Ndani ya muda mfupi nchi nchi ilikuwa stranded/ frustrated. Kwanini tusimkumbuke?

Ndani ya muda mfupi nchi nchi ilikuwa stranded/ frustrated. Kwanini tusimkumbuke?

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.

Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
 
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.

Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Hata CCM wenyewe wa kongwa wenye chama chao wali honja joto la hilo jiwe, hatakuja kurudia hilo kosa la kuokota watu nakumpa mamlaka ya juu
 
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.

Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Acha mbaa mbaaa mbaaa.

Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa.

Au ulikuwa unafanya dili chafu ukapigwa pini.

Au ulikuwa muùza Unga, Jangiri au kibaka ukazibiwa mianya.

Kwa Mtu ambaye ni smart enough kuanzia akili mpaka matendo hawezi kumsiliba Hayati Magufuli. Woote unaowaona kutwa kucha wamkinanga Hayati JPM believe me waliguswa na Mkono wake wa kukomesha Uovu Ndani ya Nchi yetu. Over
 
Acha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa...
Wale walimwagiwa korosho baharini na jeshi nao walikuwa na vyeti feki. Watanzania jpm aliweza kweli kuwalisha sumu za uongo.

Shida watanzania wengi ni darasa la saba wanadnganya kirahisi ndo Mana hakuna msomi hata mmoja anayemsema vizuri jpm hata kabudi kamnanga juzi kuwa zile pes za makinikia ilikuwa uongo
 
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.

Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Ila binadamu wengine
 
Wale walimwagiwa korosho baharini na jeshi nao walikuwa na vyeti feki. Watanzania jpm aliweza kweli kuwalisha sumu za uongo. Shida watanzania wengi ni darasa la saba wanadnganya kirahisi ndo Mana hakuna msomi hata mmoja anayemsema vizuri jpm hata kabudi kamnanga juzi kuwa zile pes za makinikia ilikuwa uongo
Hata hawa waliopo sioni umuhimu wao bora tuanze upya kabisa
 
Hata hawa waliopo sioni umuhimu wao bora tuanze upya kabisa
Nenda huko Mtwara uone jinsi wakulima wanavyofurahia uongozi wa Samia au nenda singida mjini au vijijini uone jinsi wanavyofurahia uongozi wa Sami Mana mbaazi na alizeti zao Zina soko la uhakika sasa. Yule jamaa aliwahalibia Sana wakulima wa nchi hii. Hilo swala la umeme ni la mda tu halafu na kwa kakikundi ka mjini tu ambko ni kadogo
 
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Kwa uandishi huu sidhani kama umemaliza hata form four..utakuwa la Saba B.. kama Mimi tu...
 
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.

Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea
snoop-dogg-crip-walk.gif
snoop-dogg-crip-walk.gif
 
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.

Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Fanyeni mazuri basi. mnatuacha gizani bila umeme, maji ya kunywa mgao, bei ziko juu.

Afu mnalazimisha achafuke, kila siku.

Mko na akili kweli?.

TOZONIA.
 
Acha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa. Au
Ulikuwa unafanya dili chafu ukapigwa pini. Au
Ulikuwa muùza Unga, Jangiri au kibaka ukazibiwa mianya.
Kwa Mtu ambaye ni smart enough kuanzia akili mpaka matendo hawezi kumsiliba Hayati Magufuli. Woote unaowaona kutwa kucha wamkinanga Hayati JPM believe me waliguswa na Mkono wake wa kukomesha Uovu Ndani ya Nchi yetu. Over
bendera fuata upepo
mtu/mfanyakazi wa umma ambaye hakupandishiwa mshahara miaka mitano wala cheo atamfurahia magufuli kwa lipi? kwakuwa unakaa kwa shemeji yako ndo mana
aliyeporwa korosho zake atamkumbuka kwa jema lipi?
waliopigwa risasi kama majambazi kwa kumwambia ukweli juu ya ghiriba zake za makinikia nao wana vyeti feki?
walio uliwa ndugu zao huko mkuranga, kibiti, Rufiji na Mafia nao wanamkumbuka kwa jema lipi?
ndugu zake Akwilin nao walikuwa na vyeti feki au wauza unga?
watumishi waliopandishiwa makato ya mikopo nao walikuwa wana dili feki
 
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Ukiw na Md halafu unaandika utumbo kama huu lazima mtu mwingine ajiulize quality ya hiyo degree yako na hicho chuo kilichokupa
 
Uandishi wako unaweza kusadifu kama cheti feki au la!
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
 
Back
Top Bottom