Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Mkuu , kuna mazingira flani inakua ngumu kupiga picha , unaweza ukajizolea vimondo vya maana
Huyo uliyemwona alikuwa na rangi gani na ana urefu gani? Macho yake yakoje? Sauti yake ikoje? Ukinijibu nitajua umemwona kweli mshana jr. Sijawahi kutana naye ila kuna viashiria naweza hisi.
 
habar zenu wakuu , tupoe na mihangaiko ya hapa na pale

Moja kwa moja kwenye mada husika

Tangia nijiunge na jf kumekua na huyu member aitwae mshana jr yaan mada zake nying ni kuhusu yale mambo ya kiswahili yaani mambo ya tunguli , ramli , kutafsiri ndoto nk

Kwa kweli binafsi si mpenzi wa mada zake huyu jamaa ikizingatiwa kua si mambo ya kuyatilia maanani sna

Basi siku ya jana tarehe 26/8 wakati narudi kwenye mihangaiko yangu ndani ya usafiri wa umma aiseeee !!

Sitaki kuamini kama yule jamaa si mshana jr ,kwa jinsi gari nzima yaan ipo kimya jamaa anachambua mambo ya ramli kiunaga ubaga hadi nikapigwa na butwaaa yaani elimu kama hizi watu wapata wapi au wamerithishwa na mababu ?

Jamaa ni libonge hilo , limevalia ki brother man ila vitu anavyochambua unaweza sema katoka kuzimu

Kumbe mshana jr ni bonge vile , kwa jins jamaa alivyokua anachambua mambo ya ramli na confidence hapo hapo nikasema yeess leo nimepanda gari moja na mshana jf


Mshana jr tafadhali sna mkuu hemu njoo utoe uthibitisho huku kua ulikua ni wewe halisi au kama unawanafunzi wako hapa dar city centre pia tujue

Ahsanteni .....
Kama ni yeye na unamfunua humu jiandae kutaga mayai, hanaga mzaha na mtu, humu ndani yeye ni balozi.
 
Mkuu ,mm si mwandishi wa habar kama kila time nipige tu mapicha

Hayo mambo ya kila kitu kupiga picha yanaweza mda mwengine kukuweka pabaya
Mi nna uwezo wa kumpiga picha mtu na asijue[emoji1] [emoji1] [emoji1] kijanja tyu,unajfanya unachat kumbe unamfotoa kimya kimya
Ila chunga simu isitoe saut ile ya kwachaaaa au itoe mwanga[emoji1] unatumia akili tehehehhe
 
[emoji23][emoji23]Hha mkuu kutaga mayai tena mbona unanitisha ila anyway hata mm sio mwepesi ninayo mikoba niliorothishwa toka kwa babu zngu pemba
Pima pengine sio kwa Mshana Jr mkuu, Pemba uchawi hakuna ila majini, mshana majini kwake ni mifugo sasa sijui utatokaje.
 
Back
Top Bottom