Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

naona tunajitahid kuvumbua members wa jamiiForum.........hv n nan mwngn aliwah kugundulika kitaa huko kuwa naye n ambassador wa JF....[HASHTAG]#mshana[/HASHTAG] jr
 
Mkuu uliyemuona siye Mshana Jr,Jana alikuwa ofisini kwake kutwa nzima na jioni alikuwa ktk kijiwe kama kawaida.Ulimfananisha kwa huo uchambuzi uliousikia wa Hugo jamaaa,huenda anaiga tu
 
Mshana Jr wala hayuko kama mnavyofikiria guys! Ni mbigi hivi japo sio wa kukera! Anapenda kutembelea nchi flani hivi inayotajwa kuwa inakuja juu sana kiuchumi Duniani! Pia ni mjuzi wa moja kati ya Lugha 2 kubwa sana ktka nyanja za kimataifa, Mcheshi sana na ana marafiki wengi sana! Kitu kikubwa ni uwezo wake wa kuchambua hoja hasa za kisiasa kimapenzi na kiimani! Ukimuona kwa macho huwezi kudhani kama anaeza kuongelea tunguri! Muonekano wa kibrazamen na utanashati wake vitakufanya usimpeleke kwenye tunguri! Anaeza kupanda daladala lakini ni mmoja and kati ya vijana ambao walianza kumiliki usafiri toka enzi za baloon kuitwa gari ya kifahari! Anaishi katika moja ya majiji makubwa hapa Tizii!
MUHIMU ni kwamba jamaa ana nyota kali sana ya Mademu na mkwanja!
 
Jamaa amesema au yule ni moja kati ya wanafunz wako vibonge afu wanavaa kibrazamen.??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi kuna siku nimemuona Gudume live yuko na demu Mlimani City, jamaa mmoja hivi age imeenda halafu brazameni wa zamani, alivyokuwa anaongea alikuwa ana-sound kama Gudume na zile chai zake!
Alinyoa kipara na ana mwanya???[emoji23]
GuDume
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] mmhhh..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…