BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Sasa wewe ulidhani utaachwa tu uendelee kuuza madawa ya kulevya na mahawara zako wasio na vyeti wabaki maofisini? Hakuna hiyo wewee!
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani