[B said:Pdidy[/B];8205638]Akupekwanzamoyoeakutubu dhambi ya uuaji Brian lamina chifupa
Malipo hapahapa duniani!
oyebitte?Bana ba TZ mobimba tolingana...
Nchimbi ni mtu hatari sana tena katili muuaji mtesaji hastahili kusamehewa mpaka pale atakapotubu mbele ya kanisa.
Umepotoka kidogo, sio mbele ya kanisa, wasio amini habari za kanisa watakuwa wameonewa, . Aende pale mnazi mmoja au Ubungo stand ya mkoa kwenye umati mkubwa ndio akaombe radhi. Baada ya kufanya kwenye hadhara ndio aende kwa paroko wake.
Bana ba TZ mobimba tolingana...