Ndani ya Mwaka mmoja, Rais Samia katoa Ajira zaidi ya 50 Elfu, Vijana tunashukuru sana

Ndani ya Mwaka mmoja, Rais Samia katoa Ajira zaidi ya 50 Elfu, Vijana tunashukuru sana

Watoe za wakufunzi basi tuombe hizo za elimu tumewaachia wengine waombe
 
MUOGOPE MUNGU. MKOA WA GEITA PEKE YAKE UNA UHABA WA WAALIMU 7500. BADO KWENYE IDARA YA AFYA.
HIZO AJIRA NI DANGANYA TOTO. HUWEZI KUAJIRI WAALIMU WA HESABU 450 WAFUNDISHE TANZANIA NZIMA.
NJOMBE KUNA SHULE INA WATOTO 540 ILA WAALIMU 5.
LEO HII KUNA MADOKTA WANAENDESHA BODABODA NA HOSPITALI HAZINA WAHUDUMU.

YAJAYO YANAHUZUNISHA!
huenda huelewi hata mada imezungumzia nn
 
Mleta mada ana narrow definition ya ajira. Ajira ya serikali ni asilimia ndogo sana ya ajira zinazopigiwa kelele. Ninaheshimu kuwa unafurahi kuwa umepata ajira - je unadhani itakuwa hivo 2023, na 2024, na 2025?? Je hizo ajira zitakuwa endless, going forward??

Ajira zinazozungumziwa ni jambo pana sana. Linahusisha kukuza uchumi hasa wa sekta binafsi ili watu waweze kuajiriwa na kujiajiri!! Sio ajira za serikali kwa sababu serikali haiwezi kuajiri kila mtu!

Nilidhani utatoa takwimu za ajira hasa za sekta binafsi ili tuone jinsi SSH alivoongeza ajira au kwa kuweka taratibu mpya za ajira kwa wazawa, au kukua kwa uchumi wa sekta binafsi!!
 
MUOGOPE MUNGU. MKOA WA GEITA PEKE YAKE UNA UHABA WA WAALIMU 7500. BADO KWENYE IDARA YA AFYA.
HIZO AJIRA NI DANGANYA TOTO. HUWEZI KUAJIRI WAALIMU WA HESABU 450 WAFUNDISHE TANZANIA NZIMA.
NJOMBE KUNA SHULE INA WATOTO 540 ILA WAALIMU 5.
LEO HII KUNA MADOKTA WANAENDESHA BODABODA NA HOSPITALI HAZINA WAHUDUMU.

YAJAYO YANAHUZUNISHA!
Wazushi hawa, hapo ukute nyingine hewa
 
Mleta mada ana narrow definition ya ajira. Ajira ya serikali ni asilimia ndogo sana ya ajira zinazopigiwa kelele. Ninaheshimu kuwa unafurahi kuwa umepata ajira - je unadhani itakuwa hivo 2023, na 2024, na 2025?? Je hizo ajira zitakuwa endless, going forward??

Ajira zinazozungumziwa ni jambo pana sana. Linahusisha kukuza uchumi hasa wa sekta binafsi ili watu waweze kuajiriwa na kujiajiri!! Sio ajira za serikali kwa sababu serikali haiwezi kuajiri kila mtu!

Nilidhani utatoa takwimu za ajira hasa za sekta binafsi ili tuone jinsi SSH alivoongeza ajira au kwa kuweka taratibu mpya za ajira kwa wazawa, au kukua kwa uchumi wa sekta binafsi!!
wewe toa za sekta binafsi usisubiri kila kitu uandikiwe
 
We ndo ndezi kweli kikwete walimu kwamwaka pekee alikua anaajili 54000 msingi 24 sekondari 20 Alf achana na idara nyingine kilimo na afya
 
Wala sio unafiki kusema katika suala la ajira Mama amejitahidi sana, japo ni wajibu wake ila anastahili pongezi.
 
Back
Top Bottom