Ndani ya muda mfupi nchi nchi ilikuwa stranded/ frustrated. Kwanini tusimkumbuke?

Ndani ya muda mfupi nchi nchi ilikuwa stranded/ frustrated. Kwanini tusimkumbuke?

Nenda huko mtwara upne jinsi wakulima wanavyofurahia uongozi wa Samia au nenda singida mjini au vijijini uone jinsi wanavyofurahia uongozi wa Sami Mana mbaazi na alizeti zao Zina soko la uhakika sasa. Yule jamaa aliwahalibia Sana wakulima wa nchi hii. Hilo swala la umeme ni la mda tu halafu na kwa kakikundi ka mjini tu ambko ni kadogo
umesema we ni mwajiriwa na si mkulima. Wakulima ambao bado wanamazao mpaka sasa ni wachache sana. Mazao walishauza muda mrefu kwa wafanyabiashara na hao wafanyabiashara ndo wananufaika kwa bei ya soko la nafaka kwa sasa. Sasa hivi wakulima haohao ndo wananunua hayo mazao kwa bei ya juu sana.
 
Hayati mwenyewe alikua na PhD fake ila chakushangaza akafukuza wafanyakazi wengine kwa kugushi vyeti.

Kama hayati alikua muadilifu angeonyesha mfano kwa kujifukuza kazi yeye mwenyewe kwa kua na PhD fake.

Rest in Peace Ben Saanane, kusema ukweli kulifanya upoteze maisha yako
[emoji1488][emoji1488][emoji1488].

Walaaniwe watu wote waliokudhulumu haki ya kuishi.
 
Acha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa. Au
Ulikuwa unafanya dili chafu ukapigwa pini. Au
Ulikuwa muùza Unga, Jangiri au kibaka ukazibiwa mianya.
Kwa Mtu ambaye ni smart enough kuanzia akili mpaka matendo hawezi kumsiliba Hayati Magufuli. Woote unaowaona kutwa kucha wamkinanga Hayati JPM believe me waliguswa na Mkono wake wa kukomesha Uovu Ndani ya Nchi yetu. Over
Alivyofariki tu mapapa yakaanza kunsumbua Hadi Leo Niko taabani

Yaani Hakuna haki.... mahakamani ndio usiseme
 
Njia pekee ya watanzania kumsahau jpm ni serikali hii ni kuboresha na kufanya vizuri zaidi yake ,mfano kuhakikisha umeme haukatiki ovyo kupunguza gharama za maisha nk. Lakini sio style hii ambayo makamba kawatuma vibaraka kuja kubumba nyuzi kila siku za kumkakandi na kumdhiahki jpm.sanasana mnazidi kuobgeza machungu tuu.
 
Nenda huko mtwara upne jinsi wakulima wanavyofurahia uongozi wa Samia au nenda singida mjini au vijijini uone jinsi wanavyofurahia uongozi wa Sami Mana mbaazi na alizeti zao Zina soko la uhakika sasa. Yule jamaa aliwahalibia Sana wakulima wa nchi hii. Hilo swala la umeme ni la mda tu halafu na kwa kakikundi ka mjini tu ambko ni kadogo
Samia ana human touch, ni mwanamama mwenye watoto wakubwa tu. Haoni sababu ya kugombana na watu anaowaongoza, haoni sababu ya kutanguliza chuki katika kutafuta utatuzi wa matatizo ya hao anaowaongoza.

Unaposema matajiri wataishi kama mashetani wakati wamekupigia kura, wameshiriki katika kujenga uchumi wa nchi unayoiongoza, hilo ni kosa kubwa sana.
 
umesema we ni mwajiriwa na si mkulima. Wakulima ambao bado wanamazao mpaka sasa ni wachache sana. Mazao walishauza muda mrefu kwa wafanyabiashara na hao wafanyabiashara ndo wananufaika kwa bei ya soko la nafaka kwa sasa. Sasa hivi wakulima haohao ndo wananunua hayo mazao kwa bei ya juu sana.
Rubish
 
Fanyeni mazuri basi. mnatuacha gizani bila umeme, maji ya kunywa mgao, bei ziko juu.

Afu mnalazimisha achafuke, kila siku.

Mko na akili kweli?.

TOZONIA.
Maji, umeme na Bei juu ni swala mtambuka tu na swala la umeme ambbaye kaleta disaster hii ni jpm kwa sababu kwa miaka yote mitano alipenda masifa tu hakuwa anafanya matengenezo ya transformers Wala appliances zingine
 
Samia ana human touch, ni mwanamama mwenye watoto wakubwa tu. Haoni sababu ya kugombana na watu anaowaongoza, haoni sababu ya kutanguliza chuki katika kutafuta utatuzi wa matatizo ya hao anaowaongoza...
Na aloposema kila kitu kitapanda bei alikuwa anamaainisha kundi gani litaishi kama mashetani.

Na alipokuwa anasema kila mwenye kitengo chake serikalini ale kwa urefu wa kamba yake alimaanisha maumivu yanaenda kwa kundi lipi la watanzania?
 
Maji, umeme na Bei juu ni swala mtambuka tu na swala la umeme ambbaye kaleta disaster hii ni jpm kwa sababu kwa miaka yote mitano alipenda masifa tu hakuwa anafanya matengenezo ya transformers Wala appliances zingine
Ndugu yangu endelea kulalama huku wajanja wakitafuna nchi.

Ukijakushituka utanikuta nimekaa palee.
 
Hakuna M.D tutusa km huu mwandiko wako
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
 
Wale walimwagiwa korosho baharini na jeshi nao walikuwa na vyeti feki. Watanzania jpm aliweza kweli kuwalisha sumu za uongo. Shida watanzania wengi ni darasa la saba wanadnganya kirahisi ndo Mana hakuna msomi hata mmoja anayemsema vizuri jpm hata kabudi kamnanga juzi kuwa zile pes za makinikia ilikuwa uongo
Unavyo taja std Vll ,uwe unaitaja kwa adabu .

Kumbuka hii Haina vyeti feki ,kikubwa uwe umehitimu darasa la7 , unaweza ukawa mbunge.

Kwa kujua kusoma na kuandika,unakua mtunga Sheria zinazo tafasiliwa nawasomi wa vyuo vikuu.
 
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Pole sana kaka kwa msoto mkali....lakini pia nakupa hongera kwa kupata ajira😤😤
 
Na aloposema kila kitu kitapanda bei alikuwa anamaainisha kundi gani litaishi kama mashetani.

Na alipokuwa anasema kila mwenye kitengo chake serikalini ale kwa urefu wa kamba yake alimaanisha maumivu yanaenda kwa kundi lipi la watanzania?
Unatafsiri kauli mbili tatu za SSH, huwezi ukazitumia kupima ufanisi wa anachokifanya.

Nenda kule masaki uone zile frames zilizokuwa zikijaa vumbi kwa sasa zinavyofanya biashara. Nenda Mtwara uone mkoa unavyoamka ukibebwa na bandari inayofanya biashara muda huu.

Kigoma imefunguliwa na barabara na umeme, kikao cha SSH na Tshisekedi kinakwenda kuifungua mikoa ya magharibi.
 
Rip magufuri.....karma ichukue mkondo wake juu ya watoto wake kama akina Rucy magufuri na kizazi chao
 
Hata CCM wenyewe wa kongwa wenye chama chao wali honja joto la hilo jiwe, hatakuja kurudia hilo kosa la kuokota watu nakumpa mamlaka ya juu
Waliokota wehu huko wameharibu uchumi kabisa!
 
Back
Top Bottom