hawa kahaba walio zagaa kila kona ya nchi je? unaotaPimbi kabisa, hivyo vyote ulivyotaja mbona vinazuiliwa kila siku watu wanakimbizana na mapolisi
Kuna watu wamewapatia wanafunzi ujauzito na hawajakamatwa hapo napo unaweza ukasema kwa vile kuna watu hawajakamatwa basi inaruhusiwa kumpa mwanafunz mimba
mshenzi hajifichiUkahaba mbona ni huduma safi? Mwanaume kwa mwanamke hiyo asili ya uumbaji wajamiane kama viumbe hai. Uasherati ni ufanyaji wa tendo la ndoa bila ndoa katika jamii iliyoweka maadili ya ndoa ni lazima ujamiane ndani ya ndoa tu. Nje na hapo ni dhambi kwa mujibu wa imani ya dini husika.
ukewemo wewemshenzi hajifichi
Nadhani hapa ushoga unapingwa kwa sauti kubwa kwa sababu unataka kuharalishwa kuwa halali na baadhi mataifa yenye nguvu kiuchumi.Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?
Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.
Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.
Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??
Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.
N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
Mbona kila leo wanakimbizana na polisihawa kahaba walio zagaa kila kona ya nchi je? unaota
Unafki wa ngozi nyeusi,
Wanafanya uzinzi kila uchao na kuzaa watoto wa haramu ila likija suala la ushoga wanakimbilia kwenye mwamvuli wa chukizo la Mungu,
Ni kukosa ustaarabu tu
Haina tofauti na mtu anaye pinga rushwa na ila majambazi hawaoni
Rushwa haikuui ukidakwa
Jambaz unauliwa ukidakwa
Sasa wewe ona kama mashoga wanakandamizwa
Waache wazagae maana ni asili yao kuingiliwa sasa limwanaume zima linapotaka kuwa linaingiliwa si linakua tahira??hawa kahaba walio zagaa kila kona ya nchi je? unaota
Tena hili ndio limeleta uharibifu mkubwa mno.Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?
Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.
Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.
Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??
Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.
N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .
Kwa mujibu wa wanafiki ni Halali.Dume kumuingilia demu kinyume cha maumbile ni nini?
Hahaha.. Tulikubaliana tunasifiwa kwa kazi sasa kwanini wakimbilie kuolewa? Basi hilo halitakuwa sababu ya kupitishwa bali lilikuwa kichwani na moyoni mwa muhusika for long times.Asee ushoga ukiruhusiwa, watu hawatazaliana Tena na hakutakuwa tena na kiumbe kinachoitwa mwanaume.
Yani Kila mtu atang'ang'ana aolewe ili Aishi maisha ya mserereko,
Wewe lazima utakuwa Punga.Ukifuatilia sababu kubwa inayotolewa na nchi nyingi ikiwemo Tanzania ktk kupinga ushoga wanadai ni chukizo kwa Mungu. Ndipo sasa najiuliza chukizo kwa Mungu ni ushoga peke yake?
Kwann haziharamishi ukahaba na ufuska kama ilivyofanya Indonesia? Indonesia wamepitisha Sheria kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kosa la jinai. Kwa kufanya hivyo, nchi hii imeharamisha ukahaba. Hivyo Indonesia ikiukataa ushoga inaniingia akilini.
Mfano hapa kwetu Tanzania masingo mama yamejaa kibao. Na kwa kutambua uwepo wao na hatua dhidi yao hazichukuliwi maana yake ni kwamba ukahaba na ufuska vimehalalishwa ktk nchi yetu.
Hawa masingo mama pamoja na wapenzi wao walipaswa wakamatwe na wafungwe ili kuukomesha ukahaba. Sasa kwann tunaona ukahaba na ufsika ni sawa tu kuwepo na kuenea lkn ushoga inakuwa nongwa??
Naona kama kuna undumila kuwili ktk jambo hili, kwasbb zote ni dhambi.
N.B. Naunga mkono kauli ya papa kuwa ushoga siyo kosa wala uhalifu, bali ni dhambi kama dhambi nyingine .