Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?

Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.

Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.

Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??

Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.

N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
 
Pimbi kabisa, hivyo vyote ulivyotaja mbona vinazuiliwa kila siku watu wanakimbizana na mapolisi

Kuna watu wamewapatia wanafunzi ujauzito na hawajakamatwa hapo napo unaweza ukasema kwa vile kuna watu hawajakamatwa basi inaruhusiwa kumpa mwanafunz mimba
 
Ukahaba pia hawaruhusu ila ushoga naona ndio unakaziwa zaidi, maana ni inaonekana ni kupoteza wanaume katika jamii ambao ndio viongozi, walinzi, wazalishaji mali, na kuendeleza kizazi

Ila mimi nataka haya mambo ya kuendekeza na kushadadia kwa Mpalange sijui Tigo ukiwa unafanya mapenzi na mwanamke, yapingwe kwa nguvu zote kama ushoga

Haya ndio yanayokuza ushoga
 
Ukahaba mbona ni huduma safi? Mwanaume kwa mwanamke hiyo asili ya uumbaji wajamiane kama viumbe hai. Uasherati ni ufanyaji wa tendo la ndoa bila ndoa katika jamii iliyoweka maadili ya ndoa ni lazima ujamiane ndani ya ndoa tu. Nje na hapo ni dhambi kwa mujibu wa imani ya dini husika.
 
Kwenye uasherati na ukahaba, uume na uke una husika.
Kwenye ushoga uume na mnyeo una husika.
Mnyeo ni kwa ajili ya kutoa taka mwili, na sio kuingiza kitu, sio sehemu ya burudani.
Sema lazima ziwepo hamsha hamsha na harakati za wananchi kuua mashoga popote wanapo onekana.
 
Hata kuku tu hawapandi jogoo kwa jogoo, sasa wewe binadamu uliepewa utashi na Mungu unataka upandane na mwanaume mwenzako
 
Back
Top Bottom