Ndani ya siku 30, Fuso zimehusika kwenye ajali tatu

Ndani ya siku 30, Fuso zimehusika kwenye ajali tatu

Kumbe mizani Barabarani ni kiini macho?
Unaelewa nini kusikia mizani na taratibu zipoje?
Kwan mizani wanapima total weight ya gari au vp?

Bajaj inaweza beba kilo 350 vizuri bila shida yoyote where gross weight bado ni under 1ton ..Kama kilo 700 na kitu ..nikisema ikibeba kilo Mia 4 inakuwa overloaded unaelewa? Tofautisha uwezo wa chombo na sheria za nchini kwenu..wanachopima mzani ni weight per axle jinsi gani unadidimiza barabara

Gari rear axle kuwa na ton 13 tayari umezidi ila ukiwa na axle ingne ya ziada tairi zikagawana hizo ton 13 then ur safe
 
Sijataja makosa ila nimesema zimehusika kwenye ajali! Ni bahati mbaya tu au?
Ni bahati mbaya tu mkuu fuso kuhusika kwenye hizo ajali ulizotaja!!

Ajali nyingi za fuso huwa wanasababishiwa na watumiaji wengine hasa mabus..

Tatizo lao huwa wako spidi kiasi cha kushindwa kujipambania wanaposababishiwa majanga!

Rejea bus la takbir na fuso kule singida, frester na fuso (shinyanga), mohamed classic na fuso (manyara), najimunisa na fuso(shinyanga)

Hiyo mifano yote ni fuso kasababishiwa..

Pendekezo langu ni kwamba watu wa fuso waendeshe kwa tahadhari kubwa sana!!

Ahsante!
 
Wanainama chini anachungulia akiona hakuna anayemuangalia, anakula buku faster anamruhusu dereva aendelee na safari
Hili jukumu wangepokonywa. Wakague mambo ya wazi kama, leseni, insurance na ulevi. Kwani yule mtoto wa simbachawene hakuwa kalewa? Kwani alikuwa na insurance?
 
Ni bahati mbaya tu mkuu fuso kuhusika kwenye hizo ajali ulizotaja!!

Ajali nyingi za fuso huwa wanasababishiwa na watumiaji wengine hasa mabus..

Tatizo lao huwa wako spidi kiasi cha kushindwa kujipambania wanaposababishiwa majanga!

Rejea bus la takbir na fuso kule singida, frester na fuso (shinyanga), mohamed classic na fuso (manyara), najimunisa na fuso(shinyanga)
Nimekuelewa vyema sana, kumbe ni nyingi sana? Duh
 
Hili jukumu wangepokonywa. Wakague mambo ya wazi kama, leseni, insurance na ulevi. Kwani yule mtoto wa simbachawene hakuwa kalewa? Kwani alikuwa na insurance?
Hahahahahaa Yuko kimya, dah
 
Nilikua natafakari hapa. Sijajua kama haya malori (Fuso) ndio yenye shida au Kuna tatizo lingine.

Yaani ajali tatu ambazo zimeripotiwa kwa kipindi kisichozidi siku 3, Fuso zimehusika.

Ya kwanza ni Ile ya Mkata iliyohusisha Fuso na Coaster iliyokua imebeba mashabiki wa Yanga.

Ya pili ilihusisha Fuso na basi la kampuni ya Burudani basi likitokea Dar kwenda Tanga.

Ya tatu ni Fuso na Basi la kampuni ya Najimunisa iliyotokea Mkoani Shinyanga.

Nadhani nasema "nadhani" Kuna umuhimu wa kuangalia haya malori
Mbona ni simple. Mitsubishi motors ndio ametengeneza Fuso Fighter nyingi zinazobeba mizigo TZ. Specification zake ni kubeba Kilo 4000 hadi 5000 tu (tani 4 hadi 5) na ndio uwezo wa breki zake (BHP)- Brake horse power - ukizidisha lazima utatuletea story za kufeli breki tunazoambiwa na polisi. Ukifuata masharti ya mtengenezaji gari, suala la kufeli breki ni aghalabu sana kutokea.
 
Mafuso ni mengi sana barabarani na wana fujo hasahasa yanapokuwa hayana mzigo au yana mzigo mdogo madereva wa mabus wanawajua hawa vichwa panzi walevi
 
Back
Top Bottom