Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.
Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.
Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu
Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.
Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.
Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu
Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.
Kiongozi makini hawezi kukivuruga chama kwa tamaa zake binafsi,kuna mtu ana tamaa ya kuendelea na madaraka kwahiyo anatafuta uungwaji mkono na kila kundi matokeo yake anawarudisha nyoka waliokwisha tupwa nje na matokeo yake ndiyo hayo mvurugano umetamalaki ndani ya chama.
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.
Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.
Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu
Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.
Kwa kumbukumbu zangu huyu ndo anaweza kuwa Katibu Mkuu bora zaidi wa Chama cha Mapinduzi baada ya Oscar Kambona
Na kama kuna mapendekezo ya Mama Samia ya watu wa kumsaidia huyu anaweza akawa chaguo bora zaidi kuwahi kufanywa na Mama Samia likifuatiwa na Nehemia Mchechu kuwa Msajili wa Hazina
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.
Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.
Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu
Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.
Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.
Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu
Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.