BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Thubutu! Muhitimu gani asie na akili, kuandika tu hujui. Muhimbili hawaenroll mandezi kama wewe, labda muhimbili ya buza kwa mama bongeMimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
😂😂😂😂😂Wakitukana humu inawapunguzia maumivu
Ananishangaza hata neno AKILI yeye anaandika AKIRIThubutu! Muhitimu gani asie na akili, kuandika tu hujui. Muhimbili hawaenroll mandezi kama wewe, labda muhimbili ya buza kwa mama bonge
Wenye MD hatuwagi na ufinyu wa kuwazua hivyoMimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Yes, Mshenzi yule aliyagusa maisha yetu.Acha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa.
Au ulikuwa unafanya dili chafu ukapigwa pini.
Au ulikuwa muùza Unga, Jangiri au kibaka ukazibiwa mianya.
Kwa Mtu ambaye ni smart enough kuanzia akili mpaka matendo hawezi kumsiliba Hayati Magufuli. Woote unaowaona kutwa kucha wamkinanga Hayati JPM believe me waliguswa na Mkono wake wa kukomesha Uovu Ndani ya Nchi yetu. Over
Hii itakuwa mtwara ya Burkina Faso na sio mtwara ya mabugaNenda huko mtwara upne jinsi wakulima wanavyofurahia uongozi wa Samia au nenda singida mjini au vijijini uone jinsi wanavyofurahia uongozi wa Sami Mana mbaazi na alizeti zao Zina soko la uhakika sasa. Yule jamaa aliwahalibia Sana wakulima wa nchi hii. Hilo swala la umeme ni la mda tu halafu na kwa kakikundi ka mjini tu ambko ni kadogo
Mtwara sindiyo hao wanalalamika bei ya korosho kwa sasaNenda huko Mtwara uone jinsi wakulima wanavyofurahia uongozi wa Samia au nenda singida mjini au vijijini uone jinsi wanavyofurahia uongozi wa Sami Mana mbaazi na alizeti zao Zina soko la uhakika sasa. Yule jamaa aliwahalibia Sana wakulima wa nchi hii. Hilo swala la umeme ni la mda tu halafu na kwa kakikundi ka mjini tu ambko ni kadogo
Asante sana kwa hili alivyosema mtwara nimeshtuka nikasema niwapi tena ukoHii itakuwa mtwara ya Burkina Faso na sio mtwara ya mabugaView attachment 2398806View attachment 2398808
Daaah! Ila yule jamaa bwanabendera fuata upepo
mtu/mfanyakazi wa umma ambaye hakupandishiwa mshahara miaka mitano wala cheo atamfurahia magufuli kwa lipi? kwakuwa unakaa kwa shemeji yako ndo mana
aliyeporwa korosho zake atamkumbuka kwa jema lipi?
waliopigwa risasi kama majambazi kwa kumwambia ukweli juu ya ghiriba zake za makinikia nao wana vyeti feki?
walio uliwa ndugu zao huko mkuranga, kibiti, Rufiji na Mafia nao wanamkumbuka kwa jema lipi?
ndugu zake Akwilin nao walikuwa na vyeti feki au wauza unga?
watumishi waliopandishiwa makato ya mikopo nao walikuwa wana dili feki
acheni roho mbaya huyo nilisoma nae...mie nikaenda zaidi mbele ndo anawatibia nyie nyani ndo kawaida yenu.Ukiw na Md halafu unaandika utumbo kama huu lazima mtu mwingine ajiulize quality ya hiyo degree yako na hicho chuo kilichokupa
Haha, writing errors haziepukiki hasa ukitumia simu janjaUandishi wako unaweza kusadifu kama cheti feki au la!