujue wanamaanisha raia wengi wa nchi husika wana IQ below averageKuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k
Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Wabongo wengine wanadhani kuwa na akili ni kuikosoa CCMSie ni maskini Sana, tuna malighafi, dhahabu, chuma,mafuta, nk, Ila kuvifanya viwe pesa kutusaidia kutengeneza ajira, elimu Bora, Arya, hatuwezi, na kikubwa tunaviongozi waliooza u bongo, wao wanawaza kuiba tu, wakimiriki ma V8,na watoto wao wakajenga ma hotel, manyumba, nk, wanaona nchi imeendelea,
Uchumi wetudhaifu, hatuna viwanda, hatutengenezi magari, , simu, ndege, me like, engine, tv, hata sukari ya kutosha hatuwezi,
Mchina kufika hapo alipo, super power, alifanya hv, anakaribisha kampuni ya nje kama Ford, au BMW, anaweka Sera nzuri ili hayo makampuni yazalishe ndani ya china, anaingia ubia nayo,anaiba tekinolojia, akiipata tu, ama anataifisha hivyo viwanda, au anaweka mashariti magumu, ndani ya muda anaanza kutengeneza mwenyewe hizo bidhaa,ndivyo alivyoweza kutengeneza, Airbus, train za mwendo kasi, simu, nk
Sie hata kuiga jinsi mchina anavyotengeneza njia za mwendo kasi hatuwezi, tu najua, kuiga kutikisa makalio huko TikTok, na insta,
Kama kashamegewa fungu la kula mpaka anadedi we ni nani akuzingatie? Yeye anashuka wino tu
Mzazi wako alikosea wapi hadi hayo yawatokee?Hii dhahabu inayochukuliwa na barrick au almas inayobebwa na Williamson ni ya nani? Mikopo unayopewa na IMF na World Bank unadhani hizo pesa anatoa nani? Hayo marejesho analipwa nani? Fungua bichwa hilo kenge wewe
Huna akiliMzazi wako alikosea wapi hadi hayo yawatokee?
Hapo sawaUkisikia nchi fulani ni maskini ujue wanamaanisha raia wengi wa nchi husika wana IQ below average
Sio ulaya tu hata waarabu wachina warusi wote ni wezi tu. Hakuna mtu wa kukusaidia ikiwa wewe umelala tuache kulia liaKuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k
Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Unaanzisha mada usiyo na uwezo nayo? Jinga!Huna akili
Urusi ana makampuni gani ya kigeni aliyowekeza hapa Tanzania?Sio ulaya tu hata waarabu wachina warusi wote ni wezi tu. Hakuna mtu wa kukusaidia ikiwa wewe umelala tuache kulia lia
S mnawasema vibaya hapa waarabu hawajasoma hawana akoli nchi zao maskini hazina maendeleo leo hapa mnawapa sifa how they well managed her resourcesWaarabu wao na viongozi wao wamewezaje kufaidika na rasilimali zao?
Je Waafrika tatizo letu ni kipi?
Huyu nae umemuona ànavotuaibishaTupambane na Hali Zetu tu,,wameshatutangulia mbali mnoo hakuna haja ya kusoma vitabu
Umasikini wa akili ndiyo umasikini namba moja duniani, Afrika kuna umasikini mkubwa wa akili na unaanzia kwa viongozi.Kuanzia Congo , Tanzania, Kenya , South Africa, Namibia , Zambia , Botswana, Zimbabwe na nchi nyingine nyingi za Africa makampuni kutoka ulaya na Marekani wanachota rasilimali za afrika ikiwa ni dhahabu , almas, trophies, shaba , coltan , mbao n.k
Wakati huo huo Afrika imetengwa kama Moja ya bara masikini zaidi duniani. Sasa najiuliza hivi waafrika tunajitambua?
Umasikini wa akili ni ku-support mfumo wa utawala ambao unashindwa kuitoa nchi katika umasikini wa uchumi, kwa sasa mchawi ni utawala kwa ujumla wake kuanzia executives mpala viongozi wa kiserikali na chama chao. Painful truth.Wabongo wengine wanadhani kuwa na akili ni kuikosoa CCM