Ndani ya muda mfupi Rais Samia amefanya kufuru, licha ya kuupiga mwingi sasa anakimbiza mwizi kimya kimya

Milioni 500 kila jimbo ndani ya miezi sita ngoja tufanye mahesabu.
Majimbo zaidi ya 264.
264x500=132,000,000,000Tsh
Inawezekana.
Shida ya hii ni impact haitaonekana...Pesa ndogo kama hii haiwezi weka barabara ya lami hata kilomita moja...Waliomshauri mama hawamtakii mema at the end hizo barabara baada ya mvua zitakuwa kama hazijafanyiwa kazi then ataonekana kama vile hizo pesa hazikufanya kazi...The back stops at her, she will be accountable for everything...Wanaomshauri wapo na interest ya kisiasa ambayo pia ni short lived

After sometime na hizi budget za kugusa hapa na pale you wont be able to see value for money zaidi ya pesa nyingi kuonekana kutumika
 
Wanajeshi kawapandisha vyeo, wanajeshi wanamkubari Sana Samia
 
unasubil teuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…