Ndani ya Katiba: Tai nyekundu kuwa vazi la Mwenye Mamlaka imeandikwa kwenye ibara gani?

Ndani ya Katiba: Tai nyekundu kuwa vazi la Mwenye Mamlaka imeandikwa kwenye ibara gani?

Wakati Rais Samia anaapishwa hakuna aliyekuwa amevaa tai nyekundu?
 
Vipi kuhusu kuvaa kufuli nyekundu Mkuu mama anaruhusu au wataishia getini!? 😂😂😂
 
Asije akamwamini Mbowe ni muongo muongo sana, aliangushwa na konyagi nyumbani kwa hawara Joyce Mkuya alafu akalitangazia taifa eti amepigwa na wasiojulikana.
 
Hivi vi amri amri vingi ambavyo si sheria vilizidi sana awamu ya Tano ya mwendazake.

..watu wasikusanyike kujadili mambo ya siasa
...watu wasifanye mikutano ya hadhara
....watu wasiikosoe serikali yao, ni kuiongelea kwa mazuri tu
...viongozi wa kisiasa wasifanye shughuli za vyama
...watu wasiandamane
...watu wasivae nguo nyekundu, leo bungeni kesho itakuwa mitaani.


Hivyo vi amri vyote si vya kisheria, ok ngoja tusubiri way forward ya awamu ya situ tuone mwelekeo.
 
Haya makatazo ni kwa Wabunge tu au hata huku mtaani tusivae Tai nyekundu?

Na vipi kuhusu masofa, Kapeti, mitandio, Chupi au Peni nyekundu?

Mtufafanulie mapema maana tunaogopa kwenda kulala Mahabusu, Hakufai huko nasikia.
 
Kiongozi,
Mbona vyama vrenye wabunge bungeni havijalamika, mipangilio midogomidogo ya mjengoni kama mavazi na ktovuta sigara sio lazima iwepo na kwenye katiba ya nchi🙂
 
Wabunge ni mamlaka katika mhimili mwingine pia
Tai nyekundu ni Power tie. Ni ishara ya mamlaka. Hii ni dress code kwenye protocals.Huwezi kuvaa msuli ukaenda kuapishwa. Ingawa haijandikwa kwenye KATIBA.
 
Sio kila kitu lazima kiandikwe.

Wewe ukisimamishwa barabarani upishe rais anapita hua unauliza hii imeandikwa wapi?

Bavicha akili mapeleka wapi?
... hoja dhaifu! Mafunzo ya kawaida kabisa ya udereva wanafundishwa gari lolote lililowasha kimulimuli lipewe kipaumbele. Msafara wa Rais pikipiki na magari yenye vimulimuli yamezingira msafara wote mengine yaliyosalia yamewasha full halafu unauliza ujinga. Mataga mna matatizo haswa. Erythrocyte
 
Mdee ni mbunge wa CCM.

Mdee hajawahi kuwa mpinzani tokea atoke serikalini na kupewa ubunge wa viti maalumu Chadema 2005!
Serikalini unamaanisha pale ofisi za idara ya kazi karibu na Akiba? Kama ni hapo alikuwa akijitolea tu kama intern hakuwa na pay cheque ya serikali
 
Back
Top Bottom