Yeye mwenyewe nasikia PhD yake ya kemia ya pale jalalani alifanya plagiarism. Enewei sio vizuri kumsema marehemu, bora mumuache tu aendelee kuteketea jehanamu msimuongezee mateso.
Mimi ni mhitimu wa muhimbi Nina degree ya afya yaani MD. Sasa hichi Cheri feki nimekitoa wapi. Kwa sasa chini ya mama ndo nimepata ajra baada ya miaka mitano ya lile joka kupita bilabila
Walamba asali hao mkuu.Asante sana kwa hili alivyosema mtwara nimeshtuka nikasema niwapi tena uko
Isije ikawa kuna nchi nyingine maali watu wanaishi alafu sisi ndiyo tuko huku kwenye majaribio
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani[emoji2827]Kwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Kuoga ajaoga atakuwa kapigwa passport size na maji ya kwenye kopo la choo.Vipi huko umeshaoga? Au upo frustrated simu haina charge na hakuna kitu utafanya [emoji23] Kuna watu wapumbavu sana
Ni nani ambae hajui ndani ya mwaka mmoja tokea kifo chakeKwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
unadhani kulialia kuhusu magufuli kila siku kutasaidia chochote? the honorable man is no more get over it and move onKwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani
Kweli mkuuWalamba asali hao mkuu.
Kwaiyo ugumu wa wananchi kwao sio kipaumbele.
Unaweza kupitia ulichoandika na utatambua kama una akili au huna akiliHuna akili au una akili za ki jpm jpm ambaye aliongoza nchi kwa fix nyingi
Waliovunjiwa nyumba kimara,bugurini na jangwani walikuwa na vyeti feki?? Walipdhuliwa korosho zao kusini bila kulipwa mpaka leo walikuwa wanauza madawa ya kulevya??Acha mbaa mbaaa mbaaa.
Kubali kwamba ulikuwa na vyeti feki ukajeruhiwa au mzembe ukatumbuliwa.
Au ulikuwa unafanya dili chafu ukapigwa pini.
Au ulikuwa muùza Unga, Jangiri au kibaka ukazibiwa mianya.
Kwa Mtu ambaye ni smart enough kuanzia akili mpaka matendo hawezi kumsiliba Hayati Magufuli. Woote unaowaona kutwa kucha wamkinanga Hayati JPM believe me waliguswa na Mkono wake wa kukomesha Uovu Ndani ya Nchi yetu. Over
Sasa kama wote walionja makali ya Jiwe iweje tena useme Jiwe aliweza kuwalisha sumu watanzania? Mimi nafikiri tatizo hapa ni kutaka kulazimishana mitazamo kwamba tunataka wote tuwe na mtazamo mmoja kuhusu Jiwe wakati kiuhalisia tunatofautiana.Wale walimwagiwa korosho baharini na jeshi nao walikuwa na vyeti feki. Watanzania jpm aliweza kweli kuwalisha sumu za uongo.
Shida watanzania wengi ni darasa la saba wanadnganya kirahisi ndo Mana hakuna msomi hata mmoja anayemsema vizuri jpm hata kabudi kamnanga juzi kuwa zile pes za makinikia ilikuwa uongo
NonsenseKwa mda wa miaka mitano tu Kila mmoja kaonja joto la jiwe, si mkuli, si graduate, si mfanyabiashara, mwajiliwa wa serikali na binafsi. Wote tulikuwa tunasubili Kila siku matamko yake tu as if nchi haikuwa na binge tena Wala sheria.
Nchi ilikuwa imepatwa. Sasa lazima awe reference ya viongoxi wabovu kuwahi kutokea duniani