Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh, kweli wajinga hawawezi kuisha hata iweje. Yaani huyo katili na mropokaji ndo ana mvuto nje? Unless huo mvuto wa nje unaosema uwe ni makali,o yake makubwa.
Na atawakeraa!! Huwa haachi kupiga kwenye mshono yule baba.Kesho tena kwenye Wokazi dei pale mkoani lazima awekere tena
Ailavyuu Cocah!!Na atawakeraa!! Huwa haachi kupiga kwenye mshono yule baba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ailavyuu tuu.Ailavyuu Cocah!!
Makonda ni mbunifu na ana nyota ya kupendwaKwani Rais ni Mungu useme hakosei? Halafu ukute ni machawa tu ndo wamempogia chapuo kwamba kajifunza kumbe debe tupu asili yake kupiga kelele.