Nchimbi: Kiongozi wa kweli habagui anaowangoza. Huwezi kuwa na vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini

Nchimbi: Kiongozi wa kweli habagui anaowangoza. Huwezi kuwa na vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini

Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.
akati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.

Jambo TV
Meseji nzuri mnooo.Umoja ukianzia kwenye chama basi hata uraiani watu watakua na umoja
 
Katibu Mkuu wetu anapingana na toto la mama Makonda; limesema kuna watu wanamtukana mama yake tena mawaziri kabisaa.

Nil lazima ndani ya CCM tuendelee kujipeleleza nani yuko upande upi na kwa maslahi yapi..hii ni muhimi sana maana tunakwenda kwenye chaguzi za kitaifa.

Tukikujua unatusatiki tunakukaanga.

Katibu mkuu wetu hebu tuache kwanza.
 
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.

Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.

Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu

Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.

Jambo TV
Samia anavutia kwa Makonda, Nchimbi anatupilia mbali, kwa vigezo vya ccm Nchimbi hatadumu na atatifuata na Mama kabla ya 2025.
 
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.


Jambo TV
Mimi sio ccm ila Nchimbi huwa namuelewa , ngoja siku moja nitamtembelea kwake kumsalimia
 
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.


Jambo TV
Haya ndiyo maneno yanayopaswa kutoka kwa kiongozi. Siyo kila kuhubiri uhasama kwa kila mtu unaehisi anakwenda kinyume na unachotaka wewe. Kukosoana ni jambo la kawaida ktk siasa na si uhadui
 
Haya ndiyo maneno yanayopaswa kutoka kwa kiongozi. Siyo kila kuhubiri uhasama kwa kila mtu unaehisi anakwenda kinyume na unachotaka wewe. Kukosoana ni jambo la kawaida ktk siasa na si uhadui
Hakuna lolote yani wanataka wamtukane Rais na wamsengenye wanyamaziwe!
 
Hawa wakina Nchimbi hawatakiwi kupigana, na Makonda. Wanatakiwa waipiganie CCM. Sikutegemea Nchimbi nae, ni bofulo tu. Hawezi kumsaidia mama huyu.
Naona saizi kazi ya ujasiriasiasa imekushinda na umeamua kuwa mganga wa kienyeji ,mchawi na mpiga Ramli.
 
Niwaombe wana CCM wanaoshinda uchaguzi katika ngazi zote, kiongozi wa kweli ni mnyenyekevu na habagui anaowaongoza, waunganishe watu wote waliokuwa chini yako.

Huwezi kuwa wewe una vikosi vya upelelezi muda wote unatafuta wenzako wanasema nini. Binadamu ana haki ya kufikiri, anaweza akayona ya kwako mazuri 100 akayongelea na akayona mabaya ya kwako mawili akayaongelea. Sasa wewe utasikia yale mawili yale 100 hutasikia. Hivi huyu kakkukosea nini kama kakusifia mara moja kakusema vibaya mara mbili? Kuna shida hapo? Hamna shida yoyote n ani haki yake kufikiri siyo? Hajatumi aubongo wako wewe kufikiri katumia ubongo wake, hajatumia nguvu yako yoyote kufikiri.

Kwahiyo niseme, viongozi wa kuchaguliwa katika chama chetu tunaomba wawe wanyenyekevu, na wasiwagawanye watu. Tutawapima viongozi wetu kwa jinsi wanavyounganisha watu na siyo wanavyowagawanya. Maeneo ambayo yamejaa mipasuko ni matokeo ya kuwa na uongozi unaotamani kugawanya watu

Dkt. Nchimbi amezungumza hayo wakati alipokutana na viongozi wa ngazi mbalimbali wa CCM mkoani Katavi jana, Jumamosi Aprili 13. 2024.

Jambo TV
Haswaaa huko ARUSHA "JUU' kajamaa kana KISIRANI hakoooo!
 
Chongoro alikua vizuri kuliko huyu Nchimbi...

Huyu jamaa hata kuongea hajui...

Nina wasiwasi kama ataweza kumsaidia raisi...

Watu aina ya Nchimbi hua vizuri kwenye mikakati.
Ni katibu Mkuu Msomi anaendesha Chama katika weledi wa hali ya juu.
Sio Kila mara hoja za vituko na majungumajungu na kusimanga wengine ziwe ndio hoja hodari..
Msingi wa Imani yeyote ni kuwa na watu wenye akili timamu na wenye uwezo wa kufanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom