KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ulemavu alionao husababishwa Na nini? Mchungaji alichochora mama ng'ombe AU ndio KAZI ya Mungu haina makosa?Nakata kichwa nauza kwa waganga wa kienyeji.. Nyama nauza kwa wachina mbuzi
Acha ukatiliNakata kichwa nauza kwa waganga wa kienyeji.. Nyama nauza kwa wachina mbuzi
Ndama asisimangwe.Au huyu mbuzi ana Down syndrome
Kwa ni sayansi gani hiyo iliyokuambia binadamua na myama wanaweza kuzaliana? Mbuzi tu na Kondoo hawawezi kuzaliana sembuse bunadamu?Ndama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
View attachment 3174333View attachment 3174334
Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.
Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
Inatakiwa wakutane tena ili waistaajabishe dunia kwa Mara nyingine tenaKwa ni sayansi gani hiyo iliyokuambia binadamua na myama wanaweza kuzaliana? Mbuzi tu na Kondoo hawawezi kuzaliana sembuse bunadamu?
Huo ni ulemavu tu wa kijenetiki na unachopswa ni kuhakikisha huyo na mama yake na baba yake hawakutani tena katika kuzaliana ili kuondoa uwezekano wa huo ugonjwa wa kurithi kuitokeza tena.
GMO imeenda vibaya🤣🤣🤣Ndama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
View attachment 3174333View attachment 3174334
Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.
Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
Habari sana sheikhGMO imeenda vibaya🤣🤣🤣
Lucas Mwashambwa njoo uone mama anaupiga mwingi hukuLukas mwashambwa anabubukijwa na machoz kwa mama kwajili ya uyo ndama
HahahaaLukas mwashambwa anabubukijwa na machoz kwa mama kwajili ya uyo ndama
Mbona anaelekeana na wanachama wa chama fulani cha siasaNdama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
View attachment 3174333View attachment 3174334
Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.
Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
Salama mheshimiwaHabari sana sheikh