Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Dah bonge la observation, Wacha nikale kitimoto choma leogari zimetengenezwa mwaka 1996 hadi 95 umri wa binti amezaa na ana mjukuu unategemea itakuwaje
Hahahahaaa acha kabisa aiseeeeTandam tan 16 ikipasua tairi ya mbele ukipona okoka
Ndo Mana sipendi malori..Bora bus, zinakuwa overloaded sana fuso ikiwa na tani nne kusimama no brake kichele ngoma hi hapa ngoma imekula tan 16 afu wenyewe wanakwambia hii ngoma ni mjepu inakula mzigo wa 94 260FUSO NI TANI NNE ILA WABONGO HUWA WANAONGEZA/WANACHONGEA BODY ZINABEBA HADI TANI 15. HAPO LAZIMA MFUMO WA BREAK NA BALANCE/UWIANO VIFELI!
WAZEE WA PHYSICS WATANIELEWA!
Kumbe mizani Barabarani ni kiini macho?Ndo Mana sipendi malori..Bora bus, zinakuwa overloaded sana fuso ikiwa na tani nne kusimama no brake kichele ngoma hi hapa ngoma imekula tan 16 afu wenyewe wanakwambia hii ngoma ni mjepu inakula mzigo wa 94 260
Nilikua natafakari hapa. Sijajua kama haya malori (Fuso) ndio yenye shida au Kuna tatizo lingine.
Yaani ajali tatu ambazo zimeripotiwa kwa kipindi kisichozidi siku 3, Fuso zimehusika...
Hahahaha HAPANA, nimeleta tu kama changamoto Mkuu!
Hahahaha HAPANA, nimeleta tu kama changamoto Mkuu!
Nasikia Wana marejesho ya VICOBA na upatuBasi kama unavyowaona wako mkao wa kula wakisubiri fursa wapi wakakague. Tatizo ajali zimekuwa chache mno kuliko ambavyo wangependa:
View attachment 2348826
Sijataja makosa ila nimesema zimehusika kwenye ajali! Ni bahati mbaya tu au?Kwenye hizo ajali zote, makosa yako upande upi? Fuso ama hizo bus?
Kweli??Miezi ya kafara hii waabudu shetani ni wakati wa kurejesha mahesabu so lazima ajali ziwe nyingi
Fuso tatizo lingine madereva vijana pumbafu sana wanafukuzama kuwahi kufika sokoni.Hahahaha HAPANA, nimeleta tu kama changamoto Mkuu!
Wengine ndio wanasababisha ajali kwa kukagua Gari na kukuta lina makosa kibao halafu anapokea Elfu 10 analiachia likaueBasi kama unavyowaona wako mkao wa kula wakisubiri fursa wapi wakakague. Tatizo ajali zimekuwa chache mno kuliko ambavyo wangependa:
View attachment 2348826
Wengine ndio wanasababisha ajali kwa kukagua Gari na kukuta lina makosa kibao halafu anapokea Elfu 10 analiachia likaue
Wanainama chini anachungulia akiona hakuna anayemuangalia, anakula buku faster anamruhusu dereva aendelee na safariKwani hata wanakagua nini mkuu? Pia kwa weledi upi?