Huyo uliyemwona alikuwa na rangi gani na ana urefu gani? Macho yake yakoje? Sauti yake ikoje? Ukinijibu nitajua umemwona kweli mshana jr. Sijawahi kutana naye ila kuna viashiria naweza hisi.Mkuu , kuna mazingira flani inakua ngumu kupiga picha , unaweza ukajizolea vimondo vya maana
labda alikua amekuja kikazi tu [emoji23][emoji28]Mshana jr anaishi sumbawanga sasa iweje ukutane nae kwenye daladala za dsm ?
Kama ni yeye na unamfunua humu jiandae kutaga mayai, hanaga mzaha na mtu, humu ndani yeye ni balozi.habar zenu wakuu , tupoe na mihangaiko ya hapa na pale
Moja kwa moja kwenye mada husika
Tangia nijiunge na jf kumekua na huyu member aitwae mshana jr yaan mada zake nying ni kuhusu yale mambo ya kiswahili yaani mambo ya tunguli , ramli , kutafsiri ndoto nk
Kwa kweli binafsi si mpenzi wa mada zake huyu jamaa ikizingatiwa kua si mambo ya kuyatilia maanani sna
Basi siku ya jana tarehe 26/8 wakati narudi kwenye mihangaiko yangu ndani ya usafiri wa umma aiseeee !!
Sitaki kuamini kama yule jamaa si mshana jr ,kwa jinsi gari nzima yaan ipo kimya jamaa anachambua mambo ya ramli kiunaga ubaga hadi nikapigwa na butwaaa yaani elimu kama hizi watu wapata wapi au wamerithishwa na mababu ?
Jamaa ni libonge hilo , limevalia ki brother man ila vitu anavyochambua unaweza sema katoka kuzimu
Kumbe mshana jr ni bonge vile , kwa jins jamaa alivyokua anachambua mambo ya ramli na confidence hapo hapo nikasema yeess leo nimepanda gari moja na mshana jf
Mshana jr tafadhali sna mkuu hemu njoo utoe uthibitisho huku kua ulikua ni wewe halisi au kama unawanafunzi wako hapa dar city centre pia tujue
Ahsanteni .....
Mi nna uwezo wa kumpiga picha mtu na asijue[emoji1] [emoji1] [emoji1] kijanja tyu,unajfanya unachat kumbe unamfotoa kimya kimyaMkuu ,mm si mwandishi wa habar kama kila time nipige tu mapicha
Hayo mambo ya kila kitu kupiga picha yanaweza mda mwengine kukuweka pabaya
Itakua jolieHahaha atakua ana wanafunzi mabonge alafu mabrazamen
[emoji23][emoji23]Hha mkuu kutaga mayai tena mbona unanitisha ila anyway hata mm sio mwepesi ninayo mikoba niliorothishwa toka kwa babu zngu pembaKama ni yeye na unamfunua humu jiandae kutaga mayai, hanaga mzaha na mtu, humu ndani yeye ni balozi.
Mwambieni akuje atoe uthibitisho maana duuh si kwa maelezo yaleAu umekutana na mzimu wake asee
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama alikuwa amevaa kiatu cheusi cha kulia kushoto na cha kushoto kulia hapo utakua sawa
Pima pengine sio kwa Mshana Jr mkuu, Pemba uchawi hakuna ila majini, mshana majini kwake ni mifugo sasa sijui utatokaje.[emoji23][emoji23]Hha mkuu kutaga mayai tena mbona unanitisha ila anyway hata mm sio mwepesi ninayo mikoba niliorothishwa toka kwa babu zngu pemba
Jamani eti majini kwake ni mifugo😀😀 mna utani na mshana jrPima pengine sio kwa Mshana Jr mkuu, Pemba uchawi hakuna ila majini, mshana majini kwake ni mifugo sasa sijui utatokaje.