Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

Ndio zenu hizo
Screenshot_20220908-035952_Instagram.jpg
 
ifike wakati mikataba inayoingia Serikali yetu wananchi tushirikishwe moja kwa moja kwa kuiweka wazi nasi kutoa maon yetu. kama walivyofanya ktk rasimu ya Katiba. kila mkataba nakala ziwekwe wazi tuikague kwanza. vinginevyo hawa watu wasiozidi hata 500 watatuingiza jahanamu watu zaidi ya milion 60
Kwa hilo,Serikali ya CCM haiwezi kukubali hata siku moja!
 
Waliipeleka makusudi ili ikamatwe, kila kitu kimepangwa, hata Tanesco inauzwa pia ndio maana wanakata umeme na maji ili wahalishe.

Walianzia mbali, kwanza walisema Mashirika yalikuwa yanadanganya gawio kwa Serikali halafu wakaja kusema Serikali haitafanya biashara hivyo wameanza kujibinafsisha mali zetu za umma.

Pure evil!

Makamba na rostam watalinunua shirika
 
Aisee inaonyesha pana mchezo unachezwa hapa ila ipo siku vitu vitakuwa wazi ndege kuwa inapita Airport fulani ya Nchi fulani Mahakama ipate taarifa kwa wakati kabisa ingawaje dawa ya deni kulipa ila hii miguu tunayoletewa ni ya kizamani sana...
 
Waliipeleka makusudi ili ikamatwe, kila kitu kimepangwa, hata Tanesco inauzwa pia ndio maana wanakata umeme na maji ili wahalishe.

Walianzia mbali, kwanza walisema Mashirika yalikuwa yanadanganya gawio kwa Serikali halafu wakaja kusema Serikali haitafanya biashara hivyo wameanza kujibinafsisha mali zetu za umma.

Pure evil!
Wahuni watu washenzi sana dizain walishaongea na mdai. "Tunakuletea ndege uikamate" muhimu pasenti yetu utuwekee kabisa. Inchi ina washenzi sana hii.
 
Back
Top Bottom