Ndama wa namna hii akizaliwa zizini kwako, je utamwacha aishi au utamuuwa haraka kabla majirani hawajamuona? Je nini husababisha hali hii?

Ndama wa namna hii akizaliwa zizini kwako, je utamwacha aishi au utamuuwa haraka kabla majirani hawajamuona? Je nini husababisha hali hii?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Ndama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
FB_IMG_17339075812642045.jpg
FB_IMG_17339075722758586.jpg

Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.

Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
 
Ndama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
View attachment 3174333View attachment 3174334
Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.

Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
Kwa ni sayansi gani hiyo iliyokuambia binadamua na myama wanaweza kuzaliana? Mbuzi tu na Kondoo hawawezi kuzaliana sembuse bunadamu?

Huo ni ulemavu tu wa kijenetiki na unachopswa ni kuhakikisha huyo na mama yake na baba yake hawakutani tena katika kuzaliana ili kuondoa uwezekano wa huo ugonjwa wa kurithi kuitokeza tena.
 
Kwa ni sayansi gani hiyo iliyokuambia binadamua na myama wanaweza kuzaliana? Mbuzi tu na Kondoo hawawezi kuzaliana sembuse bunadamu?

Huo ni ulemavu tu wa kijenetiki na unachopswa ni kuhakikisha huyo na mama yake na baba yake hawakutani tena katika kuzaliana ili kuondoa uwezekano wa huo ugonjwa wa kurithi kuitokeza tena.
Inatakiwa wakutane tena ili waistaajabishe dunia kwa Mara nyingine tena
 
Back
Top Bottom