Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, baada ya kusota kwamiaka sita tangu 2015 mpk 2021 bila ajira huku tukidanganywa kama watoto eti tuuzie biashara popote hata barabarani na kwenye round about za miji hatimaye 2021 march tulipata mkombozi wa vijana,
Ni ukweli usiopingika Samia umejaribu kuangalia maisha ya vijana kwa kuwapa ajira, Japo tunajua huwezi kuwamaliza wote kulingana na kua walirundikana sana kipindi cha awamu ya tano lakini wewe angalau unajitahidi kwa kiasi chako,
Magereza, TRA, uhamiaji, Arshi, Afya, Elimu, Polisi, Jwtz, Na serikali za mitaa,
Tangu march 2021
AFYA - 2726 may 2021 + 10285 (2022)
ELIMU - 6949 (2021) + 9800 (2022)
TRA 2129
ARDHI 1440
POLISI 3275
UVUVI 204
MIFUGO 700
TAKUKURU 350
MAGEREZA 534
UHAMIAJI 350
Jumla ya hizi ni 38772 ndani ya mwaka mmoja kitu ambacho hakijawai kutokea tangu 2015 mpaka 2021 march,
na bado kuna ajira nyingine 13000 za serikali za mitaa na mashirika ya serikali ziko kwenye mchakato zitoke kabla ya july 2022
Kwakweli umejitahidi sana na tunaomba uendelee kwa moyo huo huo vijana tuliteseka sana awamu ya tano tuliishi kama digidigi,
Tutazunguka sana na kuzungusha maneno lakini ukweli hautabadilika awamu ya tano ilitengeneza maskini wengi
Tumshukuru Mungu
Ni ukweli usiopingika Samia umejaribu kuangalia maisha ya vijana kwa kuwapa ajira, Japo tunajua huwezi kuwamaliza wote kulingana na kua walirundikana sana kipindi cha awamu ya tano lakini wewe angalau unajitahidi kwa kiasi chako,
Magereza, TRA, uhamiaji, Arshi, Afya, Elimu, Polisi, Jwtz, Na serikali za mitaa,
Tangu march 2021
AFYA - 2726 may 2021 + 10285 (2022)
ELIMU - 6949 (2021) + 9800 (2022)
TRA 2129
ARDHI 1440
POLISI 3275
UVUVI 204
MIFUGO 700
TAKUKURU 350
MAGEREZA 534
UHAMIAJI 350
Jumla ya hizi ni 38772 ndani ya mwaka mmoja kitu ambacho hakijawai kutokea tangu 2015 mpaka 2021 march,
na bado kuna ajira nyingine 13000 za serikali za mitaa na mashirika ya serikali ziko kwenye mchakato zitoke kabla ya july 2022
Kwakweli umejitahidi sana na tunaomba uendelee kwa moyo huo huo vijana tuliteseka sana awamu ya tano tuliishi kama digidigi,
Tutazunguka sana na kuzungusha maneno lakini ukweli hautabadilika awamu ya tano ilitengeneza maskini wengi
Tumshukuru Mungu