Ndani ya siku 30, Fuso zimehusika kwenye ajali tatu

Ndani ya siku 30, Fuso zimehusika kwenye ajali tatu

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nilikua natafakari hapa. Sijajua kama haya malori (Fuso) ndio yenye shida au Kuna tatizo lingine.

Yaani ajali tatu ambazo zimeripotiwa kwa kipindi kisichozidi siku 3, Fuso zimehusika.

Ya kwanza ni Ile ya Mkata iliyohusisha Fuso na Coaster iliyokua imebeba mashabiki wa Yanga.

Ya pili ilihusisha Fuso na basi la kampuni ya Burudani basi likitokea Dar kwenda Tanga.

Ya tatu ni Fuso na Basi la kampuni ya Najimunisa iliyotokea Mkoani Shinyanga.

Nadhani nasema "nadhani" Kuna umuhimu wa kuangalia haya malori
 
FUSO NI TANI NNE ILA WABONGO HUWA WANAONGEZA/WANACHONGEA BODY ZINABEBA HADI TANI 15. HAPO LAZIMA MFUMO WA BREAK NA BALANCE/UWIANO VIFELI!

WAZEE WA PHYSICS WATANIELEWA!
Ndo Mana sipendi malori..Bora bus, zinakuwa overloaded sana fuso ikiwa na tani nne kusimama no brake kichele ngoma hi hapa ngoma imekula tan 16 afu wenyewe wanakwambia hii ngoma ni mjepu inakula mzigo wa 94 260
 
Nilikua natafakari hapa. Sijajua kama haya malori (Fuso) ndio yenye shida au Kuna tatizo lingine.

Yaani ajali tatu ambazo zimeripotiwa kwa kipindi kisichozidi siku 3, Fuso zimehusika...

Unapendekeza mafuso yote kukaguliwa au kuwa yote mabovu kibongo bongo?

IMG_20220729_082949_635.jpg
 
Back
Top Bottom