Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Nchi zinazopinga ushoga zinatumia kigezo gani? Mbona hazipingi ukahaba na uasherati?

Qmmmk wana adopt wanaenda kuwaharibu mama.e
FB_IMG_16735191990364768.jpg
 
Tokea Lissu amerudi kumekuwepo mada nyingi Sana za ushoga. Kwa nn?
 
Kahaba unaweza kuoa na ukazaa nae,,je unaweza ukazaa na shoga?


Mambo ya Sodoms ni laana kwa MUNGU na pia yanaleta nuksi na mikosi kwa taifa na Jamii kwa ujumla..


Mashoga pamoja na wote wanaotetea ushoga hawapendi kuona wengine wakiwa sio mashoga,
[emoji817]% wanataka na wengine pia waharibikiwe kama wao.

Sababu wao wanainamishwa basi na wengine pia wanainamishwa kama wao..
Ndy maana wanahangaika kila mbinu kuharibu vizazi vyetu ili ionekane mwanaume kuinamishwa ni Jambo la kawaida.

[emoji817] % hakuna anayetetea ushoga kama na yeye sio shoga...

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
W
Namjibu muuliza swali.

Uzinzi na uasherati vyote havipendezi katika jamii.

Hata tusiporejea maonyo ya kiimani. Ushoga utasababisha uzaliwaji wa binadamu kupungua au kusimama kabisa. Nadhani hii ndio agenda ya wanaotetea ushoga.

Lakini pia kwanini jamii iendekeze wanaume kuenenda kinyume na maumbile?

Kwanini?
Wanawake wanaoingiliwa kinyume unawaweka kundi gani?
 
Wamepiga marufuku wakaona inaadhiri wananchi michepuko ndio inasaidia nchi kupata maendeleo maana wanawake wanaosaidia kumtuliza mwanaume na hata badhii ya wanaume ni wanawatuliza wamama so mtu akirelax kichwa Chake anawaza mengi nakuendelea.
😂😂😂😁😂😂
 
Iwe uhalifu, isiwe uhalifu au iwe dhambi au isiwe dhambi ila kwetu Africa ushoga sio utamaduni wetu. Utamaduni wa Africa, faragha ni ya mwanaume na mwanamke tu na sio vinginevyo. FULL STOP!

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Ukahaba pia hawaruhusu ila ushoga naona ndio unakaziwa zaidi, maana ni inaonekana ni kupoteza wanaume katika jamii ambao ndio viongozi, walinzi, wazalishaji mali, na kuendeleza kizazi

Ila mimi nataka haya mambo ya kuendekeza na kushadadia kwa Mpalange sijui Tigo ukiwa unafanya mapenzi na mwanamke, yapingwe kwa nguvu zote kama ushoga

Haya ndio yanayokuza ushoga

Umeiweka vizuri sana...
 
Wee pimbi mtaji mkubwa wa nchi ni watu!.. watu ndo rasilimali muhimu katika nchi,, Huo ufilaji unazalisha nn?.. unafaida gani?. Come back kwa sensa wanawake wapo wengi kuliko wanaume na unashadadia wanaume wazidi kupungua zaidi sio?..MAMA RUDISHA MAKONDA
 
Ushoga unapenyezwa mpaka sehemu nyeti unakopigwa marufuku kiimani, huu ni ulawiti ulipigwa vita na vitabu vitakatifu vinataja zaidi kama ufiraji na wafiraji hawataurithi ufalme wa mbinguni. Cha ajabu mashoga nao wanajipenyeza kwenye huduma safi, nao wanahudumu, wengine ni waimbaji, wengine ni wachezaji na wengine ni viongozi. Huenda watu hawa hawako sawa katika homoni zao na hawana nguvu za kiume
 
Kweli unaona ni dhambi sawa?
Sehemu ya kunyea unageuzia starehe?

Mashoga mna kazi sana....
 
Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?

Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.

Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.

Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??

Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.

N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .

Suala la "machukizo kwa mungu" ni hoja nyepesi kwa sababu anayeongea anajua kuwa watanzania wengi wanaamini katika mungu.

Ila hoja za msingi ni fahari ya mboo; na fahari ya mzazi.

Kwamba si heshima kwa mwanaume kuchomekwa utambi matakoni. Uanaume ni hulka. Uanaume ni ubabe. Uanaume ni uongozi. Uanaume ni ujasiri. Kwa hiyo sifa hizi za uanaume haziendani kabisa na suala la kuchomekwa utambi matakoni.

Kwa hiyo hakuna mzazi anayependa kuona mwanae wa kiume anachomekwa utambi matakoni. Wazazi tunapenda kusikia kuwa kidume changu kimeletewa kesi ya kutia mimba binti fulani. Hiyo ndo kesi ambayo mzazi wa mtoto wa kiume anaweza akaisimamia bila shida.

Mambo ya mungu wala hayahusiki. Sema akili za watanzania wengi bado ni nyepesi sana ndo maana ishu nyingi unakuta watu wanaleta hoja ya mungu.

Mungu ni kitu cha nadharia tu. Mungu ameumbwa na wanadamu. Huwezi kujenga hoja makini kwa kutegemea mungu. Utafeli tu mbele ya safari katika hoja hiyo, kwa kuwa mungu huchukuliwa kama kiumbe mwenye kauli na utashi lakini hajawahi kusikika hata siku moja mbele ya hadhira katika namna ambayo haiachi mawaa kwa kila mtu. Mungu amebaki kuwa ni kiumbe ambaye kila mtu anadai anamsikia kwa namna yake. Sasa kiumbe ambaye kila mtu anamsikia kwa namna yake huwezi kumtumia kujenga hoja mbele ya umma.
 
Kahaba unaweza kuoa na ukazaa nae,,je unaweza ukazaa na shoga?


Mambo ya Sodoms ni laana kwa MUNGU na pia yanaleta nuksi na mikosi kwa taifa na Jamii kwa ujumla..


Mashoga pamoja na wote wanaotetea ushoga hawapendi kuona wengine wakiwa sio mashoga,
[emoji817]% wanataka na wengine pia waharibikiwe kama wao.

Sababu wao wanainamishwa basi na wengine pia wanainamishwa kama wao..
Ndy maana wanahangaika kila mbinu kuharibu vizazi vyetu ili ionekane mwanaume kuinamishwa ni Jambo la kawaida.

[emoji817] % hakuna anayetetea ushoga kama na yeye sio shoga...

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Hao Wamarekani wanajali haki za Mashoga mbona hatujaona hizo nuksi na laana kwa taifa lao?

Sisi ngozi nyeusi tunaoukataa ndio tupo kwenye umaskini (ambao ni laana) wa kupindukia,

Inakuaje hii mkubwa?
 
Back
Top Bottom