Hata CCM wenyewe wa kongwa wenye chama chao wali honja joto la hilo jiwe, hatakuja kurudia hilo kosa la kuokota watu nakumpa mamlaka ya juuKwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Acha mbaa mbaaa mbaaa.Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Yeye mwenyewe nasikia PhD yake ya kemia ya pale jalalani alifanya plagiarism. Enewei sio vizuri kumsema marehemu, bora mumuache tu aendelee kuteketea jehanamu msimuongezee mateso.Km ulikuwa na cheti feki magufuli huwezi kumsahau
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabilaKm ulikuwa na cheti feki magufuli huwezi kumsahau
Alikua na cheti fake na hakikua na lamination kwa nn asimsahau Magufuli🤣🤣🤣Km ulikuwa na cheti feki magufuli huwezi kumsahau
Wale walimwagiwa korosho baharini na jeshi nao walikuwa na vyeti feki. Watanzania jpm aliweza kweli kuwalisha sumu za uongo.Acha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa...
Ila binadamu wengineKwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Hata hawa waliopo sioni umuhimu wao bora tuanze upya kabisaWale walimwagiwa korosho baharini na jeshi nao walikuwa na vyeti feki. Watanzania jpm aliweza kweli kuwalisha sumu za uongo. Shida watanzania wengi ni darasa la saba wanadnganya kirahisi ndo Mana hakuna msomi hata mmoja anayemsema vizuri jpm hata kabudi kamnanga juzi kuwa zile pes za makinikia ilikuwa uongo
Nenda huko Mtwara uone jinsi wakulima wanavyofurahia uongozi wa Samia au nenda singida mjini au vijijini uone jinsi wanavyofurahia uongozi wa Sami Mana mbaazi na alizeti zao Zina soko la uhakika sasa. Yule jamaa aliwahalibia Sana wakulima wa nchi hii. Hilo swala la umeme ni la mda tu halafu na kwa kakikundi ka mjini tu ambko ni kadogoHata hawa waliopo sioni umuhimu wao bora tuanze upya kabisa
Kwa uandishi huu sidhani kama umemaliza hata form four..utakuwa la Saba B.. kama Mimi tu...Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea
Fanyeni mazuri basi. mnatuacha gizani bila umeme, maji ya kunywa mgao, bei ziko juu.Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
bendera fuata upepoAcha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa. Au
Ulikuwa unafanya dili chafu ukapigwa pini. Au
Ulikuwa muùza Unga, Jangiri au kibaka ukazibiwa mianya.
Kwa Mtu ambaye ni smart enough kuanzia akili mpaka matendo hawezi kumsiliba Hayati Magufuli. Woote unaowaona kutwa kucha wamkinanga Hayati JPM believe me waliguswa na Mkono wake wa kukomesha Uovu Ndani ya Nchi yetu. Over
Ukiw na Md halafu unaandika utumbo kama huu lazima mtu mwingine ajiulize quality ya hiyo degree yako na hicho chuo kilichokupaMimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila