Hivi inawezekana kweli ??Hiyo kazi ya wafugaji kupiga miti mifugo wakiwa huko maporini
🙄😛😳😀😛😉🙂Hiyo kazi ya wafugaji kupiga miti mifugo wakiwa huko maporini
😅😅😅😅Hiyo kazi ya wafugaji kupiga miti mifugo wakiwa huko maporini
Chenye rangi za?Mbona anaelekeana na wanachama wa chama fulani cha siasa
😀Chenye rangi za?
Pima DNA kwa vijana wote mtaani, shambaboi(huyu ndiye mtuhumiwa namba moja).Ndama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
View attachment 3174333View attachment 3174334
Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.
Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
Nimecheka kichiziNadhani si busara kumdhuru huyo kiumbe,apewe nafasi ya kuishi kama viumbe wangine.Si unajuwa Binadamu akiwa na kichwa cha dizaini hizo anakuwa na akili kishenzi,usikute na huyo ndama akiwa mkubwa ataenda kuwakatia majani ng'ombe wenzake.
Huenda mmiliki ndiyo mtundu mwenyewePima DNA kwa vijana wote mtaani, shambaboi(huyu ndiye mtuhumiwa namba moja).
Wanakula kondooKazi ya wachungaji hiyo
Mbwa akazaa tembo?Hiyo inaitwa mandibulofacial dysostosis (MD) au Treacher collins syndrome , inaweza kutokea hata kwa binadamu.
husababishwa na genetic variation kwa hiyo hapo ondoa dhana ya kwamba binadamu anaweza akawa amemuingilia mama wa huyo kiumbe mpaka kusababisha azaliwe hivyo. animals of different species can not breed.
wazee wa embryology hata hatushangaiNdama huyu wa ng'ombe amezaliwa kwenye shamba (ranch) ya rafiki yangu mwenye Asili ya Ujerumani.
View attachment 3174333View attachment 3174334
Nimejiuliza maswali mengi sana nimekosa majibu makini.
Je akizaliwa kwako utamtunza?
Au utamuua fasta isije ukaonekana ulikula mzigo?
Je hali hii husababishwa Na nini?
Hata kama mtundu, shambaboi hawezi kumuachia, tunawajua wanatabia ya kuwatafuna ng'ombe na mbuzi malishoni, huko ndiko vijana wanajifunzia na kwa taarifa yako baadhi ya nyama tunazokula ni za shemeji zetu au wakwe.Huenda mmiliki ndiyo mtundu mwenyewe
Kwa hiyo inawezekana simba akazaa kuku?wazee wa embryology hata hatushangai
hiyo haiwezekan ya simba kuzaa kukuKwa hiyo inawezekana simba akazaa kuku?