Ndani ya muda mfupi nchi nchi ilikuwa stranded/ frustrated. Kwanini tusimkumbuke?

Yeye mwenyewe nasikia PhD yake ya kemia ya pale jalalani alifanya plagiarism. Enewei sio vizuri kumsema marehemu, bora mumuache tu aendelee kuteketea jehanamu msimuongezee mateso.

unaskia wapi wakati aliyetaka kuitumia kama kick hiyo aliliwa kichwa!!!

unakwenda shule unamaliza unaona bora uanze kutafiti kuhusu PHD ya mtu[emoji28][emoji28]

kama unaipenda si utafute yako nawewe!!!

waste sparm ever.
 
Kila ukitokea mgao mkali wa umeme na maji mnamkumbuka mwamba Baba Jesca ila mnajishogodoa kwa style ya kumkandia
 
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila

kama unamsifia mama sababu tu kakupa ajira una tofauti gani na tofali la kijiweni!!!

vipi siku ukifutwa kazi kwa namna yoyote ile utamwonaje!!!ushabiki maslahi hauna afya.
 
Vipi huko umeshaoga? Au upo frustrated simu haina charge na hakuna kitu utafanya [emoji23] Kuna watu wapumbavu sana
 
Asante sana kwa hili alivyosema mtwara nimeshtuka nikasema niwapi tena uko
Isije ikawa kuna nchi nyingine maali watu wanaishi alafu sisi ndiyo tuko huku kwenye majaribio
Walamba asali hao mkuu.

Kwaiyo ugumu wa wananchi kwao sio kipaumbele.
 
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani[emoji2827]
 
Vipi huko umeshaoga? Au upo frustrated simu haina charge na hakuna kitu utafanya [emoji23] Kuna watu wapumbavu sana
Kuoga ajaoga atakuwa kapigwa passport size na maji ya kwenye kopo la choo.

Yaani Karne hii tunashindwa kubuni miradi ya maji tunatumia chanzo kimoja hata sekta Binafsi wanachimba visima.
 
Ni nani ambae hajui ndani ya mwaka mmoja tokea kifo chake
●kila kitu kimepanda bei,Umeme umekuwa wa mgao makusudi kuandaa mlango wa kubinafsisha Tanesco ili wapate 10%..
●vifurushi vya simu vimepanda bei maradufu..
●Maji ya mto Ruvu yamekosa usimamimizi kupelekea mgao wa maji Dar es Salaam ambao haujawahi kutokea..
●Hifadhi ya Ngorongoro kukabidhiwa kwa familia ya waarabu wafanye uwindaji.. na kuwafukuza wamasai kwa bunduki hali ambayo naifanisha na kuuzwa kipindi cha kuoloni na watawala wetu baada ya kuhongwa..
●Hali ya wazanzibari kunyanyasa wakristo hadharani na wakristo kukosa wa kuwasemea pia imezuka kipindi hiki..!!
●Mafisadi wamerudi kwa speed ya 5G na kusafishwa juu.. kwa kauli aliyotoa mtawala.. eti kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake..

Kwa kifupi Mambo ni mengi ambayo yanaipeleka nchi pabaya.. Magufuli kama ilivyokuwa kwa binadamu wote alikuwa na mapungufu.. lakini hakuna wakupinga kwamba alikuwa na mapenzi ya dhati na taifa letu kiasi cha kujua fika mapenzi yake kwa hili taifa yanaweza kupelekea umauti wake.. so mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni [emoji120]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
unadhani kulialia kuhusu magufuli kila siku kutasaidia chochote? the honorable man is no more get over it and move on
 
Waliovunjiwa nyumba kimara,bugurini na jangwani walikuwa na vyeti feki?? Walipdhuliwa korosho zao kusini bila kulipwa mpaka leo walikuwa wanauza madawa ya kulevya??
 
Sasa kama wote walionja makali ya Jiwe iweje tena useme Jiwe aliweza kuwalisha sumu watanzania? Mimi nafikiri tatizo hapa ni kutaka kulazimishana mitazamo kwamba tunataka wote tuwe na mtazamo mmoja kuhusu Jiwe wakati kiuhalisia tunatofautiana.
 
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…