Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Hujajua tu, pamoja na mapungufu Serikali nao wana akili, mpaka sasa pedi za wanawake kwa wote bado ni tatizo, sasa na kinyesi pakishatinduliwa pakabaki wazi bajeti ya pampas itatoka wapi? Ndo maana katika makosa yote hili linawekewa mkazo sana.
 
Wewe umeeleza sababu moja tu, ili ujitetee, lakini tunapinga sababu tu ni chukizo kwa Mungu tu, kama unavyofhani hata sisi tunachukia.

Kwa mfano wewe Baba na mama yako, walikupa matunzo ya mtoto wa kiume, Wazazi walikua wanakulea baadae uwasaidie kama mtoto wa kiume (DUME), kumbe wewe siyo Dume imebaki wakiume tu.

Sauti unataka kuongea ukiibana ifanane na ya kike, Udhaifu wa maungo, Kuto mudu kazi zinazo hitaji nguvu, kujiona wewe siyo sehemu ya wanaume bali mke, Wazazi wako kuzione kinyaa pesa zako, hivyo madhara ni mengi yanayowafanya watu kupiga vita ushoga.
 
Point hizi nchi za wapumbavu wao Uzinzi Ni halali lakini ushoga dhambi badala wapinge dhambi zote wao wanajikita Sehemu moja tu ni aibu taifa la watu wajinga
Mashoga leo wamechachamaa.
 
Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?

Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.

Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.

Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??

Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.

N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
Wamepiga marufuku wakaona inaadhiri wananchi michepuko ndio inasaidia nchi kupata maendeleo maana wanawake wanaosaidia kumtuliza mwanaume na hata badhii ya wanaume ni wanawatuliza wamama so mtu akirelax kichwa Chake anawaza mengi nakuendelea.
 
Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?

Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.

Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.

Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??

Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.

N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
Hao wanaopiga kelele wanafanya mambo mengi kinyume cha maumbile vyumbani. Mfano kunyonyana sehemu za siri mbona hakukemewi, halifanyiki kwa wingi?
 
Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?

Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.

Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.

Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??

Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.

N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
Hicho ulichonacho ni kichwa kweli au shingo imevimba kwa juu?
 
Ukiacha wewe na mimi naacha shoga mwenzangu tunaefatilia nyuzi za mashoga
Hawezi kuwa shoga, huku akiupiga vita, sasa wewe ni sehemu ya mashoga, watu wakikutambua inaonyesha kuukataa kwanini.
 
Wewe umeeleza sababu moja tu, ili ujitetee, lakini tunapinga sababu tu ni chukizo kwa Mungu tu, kama unavyofhani hata sisi tunachukia.

Kwa mfano wewe Baba na mama yako, walikupa matunzo ya mtoto wa kiume, Wazazi walikua wanakulea baadae uwasaidie kama mtoto wa kiume (DUME), kumbe wewe siyo Dume imebaki wakiume tu.

Sauti unataka kuongea ukiibana ifanane na ya kike, Udhaifu wa maungo, Kuto mudu kazi zinazo hitaji nguvu, kujiona wewe siyo sehemu ya wanaume bali mke, Wazazi wako kuzione kinyaa pesa zako, hivyo madhara ni mengi yanayowafanya watu kupiga vita ushoga.

Machukizo ni mengi sana sio hilo tu,shida tunapambana na tatizo na wala si chanzo cha tatizo.
 
Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?

Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.

Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.

Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??

Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.

N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
Hii mada ni nzuri sana

Umeharibu hapo kwenye aya ya mwisho
 
Hata kuku tu hawapandi jogoo kwa jogoo, sasa wewe binadamu uliepewa utashi na Mungu unataka upandane na mwanaume mwenzako
Jibu hoja za kwenye uzi wewe. Mbona uwezo wako wa kufikiri mdogo sana?
 
Namjibu muuliza swali.

Uzinzi na uasherati vyote havipendezi katika jamii.

Hata tusiporejea maonyo ya kiimani. Ushoga utasababisha uzaliwaji wa binadamu kupungua au kusimama kabisa. Nadhani hii ndio agenda ya wanaotetea ushoga.

Lakini pia kwanini jamii iendekeze wanaume kuenenda kinyume na maumbile?

Kwanini?
Mm natamani nguvu inayotumika kupinga ushoga itumike pia kupinga uzinzi. Kwasabb vyote ni dhambi.
 
Back
Top Bottom